KC ana nyumba aiseee!! Umeona na ile bar yake sasa!!Usipime mkuu ,Jamaa ana Mansion la hatari ,yaani kazidi hadi Mansion la Samia ,Lipo Mbweni JKT .
Jamaa alianza kuonyesha nyumba yake ndogo ya chanika watu wakamcheka sana inakuwaje ameishi UK zaidi ya miaka 15 halafu ana nyumba utafikiri zahanati ya kijiji ,aisee kumbe jamaa alikuwa anajenga pia Mbweni JKT ,ikabidi aonyeshe pia mansion la mbweni na kuwaziba watu midomo...Lile Jumba zaidi ya la Samia.
Unataka umpe ile brev’s mkuuT and Cs
-Hakuna kuuza
-Thibitisha uwezo wa kulihudumia
Jamaa ananichekesha anavyoviponda vibakuli 🤣🤣🤣🤣Sina Range Autobiography kama ya Zamaradi au Davis Mosha lakini siumizi Kichwa ,pia sina Mansion Kama la Chris Lukosi mzee wa Madungu Jeshi lakini siumizi kichwa.
ni mimi hapa sina Tecno huu ni mwaka wa 11 sasaKwan lazima kuwa na iphone ? Ungesema huna simu ndio sawa,
Mana kwa style hio mtu atasema mim sina Samsung wala Tecno na nipo sawa 😂😂
Anyway, mm sijawahi kuwa sawa nikiwa sina kitu nachokitaka, yan hata sasa sipo sawa kwa sabab kuna hela nataka na sina
KC ana nyumba aiseee!! Umeona na ile bar yake sasa!!
Sema madungu nasikia mabovu yale ukinunua lazima likufie 🤣🤣🤣
Ah jamani mrembo unateseka wakati hivyo vitu ukisema unapata. Njoo nikugaie shamba hapa kinole uanze kujenga.Mimi kuna vitu sina na vinanisumbua, kusema havinisumbui ntakua nadanganya.
Gari
Nyumba
Shamba
Elimu zaidi nk.
Ngoja niendelee kupambana.
Kuna point moja kwenye economics ina utofauti wa taste na preference、watu tunatofautiana sana hapo.naona umeanza na top priority, ambayo ni gari
Nimekuelewa Mkuu... maelezo yamejitosheleza 🙏Vitu ambavyo huna na haviwezi kukuumiza moyo ni vile ambavyo you can afford.
Mfano kuna watu wana hela ila unakuta ana Tecno ya 250,000 tu. Kuna muhindi ana apartments kibao halafu anatumia Toyota Premio huyu akisema hana LC300 na haimuumizi kichwa nitamuelewa.
Hapo kwenye elimu zaidi ndyo sipo, hiki kidigirii niko nacho nimekisotea 4yrs kinanitosha.Mimi kuna vitu sina na vinanisumbua, kusema havinisumbui ntakua nadanganya.
Gari
Nyumba
Shamba
Elimu zaidi nk.
Ngoja niendelee kupambana.
Yaani mpaka umeweka UZI hapa JF halafu useme Iphone Haikusumbui.Inakusumbua Sana Mkuu....Kisichokusumbua hujakiweka hapa.Mimi binafsi sina IPhone na wala sijali kabisa, vipi wewe?
Binafsi Sina Dem, Sina mchepuko, Sina mpenzi, Wala sina mke na hainisumbui kichwa Wala sijali kabisa na Sina time naoMimi binafsi sina IPhone na wala sijali kabisa, vipi wewe?
Nikufundishe jinsi ya kuipata Iphone?Mimi binafsi sina IPhone na wala sijali kabisa, vipi wewe?
Napenda ulivyo mkweliKiukweli yes maana gari now siyo luxury ni among basic needs , huwa nasumbuka sana sababu ya usafiri aisee🙄
Si kweliGari anasa.. Kila mtu akiwa na gari boda tufe njaa?
Ahsante mkuu ndiyo ukweli wenyeweNapenda ulivyo mkweli