Ni kitu gani kilikufanya utambue uliyenae kwenye mahusiano sio mtu sahihi kwako?

🀣🀣🀣🀣 Ah kwa hiyo ukapiga chini kisa kupika...mwanawane sii mama ntilie wapo wengi tuu unakula huko alafu unakuja kula mbususu
Mkuu utafanya hivyo kila siku, kwa hiyo kama tungefika kwenye hatua ya kuwa na familia tunge kuwa tuna ongozana na watoto kila jioni kwenda kwa mama ntilie??? Hapo ni moja katika nyingi. Kuna mmama alikuwa anakuja kila Jumapili kufanya usafi wa nyumba na kufua. Na yeye yupo anaangalia tu....
 
Wa kwanza alikuwa single mama, aisee mbususu yake ilikuwa tamu na niseme ukweli katika wanawake wazuri niliwahi date huyu alikuwa pisi kweli kweli na nakawa najipa matumaini hapa mzabzab natulia naoa.
Sasa bwana, siku moja mrembo tumeenda zetu mall full raha nikasema leo bby ngoja nimtreat nikambia wee kafanye shoppig. Mie nikaenda zurula zangu maeno. Narudi nakuta bill laki nne na zote kwenye cosmetics. Aisee nililipa kinyonge sana....kweli tusake hela....anyways nikasema sio ishu sana.
Alipokuja kuniboa siku katika maomgezi ananiambia oh mzabzab inabidi umpende mtoto wangu kuliko mie....halloooo...hapo ndio nikasema pamoja na upisi kali wako na utamu wa mbususu hapa mie nduki.
 
Ah mwanawane nunua washing mashine bwana inakuwaje.
Mwanamke atafanya kazi hizo akishakuwa mchumba.
Msiwabe eshe mzigo hawa pisi kali kabla ya kuwa engage.
 
Ukianza kuongelea mambo ya ki Mungu Na biblia anabadilisha mada
 
Ah mwanawane nunua washing mashine bwana inakuwaje.
Mwanamke atafanya kazi hizo akishakuwa mchumba.
Msiwabe eshe mzigo hawa pisi kali kabla ya kuwa engage.
As man at times unatamani hata mara moja moja upikiwe na baby, kufua hajawahi in two years time. Kwangu ilikuwa sawa but chakula it was a red flag...! It didn't sit well with me.
 
Huyo ana bipolar ulifanya vizuri kuachana nae,ungemuoa ungekuwa masikini.
Ukioa mwanamke mwenye bipolar lazima uwe masikini na ufe kwa stress.
Bipolar ni ugonjwa wa kulipuka hasira na kubwatuka yaani makelele hata maandiko yanapinga kuishi na mtu wa hivyo kwa usalama wa afya yako ya akili.
Mwanamke mwenye bipolar huwa na akili ndogo sana pia upenda sana ngono nje.
 
Aiseee huyo hatari, na hii ndio shida ya wanawake walio wengi yaani ukiwa naye kwenye mahusiano tayari anaona amepata pa kutulia matatizo yake mbaya zaidi haangalii hata mazingira anachoangalia ni shida zake kuisha
 
Hao wasanii wapo wengi wapo wanaojifanya hata pesa hawaombi huku wanashida balaa na pesa wanaomba kwa wengine akiingia tu kwenye ndoa hadi mifuko yote itakung'utwa
 
Money money money....umenisababisha nikutoroke. 🀣🀣🀣🀣
Viumbe hawa utu kabisa. Mtu una majanga yeye halioni hilo anawaza yale tuu...so selfish.
Kibaya zaidi alijiona ana haki kupewa, ndio maana alinuna na kuzila πŸ˜…
 
Ilikua fumanizi kaliii!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…