Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Sasa ukivaa hivyo afu na kucha ndefu unadhani watakuona ww n mtu wa kawaida 😂Heee! 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ukivaa hivyo afu na kucha ndefu unadhani watakuona ww n mtu wa kawaida 😂Heee! 🤣
Sasa ukivaa hivyo afu na kucha ndefu unadhani watakuona ww n mtu wa kawaida 😂
Kwa kuwa ww n mwanamke na pia ulikuwa unaenda kwa babe wako bc urefu wa kucha n size iliyokuwa inatosha kumkuna babe wako mgongoni 😎Kucha ndefu unazichukuliaje kwani? Urefu upi? 😃
Kwa kuwa ww n mwanamke na pia ulikuwa unaenda kwa babe wako bc urefu wa kucha n size iliyokuwa inatosha kumkuna babe wako mgongoni 😎
Tatizo ulikuwa na mipango mingi siku hy 😂Umejiongeza mbali sana 🤣
Tatizo ulikuwa na mipango mingi siku hy 😂
Mnakuwepo nyie wachache kwa ajili ya ushuhuda kuamini kwamba hakuna hayo mambo.Hizi zipo na nyingine nyingi tu hazina hayo mambo mkuu.. Nimepata kazi ambazo hakuna mtu kwenye panel alikuwa ananijua
Huyu aliyepata zero alikuwa na maana gani aiseHuyu atakuwa mwalimu 😂 mana matokeo yao yana moto ndani yake 😂
View attachment 3215881
View attachment 3215878
Sijasema hayapo na mimi nimeshayaona lakini utawezaje kujua hiyo kazi unayoomba ina mtu ama bado kama hujaenda.Mnakuwepo nyie wachache kwa ajili ya ushuhuda kuamini kwamba hakuna hayo mambo.