Ni kitu gani kilikufanya ukavutiwa na JF?

Ni kitu gani kilikufanya ukavutiwa na JF?

Nilikuwa nasikiasikia story kwamba kuna mambo mazito ya siri mpaka za serikali na viongozi yanaongelewa huku mpaka watu wa usalama wa taifa wapo humu wanaongelea issue nzito nzito,nikajoin fasta ila siku hz naona jf imeishiwa,wanafunzi na vinyozi wa saluni wamejaa humu hamna cha maana tena
Unakutana na uzi mtu kaweka eti anauza sperm
 
JF ni platform ya wazee, mi nliingia tu kusoma habari niliona Instagram page ya JF walipost. Kuingia huku wanaleta mambo ya ooh don't have an account?, nkaona isiwe kesi nikasign up tu, ila siifeel JF huku kila mtu ana hasira, chuki, majungu, ushamba na uzamani, mtu mwenye roho njema na hakwazi watu ni Mshanajr wengine wote chenga tu.
Balance shobo mkuu
 
Humu kuna hadi uzi wa kupena like eti....teh
Uzi za kina Tiss, kina KGB, CIA, FBI nk. Siku hizi hatuzioni tena....
Jf kuna watu imewapoteza, na imepokea Kizazi cha kupeana likes...
Tujitafakari kama members tuirejeshe JF yetu ya kipindi cha 2015 kurudi nyuma.
 
JF ni platform ya wazee, mi nliingia tu kusoma habari niliona Instagram page ya JF walipost. Kuingia huku wanaleta mambo ya ooh don't have an account?, nkaona isiwe kesi nikasign up tu, ila siifeel JF huku kila mtu ana hasira, chuki, majungu, ushamba na uzamani, mtu mwenye roho njema na hakwazi watu ni Mshanajr wengine wote chenga tu.
Naona umempenda Mshanajr ila mko wengi sijui utaweza kuvumilia
 
Sasa huyo ndo nyoka kabisa wee jichangange uone..
Wee mtu anakesha na maiti ni mwenzako[emoji23][emoji23]
JF ni platform ya wazee, mi nliingia tu kusoma habari niliona Instagram page ya JF walipost. Kuingia huku wanaleta mambo ya ooh don't have an account?, nkaona isiwe kesi nikasign up tu, ila siifeel JF huku kila mtu ana hasira, chuki, majungu, ushamba na uzamani, mtu mwenye roho njema na hakwazi watu ni Mshanajr wengine wote chenga tu.
 
Me nimejiunga Jf kwasababu 1 tu Forex ya ontario 2017 japo kua nimeifaham toka 2012 nikiwa advance nilikuwa napenda siasa wadau walikuwa wanachambua mambo kwa upana sana
 
Jf ni rafiki wabkudumu hana shobo.
Jf hunipunguzia stress, nikikosa usingizi, naingia navyotaka.

Ukiona mtu usiku wa manane yupo Jf wala usiulize ana matatizo gani.jibu unalo.

Kwa haya na mengine mm ni nani nisiisivutiwe na Jf?
 
Back
Top Bottom