Lastmost
JF-Expert Member
- Jan 30, 2022
- 802
- 919
HahahahHahaha hajasema uwongo of course. Ila ni kama ananinanga fulani. Pia lile pilau la Kila jumapili ambalo sio la maharage hajalisema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahHahaha hajasema uwongo of course. Ila ni kama ananinanga fulani. Pia lile pilau la Kila jumapili ambalo sio la maharage hajalisema.
Hapo mwishoni ndio umeharibuNilishushwa kazi na mtu niliyemsaidia apate kazi kwenye kampuni nilipo.
Akawa hanisalimii Wala kuongea na mimi, pia akawa ananicheka baada ya kurudi chini yaani kutoka kuangaliana na Computer hadi kushika Spana kama fundi, sikujali kushuka kwa mshahara na marupurupu.
Nililazimisha furaha machoni pa watu huku Kila mtu akinishangaa wengine waliniita chizi au nimerogwa sikujali, nilizungukia Equipments zote za kampuni huku yule jamaa akinifanya kunisifia kuwa Mimi ni fundi Bora kwa vifaa vyote vinafanya kazi kwa usahihi.suti na tai vilimpendeza akajiona kamaliza maisha
Lakini acha MUNGU aitwe MUNGU, nilipeleka CV zangu mahali, nikapokelewa freshi , huku nikiwaonesha Nini maana ya
Mechanical engineering, nikapewa na dereva juu maanina.
[emoji23]Hapo mwishoni ndio umeharibu