Ni kipi kifanyike ili kuondoa wizi maofisini na katika mashirika ya Kiserikali?

Ni kipi kifanyike ili kuondoa wizi maofisini na katika mashirika ya Kiserikali?

Ni kuwa makini sana na hao watu wanaohubiri sijui uzalendo mara uchapakazi na misifa isiyo na maana huku nyuma ya pazia ndio wanaiba
 
Ni kuwa makini sana na hao watu wanaohubiri sijui uzalendo mara uchapakazi na misifa isiyo na maana huku nyuma ya pazia ndio wanaiba
Mkuu, unamaanisha tukiwaepuka hao tutakuwa tumekomesha uwizi huo??
 
Mkuu, hujatoa maoni yako juu ya hili!!
Tutafute sababu ya Rushwa kwanza kwa kwanini Watu waombwe Rushwa
Mfano Uganda wana Kodi ndogo inayolipika ambayo ni rahisi kuielewa haihitaji elimu ya Shahada
Waganda ni Walipakodi wazuri tu
Sisi hapa Kodi ni kubwa na hazieleweki ni Trap ndio maana watu wanazikwepa na kutoa Rushwa huo ni mfano kwenye Sekta binafsi
 
Tatizo kubwa ambalo kimsingi ndio kosa lenyewe, kosa kubwa, ni kuacha kushughulikia tatizo na kushughulikia matokeo.

Watu au jamii haishughulikii chanzo cha tatizo inashughulikia matokeo. Huwezi kumaliza au kutatua tatizo kwa njia hii.

Ili kumaliza au kutatua matatizo uwe ni Serikali lazima ifahamu ni nini kinasababisha watu waibe au watumie vibaya rasilimali zao na za umma?

Jibu la swali hili ni, "mambo waliomo".

Angalia maisha yao. Tungekuwa tunafanya uchunguzi hatungeshangazwa na hayo yanayotokea kwasababu kwa mambo waliomo lazima hayo yatokee.

Sio kuhusu mishahara kuwa ni midogo bali mambo waliomo mshahara na marupurupu hauwezi kukidhi.

Mifumo yetu ya maisha na ndoa ni hatari sana kuliko hata hatari yenyewe. Hili ndilo kosa kubwa na sababu ya hayo yanayotokea.
 
Tatizo kubwa ambalo kimsingi ndio kosa lenyewe, kosa kubwa, ni kuacha kushughulikia tatizo na kushughulikia matokeo.

Watu au jamii haishughulikii chanzo cha tatizo inashughulikia matokeo. Huwezi kumaliza au kutatua tatizo kwa njia hii.

Ili kumaliza au kutatua matatizo uwe ni Serikali lazima ifahamu ni nini kinasababisha watu waibe au watumie vibaya rasilimali zao na za umma?

Jibu la swali hili ni, "mambo waliomo".

Angalia maisha yao. Tungekuwa tunafanya uchunguzi hatungeshangazwa na hayo yanayotokea kwasababu kwa mambo waliomo lazima hayo yatokee.

Sio kuhusu mishahara kuwa ni midogo bali mambo waliomo mshahara na marupurupu hauwezi kukidhi.

Mifumo yetu ya maisha na ndoa ni hatari sana kuliko hata hatari yenyewe. Hili ndilo kosa kubwa na sababu ya hayo yanayotokea.
Umetirika vizuri Ila huku mwishoni haujaeleweka boss!!

Unamaanisha kwamba mfumo mbovu wa uwizi tunatoka NAO kwenye familia zetu siyo!?
 
Tatizo kubwa ambalo kimsingi ndio kosa lenyewe, kosa kubwa, ni kuacha kushughulikia tatizo na kushughulikia matokeo.

Watu au jamii haishughulikii chanzo cha tatizo inashughulikia matokeo. Huwezi kumaliza au kutatua tatizo kwa njia hii.

Ili kumaliza au kutatua matatizo uwe ni Serikali lazima ifahamu ni nini kinasababisha watu waibe au watumie vibaya rasilimali zao na za umma?

Jibu la swali hili ni, "mambo waliomo".

Angalia maisha yao. Tungekuwa tunafanya uchunguzi hatungeshangazwa na hayo yanayotokea kwasababu kwa mambo waliomo lazima hayo yatokee.

Sio kuhusu mishahara kuwa ni midogo bali mambo waliomo mshahara na marupurupu hauwezi kukidhi.

Mifumo yetu ya maisha na ndoa ni hatari sana kuliko hata hatari yenyewe. Hili ndilo kosa kubwa na sababu ya hayo yanayotokea.
Hapo kwenye kujua chanzo. Umegonga penyewe kabisa. Kuna haja ya wenye mamlaka kuliangalia hili kwa jicho la tatu. Na liwe suala endelevu kwa sababu mazingira yanabadilika.
 
