Ni kitu gani ambacho hupendi kukifanya katika maisha yetu ya kila siku lakini unafanya kwakuwa huna namna

Ni kitu gani ambacho hupendi kukifanya katika maisha yetu ya kila siku lakini unafanya kwakuwa huna namna

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ujue Mimi sometimes nasemwa Sana kuwa najisikia.
Binadamu gani sitaki kujichanganya na watu..ila najichanganyaga tu j2 kwa Sababu tu sina namna na nikiwa na mama yaani ndio tutasalimia watu mweee hadi nachoka
Sikushangai mtakatifu ila nafikiri ni kwa sababu kuna maisha mengine ya kazi na mengine bado hujajichanganya nayo..pengine
 
Sipendi kuwepo ccm ndio maana saizi nipo huku kwa hashimu rungwe napo
ni kwa sababu ya hii kitu


20-26-55-13740991_774992449349172_321084906_n.jpg
 
Back
Top Bottom