- Thread starter
- #21
You must trust people but don't trust 2 much coz can pain you so muchTRUST ENYONE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You must trust people but don't trust 2 much coz can pain you so muchTRUST ENYONE
Kwa kweli,nazipenda hazinipendi.
Just kidding
Thanx 4 your adviceYou are the master of your own destiny..! Trust with sentiment...!!!!
Hakikisha unayatimiza uliyoyaandik mkuu..alf kumb mikopo na vikoba ni tofauti maan naskia kun wat wanakop ela kweny vikobMikopo sitaki tena kukopa .Nshaweka mpango mkakati wa kuilipa iliyo baki.Ntadeal na vikoba tu.
Kuishi maisha ya maigizo narudi kwenye uhalisia.
Kampani za kijinga jinga sitaki tena.Ntanywea nyumbani tu .
Kuanza kuwa naonekana kanisani na kwenye jumuia mara moja moja.
Ni nidhamu tu.Nikweli nilikuwa namaanisha ikitokea lazima kabisa ya kukopa nikope kwenye kikoba hukoo.Hakikisha unayatimiza uliyoyaandik mkuu..alf kumb mikopo na vikoba ni tofauti maan naskia kun wat wanakop ela kweny vikob
Ni nidhamu tu.Nikweli nilikuwa namaanisha ikitokea lazima kabisa ya kukopa nikope kwenye kikoba hukoo.
Sasa ndugu , Pombe Ina mapenzi gani nami kama inaniabisha tu...naiacha kabisa...kwenye library ya Mzee Ina vitabu vingi na diaries zake ,akiwa na umri Kama Mimi ,kaandika kuwa kuanzia Leo naacha pombe na fegi...na kweli aliacha.Nami naacha kabisaUtawez kwel
Tumsifu Yesu KristoMikopo sitaki tena kukopa .Nshaweka mpango mkakati wa kuilipa iliyo baki.Ntadeal na vikoba tu.
Kuishi maisha ya maigizo narudi kwenye uhalisia.
Kampani za kijinga jinga sitaki tena.Ntanywea nyumbani tu .
Kuanza kuwa naonekana kanisani na kwenye jumuia mara moja moja.
Milele Amina mtumishi.Ila mimi naipenda Mwanakondoo ameshinda? au Uhuru wa Yesu?Tumsifu Yesu Kristo
wewe ni mroma ?Milele Amina mtumishi.Ila mimi naipenda Mwanakondoo ameshinda? au Uhuru wa Yesu?
Hapana mkuu mi Moravian.wewe ni mroma ?
Amen amen
Aaah na sijawahi sali Moravian itabidi siku moja nikawajoinHapana mkuu mi Moravian.
Fanya hivyo wewe unasali wapi?Aaah na sijawahi sali Moravian itabidi siku moja nikawajoin
Roman CatholicFanya hivyo wewe unasali wapi?
Nilishapita huko na nimesoma shule zao.Safi.Roman Catholic
Ooh kumbe vzr...... umeamk sana asubuhii...... zile shule bhn zilikuwa na mambo mengi 😂Nilishapita huko na nimesoma shule zao.Safi.