Ni kitu gani ambacho hauna na wala hakikusumbui kichwa?

Ni kitu gani ambacho hauna na wala hakikusumbui kichwa?

Vitu ambavyo huna na haviwezi kukuumiza moyo ni vile ambavyo you can afford.
Mfano kuna watu wana hela ila unakuta ana Tecno ya 250,000 tu. Kuna muhindi ana apartments kibao halafu anatumia Toyota Premio huyu akisema hana LC300 na haimuumizi kichwa nitamuelewa.

I agree
 
Back
Top Bottom