Ni kipi kifanyike ili kuondoa wizi maofisini na katika mashirika ya Kiserikali?

Ni kipi kifanyike ili kuondoa wizi maofisini na katika mashirika ya Kiserikali?

Pole mkuu, naona uliathirika vibaya Sana aisee

Mkuu niliathirika sana na nini, tuchukulie niliathirika sana ili matamanio yako yafikie hoja yako, ulitakaje labda?
 
Mahitajo ya mwanadamu hayajawai kufika ukomo...!! Kama ao mafisadi au wakwapuaji ata uwape mshahara wa milion 3 kwa mwezi na marupurupu kibao kama mwizi ataendelea kuiba tu ila shida ya watanzania hatuwapendi watu wanyoofu sie tunawaita wanoko...!!

Hao wezi wa tabia na kuzaliwa ndio sheria ichukue mkondo wake. Japan mfanyakazi wa umma akikutwa na kashfa anajiua hata kabla ya kufikishea mahakanani. Kwa sababu ni fedheha na aibu isiyomithilika kwenye jamii. Huku kwetu ni sifa wamama wabazao Watoto na kuwaita majina ya mafisadi na mijizi. Yuko jamaa kamuita mtoto wake ELroy.
 
Toa maoni yako hapa,

Jambo gani lifanyike ili kudhibiti wizi wa Mali na fedha za serikali?

Je, mishahara ni kidogo?
Marupurupu yaongezwe?

Unadhani ni kipi kiboreshwe ili kukomesha hali hiyo?
To achieve transparency, an organisation must provide information about its activities and governance to stakeholders that is accurate, complete and made available in a timely way.Transparency enablesaccountability. This does not mean all information should be made publicly available.
 
To achieve transparency, an organisation must provide information about its activities and governance to stakeholders that is accurate, complete and made available in a timely way.Transparency enablesaccountability. This does not mean all information should be made publicly available.
Great, in matters of theft, the media is also bribed!!

how about the issue of equity in wages.

Je, inaweza kusaidia japo kidogo!!
 
Great, in matters of theft, the media is also bribed!!

how about the issue of equity in wages.

Je, inaweza kusaidia japo kidogo
Kama kuna issues on wages basi pay analysis lazima ifanyike
 
Unamaanisha kwamba mfumo mbovu wa uwizi tunatoka NAO kwenye familia zetu siyo!?
Chanzo cha hayo na mengine mengi ya kusikitisha ni mfumo wa maisha na ndoa tuliomo.

Kama jamii mfumo wetu maisha na ndoa ni mbaya na ovu. Katika mfumo huu hakuna chochote kinachoitwa maendeleo au maisha bora kitawezekana.

Tamaduni za jamii zetu zinakumbatia mambo ovu ambayo kimsingi ni kosa dhidi ya akili.

Katika hali ambayo mifumo ya maisha na ndoa, tamadunia na taratibu za kila siku za jamii ni kosa dhidi ya akili, kwa namna gani utegemee uadilifu?

Fikiria jambo hili ambalo katika jamii zetu linaonekana jambo la kawaida, lakini kwenye akili ni jambo zito. Ni wanaume wangapi wamewapatia mimba wasichana au wanawake kinyume na utaratibu unaotakiwa na akili?

Wanawake wanagapi wamepatiwa mimba na wanaume wakawatelekeza?

Wanaume na wanawake wangapi wana watoto kinyume na utaratibu wa ndoa unaotakiwa; achilia mbali mahusiano nje na kabla ya ndoa?

Kwenye tamaduni zetu mambo hayo yanasifiwa. Lakini je, madhara yake kiakili na kimwili tunayajua?
 
Chanzo cha hayo na mengine mengi ya kusikitisha ni mfumo wa maisha na ndoa tuliomo.

Kama jamii mfumo wetu maisha na ndoa ni mbaya na ovu. Katika mfumo huu hakuna chochote kinachoitwa maendeleo au maisha bora kitawezekana.

Tamaduni za jamii zetu zinakumbatia mambo ovu ambayo kimsingi ni kosa dhidi ya akili.

Katika hali ambayo mifumo ya maisha na ndoa, tamadunia na taratibu za kila siku za jamii ni kosa dhidi ya akili, kwa namna gani utegemee uadilifu?

Fikiria jambo hili ambalo katika jamii zetu linaonekana jambo la kawaida, lakini kwenye akili ni jambo zito. Ni wanaume wangapi wamewapatia mimba wasichana au wanawake kinyume na utaratibu unaotakiwa na akili?

Wanawake wanagapi wamepatiwa mimba na wanaume wakawatelekeza?

Wanaume na wanawake wangapi wana watoto kinyume na utaratibu wa ndoa unaotakiwa; achilia mbali mahusiano nje na kabla ya ndoa?

