tamuuuuu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 21,329
- 28,063
Sijuwo amefanyo nino?Sijuwo kafanya nino
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijuwo amefanyo nino?Sijuwo kafanya nino
Kwani kuna shido?View attachment 3018017
Tangu mwezi uliopita Bambo amekuwa akitrend sana mitandaoni, ni kitu gani kimemrudisha kwa kasi ya 5g?
Naona pia watoto wa 2000 wamevutiwa sana na style yake iliyowahi kumpa umaarufu ya kuchanganya herufi kwenye maneno
Mi nafikiri ile kusema wasafi wamewabania kupanda stejini na harmonize kumchukua kumpeleka maskani kwake vimechangia pakubwaInterview aliyofanya na Saleh Jabir wa the Classic,ndio imemrudisha bambu
Asante sikujua hili,aliongea maneno hayo wapi?Mi nafikiri ile kusema wasafi wamewabania kupanda stejini na harmonize kumchukua kumpeleka maskani kwake vimechangia pakubwa
Mi niliona youtubeAsante sikujua hili,aliongea maneno hayo wapi?
Asante sikujua hili,aliongea maneno hayo wapi?
Kwani Kuna shido
Hulewi dia, hulewi kabisa, halafu unachanganya pombi
Njoo nikupo nambo ya mtaalamo wango nawewo utrendo
He is an opportunity seekerView attachment 3018017
Tangu mwezi uliopita Bambo amekuwa akitrend sana mitandaoni, ni kitu gani kimemrudisha kwa kasi ya 5g?
Naona pia watoto wa 2000 wamevutiwa sana na style yake iliyowahi kumpa umaarufu ya kuchanganya herufi kwenye maneno
Shukrani kakaView attachment 3019102
Fuatilia haya mahojiano.
Is it a bad thing??He is an opportunity seeker
Anajisikia vibaya bambo kurudi kwenye mitaa. Anataka yeye ndio atrend mitandaoni. Mungu kaamua kumkunjulia Bambo riziki yake sasa, yeye sijui kinamuuma nini.Kwani Kuna shido
Sisi kinatuchekesha na ndio maana amerudi kwenye trend na sasa anapata riziki yake. Vipi umenuna na kuingiwa na wivu dogo?Sasa hapo nini kinachekesha?
A good thingIs it a bad thing??
- Hapana, sio kweli, fuatlia mahojiano yake, Utabaini na nini chanzo. Bambo mtu poa sana hana makuu.He is an opportunity seeker
Opportunity seeker maana yake ni mtu anaye zitafuta/zifuata fursa- Hapana, sio kweli, fuatlia mahojiano yake, Utabaini na nini chanzo. Bambo mtu poa sana hana makuu.