Nakupa u campaign manager kijana wangu π€£π€£π€£Na pia pm yake ipo wazi π₯π₯
Huyu apewe kazi bila usaili π
Eh inamana hakuchangamkia fursa?Nakupa u campaign manager kijana wangu π€£π€£π€£
Mchana kanitoa nishai nilimwambia DM namba au account namba kuna ten limezagaa hapa.
Na alikuwa anatafuta mtu wa kumhonga.
Comrade kucha ndefu ππ€£, uli dhani ni fashion show.Nakumbuka hizi interviews mbili tofauti
1. Yule dada aliniambia nitawasumbua kwasababu naonekana sitaweza kufanya kazi yoyote(hapo anaongelea urefu wa kucha zangu)
2. Nilienda nimevaa tshirt na jeans
Comrade kucha ndefu ππ€£, uli dhani ni fashion show.
ninge kuchapa fimboππ2. Nilienda nimevaa tshirt na jeans
Yaan kahela kamsosi nako watu wanatamaa nako,ila binadamu ni wabinafs sanaAsubuhi Moja nilienda interview Finca Morogoro tumekaa mpaka mchana wakatusainisha Kila mtu ataje msosi anaokula na kinywaji chake maana hatukuruhusiwa kutoka nje ya ofisi mpaka interview iishe.
Cha ajabu tumekaa mpaka jioni hatujaletewa Chakula. Nikauelewa mchezo Kwamba hapa tumesaini lakini hela wanatia kibindoni.Ilivyofika zamu yangu nikaingia board room ni kutukana na kuondoka.Kuna watu wakatili sana dunia' hii.
Japo sija wahi nenda kwenye interview, ila mkutano wowote muhimu lazima niwe tidy and smart comrade .Aaah sasa mimi ningejuaje hawapendi wakati kucha kila binadamu anazo π€£
Hapa Hata Mm nngekukataaNakumbuka hizi interviews mbili tofauti
1. Yule dada aliniambia nitawasumbua kwasababu naonekana sitaweza kufanya kazi yoyote(hapo anaongelea urefu wa kucha zangu)
2. Nilienda nimevaa tshirt na jeans
Siku nenda uoneJapo sija wahi nenda kwenye interview, ila mkutano wowote muhimu lazima niwe tidy and smart comrade .
Niliona kabisa hapa hakuna future yoyote ni kuvunwa nguvu na muda wangu tu kama hali yenyewe ndo hii.Yaan kahela kamsosi nako watu wanatamaa nako,ila binadamu ni wabinafs sana
Afu hyo hela anaishia kumhonga demu wake
Hapa Hata Mm nngekukataa
Siwezi nenda, nili chagua njia tofauti .Siku nenda uone
Watakutafutia tu namna ili wakutoe waeke binamu zao
Kimazingira Kuna ka dressing code lazima kaje kichwani, we una enda ka friendly match π€£π
Comrade Kuna sehemu uki alikwa una weza patuwa nafasi siku hiyo hiyo.Shida ni ipi?
Unamkataa mtu kwa mambo ambayo unaweza kubadili ndani ya dakika tatu...nguo ningebadili na kucha ningekata
Jeans sio nguo kwani?Utaendaje umevaa jeans na wewe? π
He u fafanunua hapa ili kutuondolea fikra mbovuHata hivyo nilikuwa na mechi ya kirafiki siku hiyo...baada ya interview
He u fafanunua hapa ili kutuondolea fikra mbovu