Kwenye tamaduni zetu mambo hayo yanasifiwa. Lakini je, madhara yake kiakili na kimwili tunayajua?
Mkuu, nakubaliana na wewe mkuu, uwizi na ufisadi unaanzia kwenye familia zetu huku!!

Mimi huwa najishighurisha na biashara ndogondogo, ambacho huwa kinanishangaza, mtoto akija dukani ameagizwa na wazazie, akisha kununua bidhaa aliyoagizwa, mfano bidhaa hiyo Jana ilikuwa inauzwa Kwa bei ya juu, Kwa sababu bidhaa zinakawaida ya kupanda na kushuka

Sasa aikikuta leo imeshuka tofauti na alivyonunua Jana, hiyo chenji inayobaki atataka anunue pipi, ukimuuliza anakwambia, hii iliyobaki mama haitambui, huu ni wzi au ni bahati kama kuokota pesa??
 
Hakuna muujiza hapo ni kuwaongezea tu mishahara na kuboresha maslahi, hivi mtu hajaongezewa hata mia kwa miaka 6 iliyopita unategemea nini, wafanyakazi wamedharauliwa sana kipindi hiki
 
Hakuna muujiza hapo ni kuwaongezea tu mishahara na kuboresha maslahi, hivi mtu hajaongezewa hata mia kwa miaka 6 iliyopita unategemea nini, wafanyakazi wamedharauliwa sana kipindi hiki
Mkuu, hao wanaokwapua mabilioni ndio hao wanaoongoza Kwa kulipwa mishahara minono na marupurupu na usafiri wa bule?!!
 
Mkuu, hao wanaokwapua mabilioni ndio hao wanaoongoza Kwa kulipwa mishahara minono na marupurupu na usafiri wa bule?!!
Mi naongelea kwa ujumla wao wafanyakazi nchi hii choka mbaya hao wenye uwezo wa kukwapua mabilioni ni wangapi? na mabilioni yenyewe yako wapi ndugu, mwalimu anahangaika hata kuuza vitumbua jinsi maisha yalivyompiga angalia askari wanahali mbaya wakubwa wao wachache ndio wako vizuri cha ajabu hata wakisfaafu hawapewi chao , unakumbuka walivyolalamika
 
Aisee!!

Sasa Kwa nini tunalaumu nafasi ya Uraisi Wakati sababu ya uwizi ni Sisi huku Chini mkuu
Suala la upigaji hilo tuliache tu prngine ata mimi ningewekwa hiyo nafasi ningepiga pesa 🚶🚶🚶
 
Toa maoni yako hapa,

Jambo gani lifanyike ili kudhibiti wizi wa Mali na fedha za serikali?

Je, mishahara ni kidogo?
Marupurupu yaongezwe?

Unadhani ni kipi kiboreshwe ili kukomesha hali hiyo?
CCM ifutwe.
 
Tatizo wafanyakazi wameshagundua wanasiasa wanafaidi zaidi keki ya Taifa. Hivyo wanapo pata nafasi na wenyewe wanajimegea.

Haiwezekani Mbunge anayejua tu kusoma na kuandika, anakaa miaka mitano tu Bungeni! lakini mafao yako ni zaidi milioni 200! Halafu mfanyakazi anayefanya kazi miaka 30-40, analipwa mafao ya milioni 60!
Ukweli mtupu 100%.
Ni muhimu hili liangaliwe,ikibidi waige kwa Mwl Nyerere.
 
1. Tabia ya kulindana ikomeshwe.
2. Kuwe na mifumo thabiti na yenye uwazi juu ya mapato na matumizi ya fedha.
3. Wafanyakazi wapumbavu waondolewe mapema.
4. Wafanyakazi wa serikali wapewe mafunzo ya fedha.
 
Ngoja nikupe mfano mdogo.Assume wewe ni monitor au monitress darasani alafu nwalimu akaja na biscuit akakupa akasema gawianeni ninyi kwa ninyi 😁😁nakuhakikishia asilimia 95% utaanza kuchukua zako mapema afu utaanza kugawa sasa ata ikitokea mtu kakosa mnamcheka alikua mzembe kuja kufuata😆😆
 
Unataka kusema, wote wanaoiba ni wapiga kura wazuri wa CCM pekee

Na kama ni hivyo, inamaana Vyama vingine havina watu walioko serikarini wameajiliwa
Kwani ufipa hakuna kasha za upigaji pale?
 
Kuna MTU mmoja aliwahi kusema kama kuna wanaume wenye miujiza basi ni wabongo MTU ana familia mke na watoto watatu plus mchepuko na jioni anakaa viti virefu bar,michango ya harusi watoto English medium.mshahara lk 3 au 4 huo sio muujiza ni nn? Wataacha kuiba kwa hali hiyo?au nasema uongo Ndugu zangu?
 
Back
Top Bottom