π€£π€£π€£π€£π€£π€£mbona sababu nyepesi Sana mkuu.Ila umenichekeshaAlikuwa anajidai msafi sana.. Kila mara akija #ghetto# lazima abadilishe mashuka... Anakaa hata 3 days ni kubadili shuka tu ila hafui... Yeye anakuta safi nimezifua yeye ni kutandika safi tu.
Akifua sana sana ni soksi zangu tu na leso... Nikaona hapa sio ishu.. Kama kufua hataki kwanini abadili shuka!?... Nikavua kiatu.. Nikasonga mbele kama injili..
Megawatt za kutoshaKwani we unapelekea moto hadi kisogoni? ππ
πππ naomba nionje hizo megawatsMegawatt za kutosha
Hiyo avatar ndio wewe?πππ naomba nionje hizo megawats
Hiyo ni familia ya baba yake
Na wewe unaenda kutengeneza familia yako na yeye
Mwasibu hutaki mzaha kwenye maokotoHuwa sijiulizi mara 2 kumpiga chini demu anayeninunia kwa sababu ya kutompa hela. Tena hufurahi sana hiyo "taraka"
Nina nidhamu sana ya hela kwenye mapenzi, kwa sababu mimi sio source of income ya mwanamke.
Yule demu nilikuwa nampa pesa ndogo ndogo, kwa mara moja haizidi 30k. Siku moja akiwa kifuani kwangu akaniambia hata sijawahi kumsaidia jambo kubwa zaidi ya pesa ndogo ndogo.
Baada ya kuondoka, sikupokea tena simu yake. Akatuma watu kuomba msamaha, sikuwajibu.
Mwanamke ukimshamla asikuendeshe
Kuna wanawake kufua kwao ni adhabu atafanya kazi zote ila kufua ni mtihaniHapana.. Lazima ku set standard mapema.
Kama kwao anazifua kwa nini kwangu aniletee sanaa? Sikupenda hayo maigizo yake
π€£π€£π€£π€£π€£π€£mbona sababu nyepesi Sana mkuu.Ila umenichekesha
Kuna wanawake kufua kwao ni adhabu atafanya kazo zote ila kufua ni mtihani
Mkuu! Hapa nimechukua neno lako nitafanya hivyo na mimibhas ni bora kusaidiana... Sio kumuachia mtu mmoja tu.
Wizo ban imeisha? πππ€£Hajui kupeleka moto mpaka mbolo ifike kunako KISOGO na maini na bandama.
Cc: Mzee wa kupambania dronedrake The Mongolian Savage adriz The Icebreaker Mufti kuku The Infinity The Stress Challengerr fundi bishoo
Kwanini hukumuambia una njaa? Au kwanini haukumpa hela akakuletee chakula hadi ukubali kulala na njaa?Alinicall akihitaji niende mahali alipo, long time hatukua tume meet,nilifika right time,tukapga story za hapa na pale,tukalala.....
Alinitumia the whole night,and morning tukaagana nikaondoka....hakunipa hata nauli ya kurudi nilipotoka,
kumbuka usiku huo hakuninunulia hata maji ya kunywa YAANI nili lala na njaa,na asubuh niliondoka na njaa na sikupewa hata shilingi 500.
KATIKA SIKU NAZILAANI KATIKA MAISHA YABGU NI SIKU HII, MWAMBIE HUYU WA USICHANA WANGU NILIMPEA ZAWADI YA BIKIRA YANGU,NILIMPENDA AKIWA HANA KITU MPAKA AKAWA NA KITU.......
MIMI NA YEYE ULE ULIKUA MWISHO WETU, NINAMCHUKIA KUTOKA NDANI YA MOYO WANGU
ππ wizo nimetoka kwenye kifungo cha siku tatu... nilikonda ππWizo ban imeisha? πππ€£