Ninja assasin
JF-Expert Member
- Jul 2, 2018
- 2,512
- 5,848
Uongooooooo 😂Sina wezele na wala sijali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uongooooooo 😂Sina wezele na wala sijali
Mimi piaMpenzi....
Ombi ni lile lileNitongoze tena.....
Unaomba nini mpenzi, penzi au mapenzi 🤣🤣🤣🤣Ombi ni lile lile
Sio kitu cha kukosa weweSina wezele na wala sijali
PenziUnaomba nini mpenzi, penzi au mapenzi 🤣🤣🤣🤣
Usipime mkuu ,Jamaa ana Mansion la hatari ,yaani kazidi hadi Mansion la Samia ,Lipo Mbweni JKT .
Jamaa alianza kuonyesha nyumba yake ndogo ya chanika watu wakamcheka sana inakuwaje ameishi UK zaidi ya miaka 15 halafu ana nyumba utafikiri zahanati ya kijiji ,aisee kumbe jamaa alikuwa anajenga pia Mbweni JKT ,ikabidi aonyeshe pia mansion la mbweni na kuwaziba watu midomo...Lile Jumba zaidi ya la Samia.
Madungu ndiyo nini mkuu?Hili mansion lake umeliona wapi nami nilicheki mana niko kwenye group zake za kuuza madungu zile za whatsapp
We kweli Mad Max [emoji23][emoji23][emoji23]iPhone
King'amuzi
Netflix
TikTok
Jezi ya Simba
Mke
Shukrani kuweka sawa hilo Mkuu 🙏🙏
Hahahaa aiseeSina maisha ya wana JF ya kuwa na kazi ya 5M, Mke, Nyumba, Watoto wa 2 na Gari.