mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
Thanks Mkuu ๐
Duh,alilionyesha facebook au instagramUsipime mkuu ,Jamaa ana Mansion la hatari ,yaani kazidi hadi Mansion la Samia ,Lipo Mbweni JKT .
Jamaa alianza kuonyesha nyumba yake ndogo ya chanika watu wakamcheka sana inakuwaje ameishi UK zaidi ya miaka 15 halafu ana nyumba utafikiri zahanati ya kijiji ,aisee kumbe jamaa alikuwa anajenga pia Mbweni JKT ,ikabidi aonyeshe pia mansion la mbweni na kuwaziba watu midomo...Lile Jumba zaidi ya la Samia.
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ ni magari makubwa kama range rover na discovery ndo anayauza huyo jamaa anaitwa chris lukosi aluikua anaishi UKMadungu ndiyo nini mkuu?
IPhone ndio kitu gani?Mimi binafsi sina IPhone na wala sijali kabisa, vipi wewe?
Aisee kumbe ni magari nilihisi ni bidhaa gani ๐๐๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ ni magari makubwa kama range rover na discovery ndo anayauza huyo jamaa anaitwa chris lukosi aluikua anaishi UK
Anayauza bei nafuu kuanzia
Acha bhana numbie!Sina wezele na wala sijali
Yaani wewe ingekuwa tunakaa mtaa mmoja kingeumana...๐คฃ๐คฃ๐คฃMpenzi....
UongoooooMi sina pesa na nipo poa tuu.
Jezi ya utopoloiPhone
King'amuzi
Netflix
TikTok
Jezi ya Simba
Mke
UongoooiPhone
King'amuzi
Netflix
TikTok
Jezi ya Simba
Mke
Kwenye hii album kuna ngoma inaitwa patiently waiting ndio theme song yangu ๐
Vitu ambavyo huna na haviwezi kukuumiza moyo ni vile ambavyo you can afford.Nikisema Sina vitu ambavyo Sina alafu siumii moyo kuvikosa itakuwa uwongo....
Nyie mlioweza hongereni.....binafsi hiyo roho Sina kabisa
Wanasema Get rich or die trying
UongooooSina tako.
๐ถ๐ถ๐ถ๐ถUongoooo
naona umeanza na top priority, ambayo ni gariMimi kuna vitu sina na vinanisumbua, kusema havinisumbui ntakua nadanganya.
Gari
Nyumba
Shamba
Elimu zaidi nk.
Ngoja niendelee kupambana.