Muuza madafu wa Ikulu
JF-Expert Member
- Feb 21, 2024
- 1,277
- 2,888
Ndio maana una tinda nyusi, ulikiwa unalala kitanda kimoja na dada wa kazi.Alikuwa anajikojolea halafu ananisingizia mimi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana una tinda nyusi, ulikiwa unalala kitanda kimoja na dada wa kazi.Alikuwa anajikojolea halafu ananisingizia mimi.
Mamaa Vituko ni vingi Jamani daaa!Kuna dada wa kazi alikuwa analalama mtoto wa darasa la pili anamdharau.
So, akachukua daftari la homework la mtoto kinyemela na akaandika tusi 'k' ili amuundie mtoto msala shule akachapwe.
Little did she know kwamba shule za kishua watoto hawachapwi hovyo, ni wazazi wanapigiwa simu kujadili nini kimetokea.
Kutrace ndo tunagundua mwandiko ni wake na yule mtoto wala hajui hata hilo tusi.
Akapoteza kazi immediately!
Simtetei afisa ,mkuu ila kwa kazi yuko vizuri huwa anakwazwa na baadhi ya wageni kwa tabia zao..anaona pia kazi zinaongezekaSio vizuri kununa kisa wageni wamekuja hawaji kula kumaliza usimtetee huyo afisa
Alinipa sumu kwenye uji,mchicha,akaja kushikwa alikuwa aniue nilikuwa na 2years mdogoo
Mkuu wa ulimwengu tulipo kwa sasa nikae nyumbani kufanya unpaid work mzazi wangu anashida ya elf 50 au laki niandike proposal kuomba pengine ikataliwe au ikubaliwe na hapo inategemea na mood ya donor..siwezi aisee naitumikia elimu yangu ambayo wazazi wangu waliwekeza kwangu ..kuna kukwama pia mimi kama mama naweza kwamua kama ninachochote na mambo yakaenda katika familiaNdio maana nasema kila mara mke hatakiwi kufanya kazi
Majukumu ya mke ni;
(1) Kuzaa watoto
(2) Kutunza familia (baba na watoto)
(3) Kutunza nyumba
Sawasawa mama boss kikubwa watoto anawazingatiaSimtetei afisa ,mkuu ila kwa kazi yuko vizuri huwa anakwazwa na baadhi ya wageni kwa tabia zao..anaona pia kazi zinaongezeka
Alikuwa anataka kutuua familia nzima aolewe na baba azae watoto wengine maana aliposhikwa alikiri kuwa sio mimi alikuwa anampango wakuniua ilikuwa familia nzima japo alianza na mimiAlitaka kuondoa ulichopewa hayo au? Alijua wewe utatumika na haukujua una ulinzi au ndio maadui zenu walitaka kuwa futa kwenye amani ya hayo umepewa urithi?
[emoji848]Kuna likizo mama watoto alisafiri tukabaki wawili mimi na dada wa kazi.
Mvua ikanyesha kubwa kiasi.
Asieee,Alikuja kunigongea chumbani eti anaogopa kulala peke yake.
Nikawaza huyu bint ametoka Kagera na mvua huko ni nyingi leo aogope mvua?
Nikatoka nikamwambia washa TV uangalie.Alivyo vaa kikanga kimoja tu.
Kama mwanaume kweli nilipata mtikosiko kiasi,nikarudi room kwangu nikapiga Nyeto kesi na Abdala kichwa wazi ikaisha nikapona na mtego wake.
Sio chai mzee[emoji848]View attachment 3092428
Alikuwa anataka kutuua familia nzima aolewe na baba azae watoto wengine maana aliposhikwa alikiri kuwa sio mimi alikuwa anampango wakuniua ilikuwa familia nzima japo alianza na mimi