Ni kitu gani ambacho hauna na wala hakikusumbui kichwa?

sijui kwa wengine, nafikiri hata kukikumbuka hicho kitu ni kadalili fulani angalau ka kujali, kwangu mimi nikiona hata mawazoni naki search kwa shida hakiji, hapo nimefika kwenye level ya kusema sijali.
 
Angekuwa anaishi Itigi angekuwa apeche alolo? Au angekomaa na kuuza mkaa je?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…