Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
- Thread starter
- #321
Leo Hali ya hewa ya dar ni upepo upepo na kijibarid....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeitika vizuri.....unaweza mtoa nyoka pangoni....just joking 😃😀🤣🤣🤣😂😂Abee
Umeweka minyama......Natamani sanaaaàaaa Mungu ni mwemaView attachment 2491921View attachment 2491923View attachment 2491924
5 million per kmKwa hiyo katika vitu vikubwa umeona barabara tuu
Moyo unaugua Sana nimeshajenga ndoto iliyobakia hapa duniani kwangu ni hii tu mkuu.watoto wanasoma namshukuru MunguUmeweka minyama......
Sehemu moja iliyotulia pembeni mwa bahariWhat do you need most now
Drop it
Me: Laughter
Mkuu wap huko Kuna kiwanja Cha milioni 1Ila pia kukopa millioni moja ninunue kiwanja natamani
Au laptop kali
Siku zote dream hukamilika Kwa kuzifuata....yes na iwe kama unavyo waza...Moyo unaugua Sana nimeshajenga ndoto iliyobakia hapa duniani kwangu ni hii tu mkuu.watoto wanasoma namshukuru Mungu
Videte...Mkuu wap huko Kuna kiwanja Cha milioni 1
Hiki kichwa cha kipemba uchogo utokege wapi?Ndege joni ndio huyu.....
View attachment 2491207
Chindoman
Alaf iwe gorofani...Sehemu moja iliyotulia pembeni mwa bahari
Ha ha ha ha nyinyi.na mpasua sijui mvunja barafu.Tatizo ukinilipia "kimasihara" haiepukiki, mi nataka kwenda kukaa tu mwenyewe akili ipate utulivu
Chindoman ana flow nzuri....Nawaza kama khalfan angekuwa arusha wasanii gani wangeimba ut0k().
Nawaza kumiliki shamba Tanga.
Ile fanta ya take away hasa ikiwa ya barid
Hongera mkuu, naona machimbo unayajuaVidete...
Kiparang'anda kikungo...
Mvuti....
Mbande...Kwa mbele Kule Kuna daraja kama la wa Vietnam.....