Ni kitu gani kilikufanya utambue uliyenae kwenye mahusiano sio mtu sahihi kwako?

Nikiisema yule mngese lazima ataijijua tu kama yupo humu

Manake ni kitu cha pekee nimeona kwake tangu nianze game ya mapenzi

Wanaosema duniani hakuna jipya kwa yule mwanaume niliona jipya 🙌
Nimevutiwa kufahamu sijui hata kwa nini🤔
 
Alianza kujamba hovyo usiku
Alianza kuongea na simu masaa mengi
Alianza kuwachukia ndugu zangu
Alianza kutuchonganisha na majirani
 
Duuh kumbe huyu nisimuache japo ni chuma ulete kwa kiasi chake ila anajari matatizo yangu na hivyo viburi vya kuzira hana maana mm dakika mbili mbele nshafura hasira.
Alishajaribu hizo tuachane akaambulia patupu maana nilimuachana kweli.

Hawa viumbe sometimes hawapendi kheri bali shari sijui kwanini, mpaka leo nashindwa kuelewa hili.
Huyu wangu ukileta kheri yeye atafanya juu chini alete shari, basi nshazoea na mimi sometimes naanzisha zogo zogo kweli hadi machozi yamtoke.
 
Seen.
 
Wanawake kwakweli sijui hua mna matatizo gani?

Huyu dem anaishi mkoa tofauti na niliko mimi. Sasa tukiwa mbali kila siku hua ananiambia jinsi ambavyo amenimiss, ana hamu na mimi, ananishawishi sana nije mkoa alipo na ahadi kedekede jinsi ambavyo nikija "atanipea yote".

Cha ajabu sasa, juzi ilikua mara ya 3 mimi kuja mkoa alipo, lakini nikishafika tu huo mkoa, yeye ataanza kutoa kila aina ya visingizio visivyo na kichwa wala miguu kwanini hawezi kuja tuonane! Mind you, tulishakulana.

Sasa nimeona bora nibwage manyanga kimyakimya kwakweli. Huu ni uzwazwa.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣tatizo unaendekeza njaa ila kuoga aaaaaah.
 
🤣🤣🤣sasa mkuu si ungemuelekeza tu ni jambo dogo sana hilo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…