Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sura, Dudu & Wallet
[emoji15] [emoji15]mi nakwambia ukweli wewe unacheka cheka
usiwe mtu wa hovyo hovyo
Sasa anachungulia nini wakati iko hapo. achukue tu ajisevieeehili swali unaulizaje mtu kama wewe ?
Huoni hapo mtu anachungulia utamu ?
Kinoma ila La baby wangu.Unapenda dudu eh?
Jitahidi tu angalau uwe unachoka ukirudi ni kulala tu, maana manesi watanichoka.Teh..Sawa mamito..Ngoja basi nikazane
Kinoma ila La baby wangu.
Hata hanipi, nilimtoa baru kwa kunisumbua kila siku na mkwe mpya, nimemwambia hadi afanye maamuzi ndio akuje, ila aangalie isiwe too late.
[emoji1][emoji38][emoji48][emoji12]Hahaaa umeona ujihami mapema kabisa eeh...
Takuchapa!
Mie hata sijui aisee! Maybe hajajua ni nn anatakaahsante kwa taarifa mama
kumbe kuna wengine?
Kosa langu nini hasa?
sina kitambi, sichepuki
nimehuzunika.
eeh labda halikua funguMie hata sijui aisee! Maybe hajajua ni nn anataka
Usikate tamaa mapema hivyo bwana, muonyeshe njia taratibu ataelewa.eeh labda halikua fungu
langu: mkweo anaweza asiwe mimi tena!
Umenikorogea eeh, utaninyweaaaUsikate tamaa mapema hivyo bwana, muonyeshe njia taratibu ataelewa.
Hahaaaaa!!! Huku umefuata nini we mtoto!Umenikorogea eeh, utaninyweaaa
Ndo maana wamama watu wazima mnakatazwa kuingia social networks, umeona ulivyoharibu sasa?Hahaaaaa!!! Huku umefuata nini we mtoto!