Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Tutajie moja tuHata TZ tunanao hao special force tena wiko vizuri tu na wameshafanya mission impossible nyingi tu sema kimya kimya tena zingine ukiambiwa huwezi amini kama zimefanywa na askari wa kawaida tu sio special force. Tuko vizuri tuendelee kuunga mkono juhudi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuweka point vizuri, kama wengine walivyosema, huyo mwanajeshi anawafanyia mafunzo special unit ya Kenya. Anatokea Uingereza. Uingereza na Kenya wanaushirikiano wa karibu sana kwenye mafunzo ya kijeshi, hata mwaka jana mtoto wa malkia wa Uingereza aliwatembelea wanajeshi wenzake waliokuwa wanafanya mafunzo ya pamoja alipoitembelea Kenya.Correction. SAS huwa ndio unit bora zaid..
Selection ya SAS ni ngumu sana kuliko Navy seals.
SBS(special boat services). Hawa ni pacha wa SAS ila wamebobea kwenye maji.
Huyo unae muona hapo alikuwa off duty, au anaweza kuwa ex-SAS since wanaruhusiwa kustaaf ktk umri mdogo.
Huyu bwana alikuwepo eneo hilo wakati panavamiwa.. si kwamba alitumwa au kenya iliomba msaada hapana.
Ni tukio limemkuta akaamua kutoa msaada since yeye ni expert kwenye counter terrorism.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo yupo kwa ajili ya training kwenye Kenya special forcesYes ni SAS member. Lakin inategemea kama ni yuko in active duty.. au yuko likizo.. au amestaaf.
Kumbuka hawa jamaa wakistaaf nchi bado inawatambua. Huwa wanatembea na ile elite patch ya SAS.. likitokea la kutokea basi wajue ni mwenzao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Recce ni kikosi ndani ya GSU. Vikosi vya Recce na flying squad vinafahamika kwa raia. Na nilazima watu wafahamu hivi vikosi kwa sababu ya kujenga hofu kwa wabaya wa nchi na majambazi.Nchi kam zakwetu huenda kuwa tunazo. Maybe hawana training kama ya wenzetu.
The thing is hiv vikosi ni vya siri sana kias kwamba members wa huko hawajulikani majina yao.
Uwa wanajulikana baadae wakishatoka nje ya jeshi. Kustaaf au kuacha.
Mfano kuna kikos maalum cha polis kutoka kenya kinaitwa GSU(general security unit) a.k.a recce. Hawa jamaa wamekuja kujulikana kwenye tukio la westgate. Hakuna ambae alikuwa akifaham existence yao.
Vikosi vipo. Ila vinafichwa sana kwa usiri mkubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Weka mbali na watoto.Mazee nimejiuliza kwanini Kenya Safari hii imewadhibiti haraka Magaidi Kumbe Kulikua kuna hawa Jamaa wanaotoka katika Most Elite Army Units on Earth
Tukianza na Navy Seal hawa ni Elites Army unit ya Marekani Wanao operate Katika Sea, Air na Land (combat) Interview na Mafunzo ya Navy Seal ni Magumu kuliko kikosi chochote cha Jeshi Ulimwenguni ni Vigumu sana kupambana nao wanajua Sana Kutumia Silaha na Kujilinda kwa kutumia miili yao Katika Tukio la Dusit walikuepo Navy Seal
Kuna British Special Air Service (SAS) hawa huwa hawaonekani Hovyo ni moja ya Vikosi bora wakiwa wamebobea katika mambo ya Kupambana na Ugaidi, na Kuokoa Mateka katlka Tukio la Dusit alikuepo mmoja ambaye alifika na Gari yenye namba za Ubalozi Akiwa na Mavazi ya Kulinda Mwili na Silaha na Alipambana na Magaidi Direct Mpaka Waingereza wenyewe wanashangaa kuwaona SAS wakipambana mchana kwani huwa wanapenda sana kufanya shughuli zao usiku.
SAS na Navy Seals ni watu waliondoka bila hata mkwaruzo wowote.
SAS huyu ana Kisu kipo tumboni hapo kinaonekana hapo kwa ajili ya mapambano ya Mkono kwa Mkono ana Pisto ana Hiyo Bunduki inayoitwa Modified Colt Canada Rifle Japo kichwani hana Helment huku akiwa katupia Jeans.
View attachment 997444
Najiuliza Kwenye Nchi zinazoendelea Elites Forces Unit kama hizi huwa zipo? Je ni kutokana na Uonevu wa Alshaabab Nchini Kenya Waliombwa waanzishe makazi yao nchini Kenya?
Alitoa wapi zigo la siraha kwa haraka kiasi hicho, tena kwa setup ambayo ni tofauti kabisa na askari wote wa Kenya walioonekana kwenye tukio!!! Most likely yuko on duty
Mkuu unavyosema Navy Seals hawako fit kihivyo mimi ndiyo napata ukakasi kabisa. Maana historia inatuambia kwamba Navy Seals walianzishwa baada ya Delta Force kuonakana haifanyi vizuro kwenye baadhi ya maeneo. Mathalani, nadhani katika dunia hii ya leo vifaa mbali na mazoezi ni moja ya sababu ya kikosi kuwa imara. Hivi kuna kikosi cha makomandoo ambacho kina vifaa vya ajabu kama Navy Seals ? Mwanajeshi wa kawaida wa Marekani akiwa amevaa full gear siyo chini ya milioni 40 za kitanzania (Do your research). Hapa ndipo wanapokuwa mbele ya vikosi vingine duniani.SEAL hawako fit kiivyo. Ila SAS wako vizur.
