Kazi gani yaani?Tunajifunza kutokana na makosa. Tunaomba uzoefu wako katika hili. Asante.
Kuna Teacher anaitwa Konde Boy. Muite chap kwa haraka, hafu kwa jinsi mfumo wetu wa ajira hapa Tanzania hivyo mbovu hata ukifanya interview ni kazi bure tu, kuna watu ambao tayari walishapitishwaNgoja waalimu waliokuwa wanakataa usaili waje π
Aanze kwanza kujieleza yeye ilikuwa ni interview ya sekta ipi?Hadi sasa uzi una dakika 10 waliolaiki π 3, waliochangia 3. Na hawa ndiyo watu wa jeiefu hakuna mtu aliyewahi kufeli kwenye jambo.
Ticha konde mwnyw amefeli mtihani huu wa waalimu πKuna Teacher anaitwa Konde Boy. Muite chap kwa haraka, hafu kwa jinsi mfumo wetu wa ajira hapa Tanzania hivyo mbovu hata ukifanya interview ni kazi bure tu, kuna watu ambao tayari walishapitishwa
Huyu atakuwa mwalimu π mana matokeo yao yana moto ndani yake πAanze kwanza kujieleza yeye ilikuwa ni interview ya sekta ipi?
Mwl salama lekoTunajifunza kutokana na makosa. Tunaomba uzoefu wako katika hili. Asante.
Ukiwaza hv hutotoboa kamweInterview nyingi KAMLETE so hata ukifaulu anapita "KAMLETE".
Kwanza umeiona avatar ya mleta uzi? πππ Kama hana ajira ngoja nimtafutie aiseeeHuyu atakuwa mwalimu π mana matokeo yao yana moto ndani yake π
View attachment 3215881
View attachment 3215878
Na pia pm yake ipo wazi π₯π₯
Achana nao hao waalimu waendelee kufikilia kuwa ajira ni connectiontuUkiwaza hv hutotoboa kamwe
Kwenda usaili na kuwaza kuna watu wameshaandaliwa ni sawa na kwenda Vitani na panga wakati wenzako wana bunduki, binafsi ajira za utumishi naziamini kwa 100% labla huko private ndo kuna usengeremaUsenge mwingi sana Mwanangu.
Hizi zipo na nyingine nyingi tu hazina hayo mambo mkuu.. Nimepata kazi ambazo hakuna mtu kwenye panel alikuwa ananijuaInterview nyingi KAMLETE so hata ukifaulu anapita "KAMLETE".
Watajua hawajui πAchana nao hao waalimu waendelee kufikilia kuwa ajira ni connectiontu