Ni kisa au mkasa gani uliwahi kufanyiwa na ndugu au mtu wako wa karibu?

Ni kisa au mkasa gani uliwahi kufanyiwa na ndugu au mtu wako wa karibu?

Nilishushwa kazi na mtu niliyemsaidia apate kazi kwenye kampuni nilipo.

Akawa hanisalimii Wala kuongea na mimi, pia akawa ananicheka baada ya kurudi chini yaani kutoka kuangaliana na Computer hadi kushika Spana kama fundi, sikujali kushuka kwa mshahara na marupurupu.

Nililazimisha furaha machoni pa watu huku Kila mtu akinishangaa wengine waliniita chizi au nimerogwa sikujali, nilizungukia Equipments zote za kampuni huku yule jamaa akinifanya kunisifia kuwa Mimi ni fundi Bora kwa vifaa vyote vinafanya kazi kwa usahihi.suti na tai vilimpendeza akajiona kamaliza maisha

Lakini acha MUNGU aitwe MUNGU, nilipeleka CV zangu mahali, nikapokelewa freshi , huku nikiwaonesha Nini maana ya
Mechanical engineering, nikapewa na dereva juu maanina.
Hapo mwishoni ndio umeharibu
 
Back
Top Bottom