Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
- Thread starter
- #441
Hii ni mitian hope Kila kitu kitakua powaa baada ya muda ....nimepata mkuu, na niliye mgonga hayuko poa sana maana alikuwa kalewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni mitian hope Kila kitu kitakua powaa baada ya muda ....nimepata mkuu, na niliye mgonga hayuko poa sana maana alikuwa kalewa
shukrani sanaHii ni mitian hope Kila kitu kitakua powaa baada ya muda ....
anza kwa kuwa chawa kwanzaNiwe waziri nile asali na pesa za wizara
Usijali mama Sa100 atakusuprise na uteuzi.....Maajabu yapo duniani yanaweza kukutokea mpaka wewe mwenyewe usiaminiNiwe waziri nile asali na pesa za wizara
Akuuuuuuuu
Itakuwa ulikataa shule. Wengi wao wanaliaga katika mkondo huoLaiti kama kungekuwa na chansi hata moja ya kurewind maisha nadhani binadamu wengi sana wasingekuwa hapa walipo.
BusyWew leo ulikuwa wapi kipenzi
Wala sikukataa shule, hapa nilipo nina degree ya UDSM na MBA ya SAUT.Itakuwa ulikataa shule. Wengi wao wanaliaga katika mkondo huo
UtapataaView attachment 2493657
Tunapatikana Mbezi Beach, Tangi Bovu, Jengo la “White Beach Park”. Kwanzia Jumatatu - Ijumaa. (8am - 5pm)
Karibuni Sana!🙏🏻
Watu wamebukua wapo full 🌝 Kila idala.....usishangae mtu ni boda boda au chinga....vyeti vipo kabatini....Wala sikukataa shule, hapa nilipo nina degree ya UDSM na MBA ya SAUT.
Kielimu niko vizuri kabisa, ila katika maisha sio wakataa shule tuu ndio wanalia kuna maisha mengine nje ya kusoma. Halafu hapo nmewaongelea watu wote in general sio mimi tuu.
Heheee vyeti hata kuvishika ni nadra, kama mimi vingekuwa vimeliwa na fungus kabisa nashukuru nilivi-laminate tuuu ndio ponapona yake.Watu wamebukua wapo full [emoji275] Kila idala.....usishangae mtu ni boda boda au chinga....vyeti vipo kabatini....
Mwe mwe mwe!Heheee vyeti hata kuvishika ni nadra, kama mimi vingekuwa vimeliwa na fungus kabisa nashukuru nilivi-laminate tuuu ndio ponapona yake.
Kuna sehemu mama ntilie wafanyakazi wake wote wana degree imagine
😂 🤣 HahahahaMwe mwe mwe!
alafu uskikute huyo mama ntilie ni la saba.!!?
Hug 🤗 Kwa nyuma....@Depal na hizo lips 👄 zako...Back hug
Busy