Ni kitu gani kilikufanya utambue uliyenae kwenye mahusiano sio mtu sahihi kwako?

ila

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ujasiri wa kukopa OYA mnautoa wapi wale hivi wanalalaga maana hata alfajiri unakutana na vigari vyao mtaaniπŸ˜‚πŸ˜‚
Wanakuja hata saa 8 usiku hakuna kulala...
Tunaupata maisha haya yametufanya tuwe kama matapeli
 
Alikuwa na ndoto za kuwa mwanamuziki😁, alikuwa akiimba nyimbo zake lakin sikuwai msifia,, nilikuwa namkosoa mnoπŸ™‰ kuwa hajui lolote nikiamin ataniponyoka nisile mbuthuthu,, ila alikomaa na ndoto hatimaye Sasa ni mwanamuziki,, 😁😁😁

Ikitoka nyimbo mpya anataka niipost,, miye moyo mzito kishenzi,,
 
Kama nakuona ukiwa unasali uwepo wa Kristo unaupataje akiwepo 🀣🀣🀣🀣
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Eti MTU ukianza kuongelea mambo YA Dini mood inachange totally disinterested
 
nilikua nakaa mkoa tofauti nauli najichanga mwenyewe, mkikutana hela yangu ndio inunue chakula kulipia lodge na bado naondoka na nyege zangu najiuliza had leo sjui ilikuaje bado sikh zingine umuanze wewe kwa kumtext siku nikakaa kikao na nafsi yangu na kuanza kujisimanga yani kweli mimi leo hii ndio naspend hela yangu na mwanaume hana impact yoyote kwangu? hajui kujiongeza nikajisemea hapana natakiwa kutoka kwa nguvu zote kwenye hayo mahusiano na yule boya! had leo nikikumbuka najicheka
 
Sasa hivi jimbo lina mtu?
 
Safi. Ulimla tiGo?
 
Ulimpa tiGo?
 
Umeshaanza kuniletea risala
Mkwe,

Lawama zote kwako. Fanya mambo vzr mkwe. Asikumbuke kabisaa wachumba wazamani, ikiwezekana asahau wote asahau Hadi kwao.

Ntakupa mbinu.
 
Umeshaanza kuniletea risala
Mkwe,

Lawama zote kwako. Fanya mambo vzr mkwe. Asikumbuke kabisaa wachumba wazamani, ikiwezekana asahau wote asahau Hadi kwao.

Ntakupa mbinu.
 
Mkwe,

Lawama zote kwako. Fanya mambo vzr mkwe. Asikumbuke kabisaa wachumba wazamani, ikiwezekana asahau wote asahau Hadi kwao.

Ntakupa mbinu.
Mbona unanichekesha asubuhi πŸ˜‚
Subiri nije unipe mbinu,🀸
 
Ndio tulivyo mkuu! Kama wachawi tu πŸ˜‚πŸ˜‚

Penda hiyo manzi harder.
Kwakweli hamueleweki kabisa, yaani mnafanya mtu aishi kwa timing maana akizembea atapigwa vizinga plus za uso za kutosha.

Huyu manzi nilishamuona toka mwanzo kua anakutingisha kwanza ajue wewe ukoje ni wale good guys au bad boys.
Ukiwa good guy umeisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…