Delta force ambao huwa wanafanya kazi kwa siri.. sometimes C.I.A huwaajiri kwa muda under SAD, kama CAG operators.
Delta force waasis wake ni SAS, new zealand SAS NZSAS, Australia.. majesh mengi europe uasis umeanza kutoka SAS. Na baadhi ya nchi za asia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Correction. SAS huwa ndio unit bora zaid..
Selection ya SAS ni ngumu sana kuliko Navy seals.
SBS(special boat services). Hawa ni pacha wa SAS ila wamebobea kwenye maji.
Huyo unae muona hapo alikuwa off duty, au anaweza kuwa ex-SAS since wanaruhusiwa kustaaf ktk umri mdogo.
Huyu bwana alikuwepo eneo hilo wakati panavamiwa.. si kwamba alitumwa au kenya iliomba msaada hapana.
Ni tukio limemkuta akaamua kutoa msaada since yeye ni expert kwenye counter terrorism.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Troll historia inasema kwamba vikosi vya ulinzi na usalama vya Marekani kuanzia Intelijensi (OSS na CIA) hadi jeshi vilipata mafunzo makubwa sana kutoka kwa Muingereza. Yaani kama ambavyo Tanzania tulikuwa tunategemea Cuba, Urusi na Uchina, basi Marekani alikuwa anategemea sana Uingereza......
Uwezo wa SAS ni mkubwa sana, sijui hata kwanini imekuwa hivyo. Lakini hata wanajeshi wa nchi nyingine wanasema jamaa wako vizuri sana.
Sent using Jamii Forums mob
ile app
Au za kule Comoros mkuu?Hata TZ tunanao hao special force tena wiko vizuri tu na wameshafanya mission impossible nyingi tu sema kimya kimya tena zingine ukiambiwa huwezi amini kama zimefanywa na askari wa kawaida tu sio special force. Tuko vizuri tuendelee kuunga mkono juhudi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulikuwepo au umeadithiwa mkuu?Huyo SAS yupo kwa ajili ya kuwapa mafunzo Wakenya nao wana kikosi chao cha kujilinda na ugaidi...Na huyo jamaa anatembea kwenye Gari yake akiwa na vifaa alivyovaa wakati wote na alichonishangaza yeye havai element sijui kichwani ila siraha anayokua nayo ni kubwa sana na ana shabaha sana kila risasi inafika kwenye Target yake na amewaokoa wakenya wengi na ndie aliefanya magaidi kwenda kujificha gorofa ya saba maana alikua haogopi kitu anaingia chumba kwa chumba mwenyewe wakenya wakiwa mbali na kutoka nje kuangalia ramani ya jengo...jamaa yupo fit sana aisee..ameiva vizuri kwa kweli..
Poa mkuu basi kikosi bora Simba Sports Club. Kikosi kipana. Happy?!Ila mleta mada punguza mahaba!! Eti SAS na SEAL ndiyo vikosi bora ulimwenguni!! Vikosi vya wengine unavijua?? Au series na propaganda za kimarekani zimekupa upofu???
Operesheni nyingi tu za SEAL zimeshindwa, tena huko Somalia, Yemeni ,Afghanistan n.k.
Kwahiyo mkuu tusiwaamini waliokuwa kwenye tukio wanaosema magaidi wameuwawa tukuamini wewe ambae uko Tandale Kwa Mtogole muda huu?!Nani amekudanganya kwamba hao magaidi waliuwawa ama kuzibitiwa?wakenya wanacheza movie zao kama ule uongo wa jeshi kuwadhiti magaidi kwenye tukio LA westgate
Jamani kabla hamujaleta uzi mfanyege research kujua sababu ya hao watu kuwepo Katika eneo la tukio.Mazee nimejiuliza kwanini Kenya Safari hii imewadhibiti haraka Magaidi Kumbe Kulikua kuna hawa Jamaa wanaotoka katika Most Elite Army Units on Earth
Tukianza na Navy Seal hawa ni Elites Army unit ya Marekani Wanao operate Katika Sea, Air na Land (combat) Interview na Mafunzo ya Navy Seal ni Magumu kuliko kikosi chochote cha Jeshi Ulimwenguni ni Vigumu sana kupambana nao wanajua Sana Kutumia Silaha na Kujilinda kwa kutumia miili yao Katika Tukio la Dusit walikuepo Navy Seal
Kuna British Special Air Service (SAS) hawa huwa hawaonekani Hovyo ni moja ya Vikosi bora wakiwa wamebobea katika mambo ya Kupambana na Ugaidi, na Kuokoa Mateka katlka Tukio la Dusit alikuepo mmoja ambaye alifika na Gari yenye namba za Ubalozi Akiwa na Mavazi ya Kulinda Mwili na Silaha na Alipambana na Magaidi Direct Mpaka Waingereza wenyewe wanashangaa kuwaona SAS wakipambana mchana kwani huwa wanapenda sana kufanya shughuli zao usiku.
SAS na Navy Seals ni watu waliondoka bila hata mkwaruzo wowote.
SAS huyu ana Kisu kipo tumboni hapo kinaonekana hapo kwa ajili ya mapambano ya Mkono kwa Mkono ana Pisto ana Hiyo Bunduki inayoitwa Modified Colt Canada Rifle Japo kichwani hana Helment huku akiwa katupia Jeans.
View attachment 997444
View attachment 997630
Najiuliza Kwenye Nchi zinazoendelea Elites Forces Unit kama hizi huwa zipo? Je ni kutokana na Uonevu wa Alshaabab Nchini Kenya Waliombwa waanzishe makazi yao nchini Kenya?