Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Kwani Joanah na Intelligent businessman Nyinyi ni makada wa Chama?Comrade Kuna sehemu uki alikwa una weza patuwa nafasi siku hiyo hiyo.
Sasa we t-shirt na jeans, we ni soka player.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Joanah na Intelligent businessman Nyinyi ni makada wa Chama?Comrade Kuna sehemu uki alikwa una weza patuwa nafasi siku hiyo hiyo.
Sasa we t-shirt na jeans, we ni soka player.
Sawa ila kwa akili za kawaida tuu, ukienda usaili unajua kabisa avae code vp ila hiyo yako n ww mwnyw ulizingua, ingekuwa umeenda kwenye usaili wa umiss afu wakakukataa bc hapo ingekuwa kweli wamekuonea.Shida ni ipi?
Unamkataa mtu kwa mambo ambayo unaweza kubadili ndani ya dakika tatu...nguo ningebadili na kucha ningekata
Aaaah hapo sawa aiseeeNilikuwa naenda kwa babe wangu
ComradeHata hivyo nilikuwa na mechi ya kirafiki siku hiyo...baada ya interview
Huyo deal nae physicalMwanangu hilo sokomoko nitakalo muanzishia mitandao yote mbona itachafuka.
Kwahy ulitaka kupiga 2 in 1 😂Hata hivyo nilikuwa na mechi ya kirafiki siku hiyo...baada ya interview
Wakina Tlaatlaah Lucas Mwashambwa huwa wanaitana Comrade na wapo na Mama popote pale na leo walikuwa ferry pale wanakata keki kusheherekea birthday ya MamaHebu ngoja kwanza...
Chama gani?
Sawa ila kwa akili za kawaida tuu, ukienda usaili unajua kabisa avae code vp ila hiyo yako n ww mwnyw ulizingua, ingekuwa umeenda kwenye usaili wa umiss afu wakakukataa bc hapo ingekuwa kweli wamekuonea.
Wakina Tlaatlaah Lucas Mwashambwa huwa wanaitana Comrade na wapo na Mama popote pale na leo walikuwa ferry pale wanakata keki kusheherekea birthday ya Mama
Na imagine ulivyo waka comrade, still Waka kuona snitch 😂🤣Nilivyovaa wallah sikutegemea kama sio official
Nilivaa nguo zinazoelekeana na hii picha,hadi nikachomekea kama hivyo dadeq ila nikatolewa
Sio skin jeans jamani, ni jeans ambayo kimsingi haikunibana kiviiile
View attachment 3215900
Ndio 😂Kwahy ulitaka kupiga 2 in 1 😂
Na imagine ulivyo waka comrade, still Waka kuona snitch 😂🤣
Yaani wale ni CCM lia lia aisee 🤣🤣🤣Hivi hao ni sisiemu e?
hiyo ni respect token towards each other.Kwani Joanah na Intelligent businessman Nyinyi ni makada wa Chama?
Yaani wale ni CCM lia lia aisee 🤣🤣🤣
Huwa unafuatilia?
Hapo hy pole unaihamishia ulipoenda getto 😂 bc jitihada nyingi zilikuwa kwa jamaa ndo mana suala la usaili hukuzingatia sana mana ungeenda kwa jamaa na nguo rasmi za usaili lazima angekuona jimama na mood ya kukuzagamua zingekata 😂Ndio 😂
Hapo ushaaga nyumbani unaenda kwa interview hata ukichelewa kurudi maswali hakuna
Tena unapewa pole
Labla uliwaogopesha wakajua n jiniNilivyovaa wallah sikutegemea kama sio official
Nilivaa nguo zinazoelekeana na hii picha,hadi nikachomekea kama hivyo dadeq ila nikatolewa
Sio skin jeans jamani, ni jeans ambayo kimsingi haikunibana kiviiile
View attachment 3215900
Labla uliwaogopesha wakajua n jini