Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Sasa ndugu , Pombe Ina mapenzi gani nami kama inaniabisha tu...naiacha kabisa...kwenye library ya Mzee Ina vitabu vingi na diaries zake ,akiwa na umri Kama Mimi ,kaandika kuwa kuanzia Leo naacha pombe na fegi...na kweli aliacha.Nami naacha kabisa
Oooh nimejikuta nasikitika daaaahKuamini mahusiano
Kuna nn mkuu mbona gafula 😁😁Sitarudia kupita baa yoyote na kadi ya bank
Wakuu kuwa na mtu aliyekuzidi umri kunaweza kufanya ukalemaa katika maisha haya ya kujitafuta kama kijan
Kwanini mkuuSitarudia kupita baa yoyote na kadi ya bank
Ndo nashauli waaache waache kabisa mimi nipp hukoLkn wapo wanaoamini ktk. Mishangaz lkn cjawai ona wanatoboa zaidi ya kuachiw maradhi.
Maisha yako ni jukumu lako asilimia mia iwe furaha huzuni ama Hali yoyote ni jukumu lako.
Ukisaidia mtu yeyote usitegemee atakusaidia.....
Punguza matarajio kutoka kwa mtu yeyote.......
Jifunze kujipenda kwanza, kujijali na kuirudisha thamani yako
Kila la khery
Kumuamini mboweKwa upande wangu mimi siwezi kuamini marafiki tena coz nilishawai kupata matatizo but hakuna aliyenifarij hata mmoja.
So mimi huu mwaka siwez rudia kuamini rafiki au kumtegemea mtu yoyote
Wew je ni kitu gani huwezi rudia huu mwaka?
Wew si utakuf jaman ACH KBS❌😜Kupiga nyeto na sabuni ya unga
KaribuAsant kwa ushauri wako kwasababu nilitegemea sana marafiki zangu
Mbowe at cmjui Kwan ni nani mkuuKumuamini mbowe
KwaninKutembea na BARMAID
Hawawezi acha vijana wa ,2000 na mishangaz huwaambii kitNdo nashauli waaache waache kabisa mimi nipp huko
Karibu
Nililewea nauli🤣Kwanini mkuu