Roca fella
JF-Expert Member
- May 13, 2023
- 2,077
- 4,152
Kitanda Cha chuma kitafaa hasa ukiwa unacheza mechi za nyumbani dhidi ya mama watoto F.C 😳👀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtiki ni mzuri sana, rangi yake inavutia sana. Hiki kabati ni mbao ya mtikiMbao ya mnazi ni nzuri Kwa furniture..mninga na mpodo ni nzuri zina rangi nyekundu sema currently nimekuwa na Mapenzi sana na furniture za mtiki.
Mnazi ni mbao ngumu sana, mbao ngumu mno ila imekosa rangi nzuri tu, hata finshing yake inakubali sana, ukipiga msasa vizuri inateleza vizuri ila ndio rangi yake ya asili sio nzuri sanaHt mbao ya mnazi ni ngumu sana
Hoyeee
Very nice!naupenda sana hiyo mbao?mkono wako Huo?Mtiki ni mzuri sana, rangi yake inavutia sana. Hiki kabati ni mbao ya mtiki View attachment 2761629
Yes mnazi ni mti mgumu sanaMnazi ni mbao ngumu sana, mbao ngumu mno ila imekosa rangi nzuri tu, hata finshing yake inakubali sana, ukipiga msasa vizuri inateleza vizuri ila ndio rangi yake ya asili sio nzuri sana
Ni Kweli mnazi rangi umekosa!Mnazi ni mbao ngumu sana, mbao ngumu mno ila imekosa rangi nzuri tu, hata finshing yake inakubali sana, ukipiga msasa vizuri inateleza vizuri ila ndio rangi yake ya asili sio nzuri sana
Kitanda changu ni mnazi...kwanza kizitooo na yaani hata kukisogeza tu naonaga shidaNi Kweli mnazi rangi umekosa!
Umekipaka rangi?Kitanda changu ni mnazi...kwanza kizitooo na yaani hata kukisogeza tu naonaga shida
Ukipata cha chuma kiwe na sofa n unyama sana hapo zinapigwa ligi zote ndondo hadi premier league kama n mbao chukua mninga level ya epl hio hio m bedi sofa mingi wanachakachua mechi za mtoano tuh kufuzu makundi hakifai kitachakaa hicho n kwa ajil ya mapumziko nje ya msimuNi kitanda gani kizuri na sifa zake nikanunue
Hatimaye kama nilivonuia kwamba mwezi wa tisa hautaisha bila kuwa na kitanda ni karibia mwaka Sasa Mm na mama mtoto wangu tunatupa godoro yetu chini asanteni
Wote mlionipa matumaini tokea siku ya kwanza nilipolalia mabox
MUNGU ASIFIWEEEE
Kina polish tu rangi ya mbaoUmekipaka rangi?
Ndio moja ya kazi yangu.Very nice!naupenda sana hiyo mbao?mkono wako Huo?
[emoji1787]Chagua cha mbao kilicho imara.Kikifungwa na kuwekwa sehemu iliyokaa vizuri kinajiwekea silent mode automatically.Hakuna sauti ya kwichiii...kwiiiichiii.Na kinapendeza kufaharisha macho.
Best option ni kwenda kwa wauza mbao nunua Kwa mahitaji ya kitanda chako then muite fundi atengeneze hapo kwako hapo hutaibiwaMbao haitokua na mpinzanii,
Chuma kikianza kulika kwenye maungio ni kelele tuu,
Sofa ndio kabisaa, kuchanika, kuchafuka, kufubaa, bado hujataja uimara na mbao za hovyo zilizofunikwa na kitambaa....
Kua makini na mbao za sikuhizi wanazoita mbao ngumu, mbao inapewa jina mfano Mninga, mkongo n.k, akisema mbao ngumu tuu shtuka.
Hayo ni ma play wood, MBF ya kichina likiingia maji unaokota pumba chini.
NOTE : Epuka furniture iliyopigwa Rangi kabla hujaona mbao yenyewe.
Uko vizuri.... Mungu akijalia siku Moja nitakuunga mkonoNdio moja ya kazi yangu.
Kama joiner hayupo makini kinaingiza kunguni kwenye mazingira machafu lakini mbao ni fashionable haipitwi na wakati kama chuma, nakumbuka zamani vilikuwepo vitanda vinaitwa Banco viliwika sana miaka ya 70s vikafutika sasa vimekuja vya square na round pipes finishing yake siyo nzuriCha mbao ni balaa zikiingia kunguni kama vita ya Drc!