Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, asante Kwa maoni yako, tunachotaka ni kutaka kukomesha kabisa uwizi, haijarishi fisadi ama mkwapuaji, ila tunataka tutoke hapa tulipoBila kuwafanya wafanyakazi wathamini kazi zao kwamba zinawapa uhakika wao wa maisha ya sasa na baada ya kustaafu hakuna jinsi ya kubadilika.
Ikiwa mafisadi na mijizi ndio yanayo enziwa na kuheshimika katika jamii sababu ya mali zao nani hatataka kuiba ili kuvuna heshima katika jamii?
Pointi kubwa Sana hiiTatizo wafanyakazi wameshagundua wanasiasa wanafaidi zaidi keki ya Taifa. Hivyo wanapo pata nafasi na wenyewe wanajimegea.
Haiwezekani Mbunge anayejua tu kusoma na kuandika, anakaa miaka mitano tu Bungeni! lakini mafao yako ni zaidi milioni 200! Halafu mfanyakazi anayefanya kazi miaka 30-40, analipwa mafao ya milioni 60!
Mkuu, asante Kwa maoni yako, tunachotaka ni kutaka kukomesha kabisa uwizi, haijarishi fisadi ama mkwapuaji, ila tunataka tutoke hapa tulipo
Kama zingetungwa sharia kali za kuwafilisi wahusika ingesaidia sana watu kuogopa wizi, ila shida ni kwamba watunga sharia ni wanamtandao hawawezi kutunga sharia zitakazo backfireToa maoni yako hapa,
Jambo gani lifanyike ili kudhibiti wizi wa Mali na fedha za serikali?
Je mishahara ni kidogo?
Marupurupu yaongezwe?
Unadhani ni kipi kiboreshwe ili kukomesha Hali hiyo
Majibu yapo wazi kutokana na maswali YAKO,ila lazima sehem nyeti kua na uchambunzi yakinifu kabla ya kuteua mtu, mshahara huwa hautoshi siku zote that's utakuta mbunge Bado anakuja rushwa pitisha hoja ya serikali haliali anapata mshahara makubwa,tra hivyohivyoToa maoni yako hapa,
Jambo gani lifanyike ili kudhibiti wizi wa Mali na fedha za serikali?
Je mishahara ni kidogo?
Marupurupu yaongezwe?
Unadhani ni kipi kiboreshwe ili kukomesha Hali hiyo
Nakuelewa vema mkuu, unamaanisha kwamba, hata kukiongezwa mishahara haiwezi kuwa tiba ya uwizi siyo?Kama zingetungwa sharia kali za kuwafilisi wahusika ingesaidia sana watu kuogopa wizi, ila shida ni kwamba watunga sharia ni wanamtandao hawawezi kutunga sharia zitakazo backfire
Rudia tena mkuu Kwa sauti kubwa, unamaanisha wapigwe....??Majibu yapo wazi kutokana na maswali YAKO,ila lazima sehem nyeti kua na uchambunzi yakinifu kabla ya kuteua mtu, mshahara huwa hautoshi siku zote that's utakuta mbunge Bado anakuja rushwa pitisha hoja ya serikali haliali anapata mshahara makubwa,tra hivyohivyo
So inaweza tungwa sheria kali kwamba nafasi flani tokana na unyeti wake ulipwe vizuri ila ikidhibitika umekula rushwa basi pigwa risasi adhalani ,hapo mtu agusi
Unamashaka na mchakato wa kuwapata wakurugenzi siyo??Nafasi za wakurugenzi wa mashirika zipatikane kupitia mchujo wa kamati za bunge kupitia michakato ya wazi wa mchujo na uajiri.
Unamashaka na mchakato wa kuwapata wakurugenzi siyo??
Inawezekana kuna rushwa inatumik kuwapata siyo?
Mkuu,kumbuka hapa kinachowakumba karibu Kila ofisa wa serikali ni ufujaji wa fedha za Umma, na uwizi hauna mtu mwenye uwezo wa elimu n.kInawezekana hakuna rushwa ila inawezekana watu wanaoteuliwa wana uwezo mdogo sana au hawakidhi vigezo wa kuongoza hayo mashirika kwa sababu wanapatikana kwa kujuana zaidi badala ya merits
Mkuu,kumbuka hapa kinachowakumba karibu Kila ofisa wa serikali ni ufujaji wa fedha za Umma, na uwizi hauna mtu mwenye uwezo wa elimu n.k
Maana tumewaona wengi tu ambao wanauwezo mkubwa ki elimu lakini ndio yamekuwa majangili na mafisadi makubwa zaidi kama jamaa la nyoka wa makengeza
Au unamaanisha Uwizi uliopo unawahusu wasio na uwezo ki elimu pekee
Mkuu, hujatoa maoni yako juu ya hili!!Inatia faraja sana kuona Mataga nao wameacha kuabudu na wanaungana na Wapinzani katika kutafuta solution, Nchi hii itajengwa kwa kuambiana ukweli.
Wapinzani sio maadui, wala sio Vibaraka wa Mabeberu Wapinzani ni watu Wema sana kwa Taifa hili.