Ni kitu gani ambacho hauna na wala hakikusumbui kichwa?

Ni kitu gani ambacho hauna na wala hakikusumbui kichwa?

Usipime mkuu ,Jamaa ana Mansion la hatari ,yaani kazidi hadi Mansion la Samia ,Lipo Mbweni JKT .

Jamaa alianza kuonyesha nyumba yake ndogo ya chanika watu wakamcheka sana inakuwaje ameishi UK zaidi ya miaka 15 halafu ana nyumba utafikiri zahanati ya kijiji ,aisee kumbe jamaa alikuwa anajenga pia Mbweni JKT ,ikabidi aonyeshe pia mansion la mbweni na kuwaziba watu midomo...Lile Jumba zaidi ya la Samia.
Duh,alilionyesha facebook au instagram
 
Nikisema Sina vitu ambavyo Sina alafu siumii moyo kuvikosa itakuwa uwongo....

Nyie mlioweza hongereni.....binafsi hiyo roho Sina kabisa

Wanasema Get rich or die trying
Vitu ambavyo huna na haviwezi kukuumiza moyo ni vile ambavyo you can afford.
Mfano kuna watu wana hela ila unakuta ana Tecno ya 250,000 tu. Kuna muhindi ana apartments kibao halafu anatumia Toyota Premio huyu akisema hana LC300 na haimuumizi kichwa nitamuelewa.
 
Back
Top Bottom