Ni kitu gani kilikusababishia ufeli interview ya kazi?

Ni kitu gani kilikusababishia ufeli interview ya kazi?

Shida ni ipi?
Unamkataa mtu kwa mambo ambayo unaweza kubadili ndani ya dakika tatu...nguo ningebadili na kucha ningekata
Sawa ila kwa akili za kawaida tuu, ukienda usaili unajua kabisa avae code vp ila hiyo yako n ww mwnyw ulizingua, ingekuwa umeenda kwenye usaili wa umiss afu wakakukataa bc hapo ingekuwa kweli wamekuonea.
 
Hata hivyo nilikuwa na mechi ya kirafiki siku hiyo...baada ya interview
Comrade
FB_IMG_17379960136607532.jpg
 
Sawa ila kwa akili za kawaida tuu, ukienda usaili unajua kabisa avae code vp ila hiyo yako n ww mwnyw ulizingua, ingekuwa umeenda kwenye usaili wa umiss afu wakakukataa bc hapo ingekuwa kweli wamekuonea.

Nilivyovaa wallah sikutegemea kama sio official

Nilivaa nguo zinazoelekeana na hii picha,hadi nikachomekea kama hivyo dadeq ila nikatolewa

Sio skin jeans jamani, ni jeans ambayo kimsingi haikunibana kiviiile

images.jpeg
 
Ndio 😂

Hapo ushaaga nyumbani unaenda kwa interview hata ukichelewa kurudi maswali hakuna

Tena unapewa pole
Hapo hy pole unaihamishia ulipoenda getto 😂 bc jitihada nyingi zilikuwa kwa jamaa ndo mana suala la usaili hukuzingatia sana mana ungeenda kwa jamaa na nguo rasmi za usaili lazima angekuona jimama na mood ya kukuzagamua zingekata 😂
 
Back
Top Bottom