Ni kisa au mkasa gani uliwahi kufanyiwa na ndugu au mtu wako wa karibu?

Ni kisa au mkasa gani uliwahi kufanyiwa na ndugu au mtu wako wa karibu?

Ndugu waligawana mali bila kutujali sisi bado tukiwa wadogo. Tumesoma kwa shida mpaka tumekuwa na sasa tuna familia zetu. Sisi watatu tumeshikana tangu utoto mpaka leo. Wale ndugu sasa hivi wanatusengenya eti atuwajali. Sijui wanafikiri tumeshasahau!
Safi sana
 
Daaaah.... ukajinasuaje? Na alitaka kukuua kwa njia ipi?
Nilikuwa mdogo sana ni story ndefu ila hiyo Siri nilikuja kuijua Baadaye baad ya Ndug yke na baba kuisema, kiufupi alitak kunitoa kafara ila Namshukuru Muumba saiv ni mzima na nina Life yangu.
 
Nilishawahi kuajiriwa na muhindi mmoja kama project manager. Ali apply tender iliyohusisha kuweka signage (mabango) nchi nzima kutoka kampuni moja maarufu ya Makaburu (South Africans). Kipindi hicho ilikuwa project yenye thamani ya kama $100,000.

Kabla ya kupata tender kulikuwa na bidding ambapo moja ya sharti ilikuwa ni kuwakilisha installation plan (proposal) iliyohusisha uchambuzi wa matumizi ya budget, utekelazaji wa kazi mpaka kukamilika kwake.

Nilifanya kazi ya kuandaa plan wiki 2 nzima usiku na mchana maana ilikuwa inahitajika haraka. Ilipotimia na kuwakilishwa muhindi akashinda tender.

Ilipoidhinishwa tu kuwa kashinda jamaa akaniambia kuna muhindi mwenzie toka India (expatriate) atasimamia hiyo project (kutumia plan yangu), moja ya makubaliano yetu ya awali ilikuwa nitaisimamia mimi hiyo project yote endapo proposal yangu itapita.

Aliposema mambo ya expatriate tu nikatoa notice yangu ya mwezi mmoja ya kuacha kazi.

Kipindi nataarisha plan ya hiyo project nilifanya research ya kutosha nikijua nitasimamia mimi mwenyewe hivyo niliweza kuhalalisha baadhi ya matumizi ya budget nikijua nitafanikisha vipi baada ya research yangu.

Phase ya kwanza ya project ilianzia mikoa ya Tanga, Arusha na Moshi. Muhindi alipopewa mzigo installation ianze akachemka baada ya kumaliza Tanga tu. Pesa ilikata na kazi hata robo haijaisha.
Kila sehemu ilikuwa na time limit kama ilivyoanishwa kwenye proposal plan, muhindi alichemka phase ya kwanza tu huku ikiwa keshachukuwa advance ya Mkaburu.

Nilifanya presentation mimi mwenyewe kwenye bidding kwa niaba ya muhindi, hivyo sharti aliliopewa na makaburu ni kuwa aliendaa na kufanya presentation ya proposal ndio asimamie project la sivyo atanyang'anywa kazi.

Ilibidi muhindi anitafute tukae chini tena akiahidi offer kubwa kulinganisha na ya awali. Nilimkatalia na wakati huo huo nili apply kivyangu kwa makaburu wanipe project mimi kama mimi.

SIkuwa na kampuni yangu hivyo ile project ikahamishiwa kuwa in house project kumaanisha walianzisha kitengo maalum cha signage ndani ya kampuni yao kuanzia production mpaka installation na mimi nikapewa hicho kitengo kukisimamia. Hivyo badala ya Project Manager nikawa Division Manager.

Kwa ile phase ya kwanza ilimlazimu muhindi kumaliza na ilibidi areport kwangu moja kwa moja kwa niaba ya kaburu, karma is real.

Sehemu ya kazi iliyobaki iliisha kwa wakati na mpaka sasa kupitia hiyo project kitengo cha signage kwenye kampuni ya kaburu kimekuwa one of the leading signage companies kwa Tanzania.

Katika maisha chochote kinachopaswa kuwa chako kitakuwa chako tu haijalishi kitachelewa kwa kiasi gani.
💯
 
Ndugu yangu wa mbali kaja mjini kakaa kwangu miezi 2. Cha ajabu alivyoondoka kaenda kunianika kijijini kuwa tunakula wali maharage Kila siku jioni....na Dagaa kabichi mchana na kwamba wife atakua mchoyo!
Wewe ndo uliendekeza Ujamaa
 
Wakuu Mimi niliachwa na demu baada ya yeye kufika chuo mzumbe akatafuta mwanachuo mwenzake Mimi nikabak solemba mtaani kwangu,,yangu apo nikaona njia bola ya kumsahau ni kufanya kazi kwa bidii kutafuta maokoto
 
Wakuu Mimi niliachwa na demu baada ya yeye kufika chuo mzumbe akatafuta mwanachuo mwenzake Mimi nikabak solemba mtaani kwangu,,yangu apo nikaona njia bola ya kumsahau ni kufanya kazi kwa bidii kutafuta maokoto
 
ACHENI KUENDEKEZA KUAMINI NDUGU NA MARAFIKI NA WATU WAKUOKOTA BARABABARANI... HAYA MAISHA UKITAKA UYASHINDE ISHI NA MTU KAMA UNAISHI NA NYOKA NDANI YA NYUMBA... OTHERWISE MTAENDELEA KUPIGWA MATUKIO TENA NA TENA...
Binafsi nina roho mbaya sitaki mazoea na ndugu au watu ambao sijazaliwa nao tumbo moja (elewa maana ya tumbo moja)...
 
