Ni kitu gani huwezi kulala bila kukifanya au ni kitu gani hukisahau uwapo safarini?

Mkuu kama unapenda old school basi kaitafute album ya prodigy na havoc inaitwa infamous,harafu kaitafute album ya Capone and Noriega inaitwa War report.hizo album ni hatari,huwezi kurewind wala kufoward..harafu katafute album ya ONYX inaitwa Shut em down,na ya Lost boyz inaitwa Lb 4 life,kila ngoma ni kali huko,yaani ni press play tu.hata kama hupendi hip hop ila kwa album hizo utapenda tu
 
Siwezi kulala bila kusali(labda nisahau)nkikumbuka ntasali ata nasinzia.Safarini,siwezi safiri bila nguo za kubadilisha huko niendako.
 
Siwezi kulala bila kuingia chooni na nikiamka brek ya kwanza ni toile.t
 
Ciweza kulala bila kusali, hata baada ya kuamka namkaribisha Mwenyezi Mungu aweze kunilinda na kuniongoza kwa kila jambo hata niwapo safarin Mungu ndiye ngao yangu nimuogope nani?
 
Hahaha mkuu safi sana... Endelea hivyo hivyo sema itabidi uwape sikio wale vijana kutoka label ya Rhyme sayers wapo vizuri sana. Pure poetry utakutana na Sage Francis, Aesop Rock, Marehemu Eyedea etc.
Umenikumbusha Geto Boyz kuna mtu namwelewa sana huko Bushwick Bill album yake ya little big man inafurahisha sana itafute.

 
Nyimbo kali sana hiyo...
 
Nas is one of the illest emcee to ever hold the mic.
Jamaa kiukweli ni mtu alietoa album bora ya mda wote in ILLIMATIC.
Namwelewa sana Nas, he is in my top two period.
Tupac the best
But nas I always like his rap...

Nas Escobar...

[emoji4] [emoji4] [emoji120] [emoji120]
 
Asante mkuu... rocky na wenzake nawafatilia japo sio sana... But kwenye hiz new school Kendrick Lamar,j Cole na chance the rapper wananikosha mno.
 
Nas is one of the illest emcee to ever hold the mic.
Jamaa kiukweli ni mtu alietoa album bora ya mda wote in ILLIMATIC.
Namwelewa sana Nas, he is in my top two period.
Hahahaha... Illmatic is one of my best album of all the time... The world is yours,memory lane(sittin in da park), ile Ngoma yupo na AZ... Life is bitch,aint hard to tell... Hahahaha mkuu hiyo album umenikumbusha ngoja niisikilize mda huu
 
hakuna bhana,PAC kafunikwa sana mule,,nae ngoma zingine alikuwa anafunikwa,hata I don give a **** yenyewe ile madogo wamemficha sana
Hapana aisee... I don't give a https://jamii.app/JFUserGuide 2pac aliipiga peke yake ipo kwenye album yake ya kwanza kabisa ya 91...
Na pia nimesema dumpin Hussein fatal kafunika but PAC alibast vyema lyrical
 
Mimi binafsi siwezi kulala bila kumshukuru Mungu kwa kunilinda kwa siku nzima, pia kuamka kwa kunilinda kwa usiku kucha bila ya kuwa na ulinzi wwte
 
Hahahaha... Mkuu havoc na prodigy waliitwa Mobb Deep nna album zako zote umenikumbusha Ngoma kama the shook one part ii,hell on earth,survival of the fittest..
Lost boyz hyo album ya lb fam for life hakuna nyimbo ambayo siipendi aisee... We got the hot shit,only live once,ghetto jiggy hahaha mkuu umenikosha sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…