desree
Senior Member
- Nov 8, 2018
- 196
- 372
Pale ukifikiria kuna kufua baadae ndo kabisaa kichwa kinawaka[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]same same here sipendi kuvaa nguo aah[emoji53][emoji53] ila ntafanyeje tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pale ukifikiria kuna kufua baadae ndo kabisaa kichwa kinawaka[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]same same here sipendi kuvaa nguo aah[emoji53][emoji53] ila ntafanyeje tu
Napenda sana kupika,,ni kazi amba hata nikiifanya kwanzia asubuhi mpka kesho yake asubuhi sichoki kabisa..lakini hizo kazi nyingine 🤣🤣🤣bwana atete nami:.ila ndo hivyo tema hakuna namnaPale ukifikiria kuna kufua baadae ndo kabisaa kichwa kinawaka[emoji28]
I love u 4 this,naomba uwe wifi yangu....we 'll get along[emoji28]Yaani mimi maisha tu yananifanya nitembee.
Last week kahoma kalinibana,yaani nimekaa chumbani siku km 4 hivi sijatoka hata sebuleni..halafu nilikuwa naona kawaida,cha ajabu nilipotoka wakawa wananishangaa[emoji23][emoji23]
Ukinioa babe jitahidi kuwa na kila kitu nyumbani.. sipendi kuzurura mie, sipendi stori na watu, napenda kukaa mwenyewe na ikiwezekana Jenga nyumba porini huko tukakae huko
Nahisi Siku nikija kupata mpenzi ntampenda yaani mpaka tutaachana ili tusiwakere watu mtaani[emoji23][emoji23]Acha masihara kijana
Hii comment sikuitegemea kabisa..ni ya kipekee sana🤝🤝🤝🤝
Kwanini unashindwa kuwasaidia mkuu
Unachokipenda natamani kukipenda ila ndo sipendi kukaa jikoni kila siku jaman[emoji35] yan naonaga maisha magumu!....ningekuwa ww nahisi ningeshamiliki bonge la restaurant nowNapenda sana kupika,,ni kazi amba hata nikiifanya kwanzia asubuhi mpka kesho yake asubuhi sichoki kabisa..lakini hizo kazi nyingine [emoji1787][emoji1787][emoji1787]bwana atete nami:.ila ndo hivyo tema hakuna namna
Dah!Lady hupendi ku cook sasa when u finally get engaged do you think the man will tolerate your behavior[emoji4]Unachokipenda natamani kukipenda ila ndo sipendi kukaa jikoni kila siku jaman[emoji35] yan naonaga maisha magumu!....ningekuwa ww nahisi ningeshamiliki bonge la restaurant now
Ndo wifi yako huyo dada.. nimeamua kutulia Sasa..Bradha 🤝🤝🤝🤝🤝🤝nakuona😅😅
Nakuelewa sana mkuu..Nnapoweza nafanya hivyo ila sina uwezo wa kuwasaidia watu wote nyakati zote. Hiyo kukosa huo uwezo ndio nnayoichukia.
Hahahaaa the good news is......i can cook really good when i want to & cooking for my man 'll always be my pleasure[emoji56]Dah!Lady hupendi ku cook sasa when u finally get engaged do you think the man will tolerate your behavior[emoji4]
Ndicho kitu ninachokipenda kuliko vyote aiseh..Unachokipenda natamani kukipenda ila ndo sipendi kukaa jikoni kila siku jaman[emoji35] yan naonaga maisha magumu!....ningekuwa ww nahisi ningeshamiliki bonge la restaurant now
That's good to hearHahahaaa the good news is......i can cook really good when i want to & cooking for my man 'll always be my pleasure[emoji56]
Thanks pal[emoji4]That's good to hear
Its a pleasure for any man to have a wife who really knows how to cook and cooks good meals
Congrats[emoji4]