Nilinunua kiwanja Kwa mbinde sana nayeye ndo alikuwa mwenyeji wangu akanifaata pale nilipokuwa na simamia duka.

Akaniambia Kuna kiwanja kinauzwa pazuri kweli na bei nzuri nakuomba chukua pesa kakilipie. Balance yangu ilikuwa kidogo tu ikabidi nichukue na ya boss kuongezea maana kiwanja kilikiwa kinauzwa 650k

Nikaenda kununua tukaandikishana Kila kitu

Baada ya muda nikaamua kikuuza yeye ndo aliyetafta manunuzi Kwa maeleano ya 850k
Mnunuzi akanguliza 450k basi jamaa Kila niliulizia haeleweki walanini nakuja kuambiwa ndg yngu alipewa pesa yote Akala

Huwa najitajidi nisamehe moyo unagoma kabisa hati ninazo Kila kitu.

Pesa Ile nilkuwa naliPwa 70k Kwa mwezi nikajihidi Hadi kupata nikanunua hiko kiwanja
 
Kwa njia kubwa sana naweza kusema hilo tukio liliimarisha imani yangu zaidi kwa Mungu.

Muhindi aliponifuata mara ya pili sikuwa na kazi, nilikuwa nina dhiki ambayo nisingemuombea mwanadamu yeyote awe nayo. Ila nilipata ujasiri wa kumkatalia offer yake.

Kwa uhalisia niliokuwa nao kipindi hicho ilipaswa nikubali hata robo ya mshahara wangu wa awali. Ila nilipatwa na ujasiri wa kukataa na wazo la kwenda kwa kaburu mwenyewe.

Mpaka leo naamini kabisa haikuwa akili, ujanja wala utashi wangu katika kufanya maamuzi. Ilikuwa ni rehma na muongozo wa Mungu.

Miracles are real we just have to believe.
Nimefurahi,am waiting for my miracle.
 
Ndugu yangu wa mbali kaja mjini kakaa kwangu miezi 2. Cha ajabu alivyoondoka kaenda kunianika kijijini kuwa tunakula wali maharage Kila siku jioni....na Dagaa kabichi mchana na kwamba wife atakua mchoyo!
Hii ndio mlo.wenye afya akaseme tu
 
siku moja nikapokea mpunga wa maana yani pesa ndefu wakati nazipanga vizuri nikiwa chumbani kumbe chalii wangu ananiona. Si akaenda kumtonya kibaka aisee usiku mzima nimelala na kibaka akinipiga sachi ya maana. Kumbe nilivomaliza kupanga nikawe ndani ya spika sebuleni, nikaja kugundua ishu nzima asubuhi. Dah dunia ina meng.

siku moja nikapokea mpunga wa maana yani pesa ndefu wakati nazipanga vizuri nikiwa chumbani kumbe chalii wangu ananiona. Si akaenda kumtonya kibaka aisee usiku mzima nimelala na kibaka akinipiga sachi ya maana. Kumbe nilivomaliza kupanga nikawe ndani ya spika sebuleni, nikaja kugundua ishu nzima asubuhi. Dah dunia ina mengi
Pesa ilienda au ilibaki?
 
Iv hizi issue za kutesana kwa kukaa aakwa ndg ziko kweli?
Nimekua ndg wanasomea kwetu(ndg wa upande wa mama) sikuwan ona shida yoyote wamepata
Sisi wenyewe tumesomea kwa ndg baba wadogo hapa dar hatujawah pappta shida yoyote
Now kwangu ndg wamepita kibao wengine kusoma na wengine wanakuja mjini kutafuta mishe ya kufanya sijawah ona shida sometime nakaaga na watu siwajui but amna shida
Najiuliza iv unamtesaje mtu? Kama hutak kukaa nae si umwondoe tu ? Na unapomtesa mtu iv kesho yako unaijua kweli?
Baba mdogo aliwah tuambiwa wakat huo tunakaa kwake vijana kama 7 iv wite tunasoma " ukipokea wagen ndani kwako hutakaa upungukiwe chakula kamwe" huu msemo haujawah toka kichwan na niwe mkweli sometime nakaaaga na watu kwangu na hali inakuwa haiko poa biashara haziend but hatujawah kupungukiwa chakula ndani kamwe.
Nimempenda huyo baba,msemo mzuri Sana.
 
Back
Top Bottom