KwaniniKuchart nikiwa nakunywa pombe
Nikiamka asub uwa najuta Sana nikisoma sms za nilikua nawaandikia...Kwanini
Kuna mdau kamchatisha mama mkwe ukidhan ni mchepuko wakeNikiamka asub uwa najuta Sana nikisoma sms za nilikua nawaandikia...
Hatari Sana mkuu,Tena kama unakunywa pombe Kali,konyagi,k vant ni kama Zina format ubongo...unaweza mtafuta ex wako wa kitambo unambembekeza...asub Sasa unajuta ile ile,nilianzaje?Kuna mdau kamchatisha mama mkwe ukidhan ni mchepuko wake
You are the master of your own destiny..! Trust with sentiment...!!!!Kwa upande wangu mimi siwezi kuamini marafiki tena coz nilishawai kupata matatizo but hakuna aliyenifarij hata mmoja.
So mimi huu mwaka siwez rudia kuamini rafiki au kumtegemea mtu yoyote
Wew je ni kitu gani huwezi rudia huu mwaka?
Nikiamka asub uwa najuta Sana nikisoma sms za nilikua nawaandikia...
Kwanini mkuuSiwezi kurudia mwaka 2024
Kumrudia ex
Iyo never at me piaFall in love deeply 👋
OkYou are the master of your own destiny..! Trust with sentiment...!!!!
Kwa kweli,nazipenda hazinipendi.Pole au uache pombe
Just kiddingKwanini
Kwanini mkuu
I don't trustKwa upande wangu mimi siwezi kuamini marafiki tena coz nilishawai kupata matatizo but hakuna aliyenifarij hata mmoja.
So mimi huu mwaka siwez rudia kuamini rafiki au kumtegemea mtu yoyote
Wew je ni kitu gani huwezi rudia huu mwaka?
WhyI don't trust
Sina cha kuacha bali ni kundeleza nilivyoanza na kutafuta vingine vipya...nilishajiwekea kanuni na misingi yangu Miaka mingi iliyopita.