Ni kitu gani ambacho hauna na wala hakikusumbui kichwa?

Ni kitu gani ambacho hauna na wala hakikusumbui kichwa?

Usipime mkuu ,Jamaa ana Mansion la hatari ,yaani kazidi hadi Mansion la Samia ,Lipo Mbweni JKT .

Jamaa alianza kuonyesha nyumba yake ndogo ya chanika watu wakamcheka sana inakuwaje ameishi UK zaidi ya miaka 15 halafu ana nyumba utafikiri zahanati ya kijiji ,aisee kumbe jamaa alikuwa anajenga pia Mbweni JKT ,ikabidi aonyeshe pia mansion la mbweni na kuwaziba watu midomo...Lile Jumba zaidi ya la Samia.
KC ana nyumba aiseee!! Umeona na ile bar yake sasa!!
Sema madungu nasikia mabovu yale ukinunua lazima likufie 🤣🤣🤣
 
Kwan lazima kuwa na iphone ? Ungesema huna simu ndio sawa,
Mana kwa style hio mtu atasema mim sina Samsung wala Tecno na nipo sawa 😂😂

Anyway, mm sijawahi kuwa sawa nikiwa sina kitu nachokitaka, yan hata sasa sipo sawa kwa sabab kuna hela nataka na sina
ni mimi hapa sina Tecno huu ni mwaka wa 11 sasa
 
KC ana nyumba aiseee!! Umeona na ile bar yake sasa!!
Sema madungu nasikia mabovu yale ukinunua lazima likufie 🤣🤣🤣

Hahaha bar ya ukweli ,sina uhakika kuhusu madungu yake ,maybe washindani wake wanataka kumuharibia tu ,who knows? Biashara zina unafiki mwingi ,si umeona Niffer anavyopopolewa na kojic yake.
 
Mimi kuna vitu sina na vinanisumbua, kusema havinisumbui ntakua nadanganya.
Gari
Nyumba
Shamba
Elimu zaidi nk.

Ngoja niendelee kupambana.
Ah jamani mrembo unateseka wakati hivyo vitu ukisema unapata. Njoo nikugaie shamba hapa kinole uanze kujenga.
Gari ist mil15 sii nakuhonga tuu 🤣🤣🤣🤣
Elimu zaidi tena mwanetu cpa haitoshi😲😲😲
 
Vitu ambavyo huna na haviwezi kukuumiza moyo ni vile ambavyo you can afford.
Mfano kuna watu wana hela ila unakuta ana Tecno ya 250,000 tu. Kuna muhindi ana apartments kibao halafu anatumia Toyota Premio huyu akisema hana LC300 na haimuumizi kichwa nitamuelewa.
Nimekuelewa Mkuu... maelezo yamejitosheleza 🙏
 
Mimi binafsi sina IPhone na wala sijali kabisa, vipi wewe?
Binafsi Sina Dem, Sina mchepuko, Sina mpenzi, Wala sina mke na hainisumbui kichwa Wala sijali kabisa na Sina time nao

Wakijipendekeza kama siwaoni
 
Back
Top Bottom