Toa maoni yako hapa,

Jambo gani lifanyike ili kudhibiti wizi wa Mali na fedha za serikali?

Je mishahara ni kidogo?
Marupurupu yaongezwe?

Unadhani ni kipi kiboreshwe ili kukomesha Hali hiyo
sijui
 
Ikiwa maoni ya wengi Hadi huu muda inaonyesha kwamba, uwizi ni swala lisilodhibitika kirahisi,

Kuna mtu Anasema, Watumishi wengi hawalipwi kisawasawa Ili Hali wenzao viongozi wa Kiserikali hasa wabunge ndio wanaolipwa vizuri

Lakini mbali na hivyo, kuna viongozi wengi wa kisiasa wanaiba haswaa, angalia mawaziri, wanapiga madili haswa na wakati huo huo ndio wanaoongoza Kwa kulipwa vizuri, angalia wakurugenzi wa sector mbalimbali ndio majizi makubwa, lakini mishahara na marupurupu yanalipwa vema

Shida iko kwenye mishahara au ni roho la wizi Kwa Baadhi ya watu

Achilia mbali hilo, Kwa nini sasa lawama wanatupiwa viongozi wakuu wa nchi pindi hawa watu wanaoiba?

Wakati huo huo wachangiaji wengi wanasema, uwizi hauwezi kutoweka kabisa, Kwa nini uwizi na uozo huo sbambikiwe Raisi??, hapo sjapata tafsiri na maana ya hapo
 
Mi nashauri mambo 2.
1. Malipo yakifanyika lazima yawekwe kwemye mbao za matangazo kwamba tumemlipa huyu kiasi hiki. Kwenye halm aka kwenye mchwa wenye njaa, unaweza kuona kwamba hela kalipwa bw. X wakati Huyo ndugu nae anashangaa! Kutoa taarifa anaogopa maana ni maboss wake ndiyo waliokula.
2. Kuna ubadhirifu unafanyika, ukiripoti takokuru wanasema aliyetipa taarifa ni furani inawezekana nao wanakatiwa ili yaishe! Ndiyo maana huwa hatuoni matokeo ingawa upotevu wa wazi unakuwepo.
3. Serikali isitishe manunuzi yake kupitia sheria za manunuzi. Hawa jamaa wanaipiga serikali kupitia hii sheria. Kalamu ya 100/- wao wananunua kwa 1,000/-. Komputa ya 600,000/- sokoni wao wananunua kwa 2,800,000/-. Ili kuokoa fedha za uma nashauri vitengo by a manunuzi vifutwe katk halm.
4. Ziwepo simu za siri mtu akibaini wizi aripoti na watu ambao wako committed wanafika maramoja kuchunguza na kufukuza watu.
*Nashangaa kuona wezi wamejaa serikalini wanalelewa wakati kuna vijana wenye uchungu wanatafuta kazi watumikie nchi.
Ebu naona simu inaita...
 
Tutafute sababu ya Rushwa kwanza kwa kwanini Watu waombwe Rushwa
Mfano Uganda wana Kodi ndogo inayolipika ambayo ni rahisi kuielewa haihitaji elimu ya Shahada
Waganda ni Walipakodi wazuri tu
Sisi hapa Kodi ni kubwa na hazieleweki ni Trap ndio maana watu wanazikwepa na kutoa Rushwa huo ni mfano kwenye Sekta binafsi
Mkuu, Kwa maoni yako tu, inaonyesha wewe ni mfanya biashara, Je, wafanyakazi wako pia huwa wanakuchapa??

Kama ni kweli, shida ni nini??

Mishahara kidogo au ni malezi ya familia zetu
 
Mkuu, Kwa maoni yako tu, inaonyesha wewe ni mfanya biashara, Je, wafanyakazi wako pia huwa wanakuchapa??

Kama ni kweli, shida ni nini??

Mishahara kidogo au ni malezi ya familia zetu
Sina Wafanyakazi Mimi ndio nakaba mpaka penati
 
Yawezekana ikathibitika pasi na shaka kwamba Serikali ya awamu ya tano ndiyo Serikali corrupt ever tangu uhuru!! Watu sijui wataficha wapi nyuso zao.
 
Nafasi za wakurugenzi wa mashirika zipatikane kupitia mchujo wa kamati za bunge kupitia michakato ya wazi wa mchujo na uajiri.
Bahati mbaya kabisa hao wabunge pia ni Wala rushwa
 
Mtu anasimamia projects za billions of money ila mshahara wake haueleweki..tunategemea nini?.

afu kuna watu kupiga meza tu wanaondoka na millions of money..kuna kitu hakipo sawa
 
Back
Top Bottom