Ni kitu gani kinafanya makabila mengi Tanzania kutokuwa na utamaduni wa kurudi kwao?

Ni kitu gani kinafanya makabila mengi Tanzania kutokuwa na utamaduni wa kurudi kwao?

Makabila mengi ya hapa kwetu Tanzania yaliisha achana na Mila za kutambika kwa mizimu ya kale,nadhani dini zilizoingizwa na wakoloni hapa nchini zilisababisha kwa kiasi kikubwa kuua utamaduni huo wa kutambika,ila kwa hawa wenzetu wa kabila la kaskazini bado wanaishi kwenye Mila za kale,kurudi kwao mwezi wa December ni jambo la muhimu sana kwao,wasipotambika wanaaminimambi yao hayataenda.
Haya ni mawazo ya wale waliosahau kwao,kwenda nyumban kupanga mipango ya maendeleo na kutambika vina uhusiano? Nyie hamjengi vijijin kwenu ndio maana mnaogopa kwenda,hizo nyingine ni Petty excuses tu
 
Watu wanaenda sana kwao ikitokea ulazima wa kwenda huko mf misiba,sherehe au vikao vya familia.

Msitake kila kabila liwe na utaratibu kama wenu Mazee!11
 
Unachoongea tofauti na ulichoandika. Wamepiga hatua gani ama ndio Hali ukiwa na milioni kumi unaenda kwa mama mwenye beseni kichwani na kujinadi kuwa una hela. Ni kwa Nini usiende kwa wenye hela wenzako ujinadi,ujitape kuwa unazo.
Yaani una bachelor unaenda kuuza sura kwa fomu Foo kuwa umesoma.jitafakari kwanza.
Kuna mtu amekataa kwao. Si yupo Tanzania ama unadhani kuwa yupo Burundi. Usikariri maisha.
Umoja huo unaongelea unaleta uhasmaa baina ya makabila ndani ya nchi. Saivi Rwanda hakuna mtutsi Wala mhutu Bali Kuna mnyarwanda.
Angalia Ethiopia wenye umoja wa kikabila unachoongelea.
Ukabila unaleta chuki na kutengana.unamtenga mwenzako kisa sio kabila lako.
Na ndo Mana huko Kenya Kama wewe ni mwalimu mkikuyu huwezi fundisha kwa wakalenjini unaona hiyo ni sawa.

Ivi unajua Kuna watu wakiwa mkoani kwao wanabaguana Sana.
Yaani ukiwa na ukabila Sana unaoita umoja huwezi enda nunua duka la mtu asiye kabila lako.
Yaani ni mambo ya tribalism kwenda mbele. Ukipewa ofisi Fulani unajaza kabila lako afu unajiita umoja na huku uliacha wenye qualifications za kutosha.
Naona umejawa na ukabila unataka kuleta chama Cha kikabila.
Kuna watu ni watanzania Ila Wana asili ya nchi zinazoabudu sana ukabila.
Ukabila na udini ni mbaya Sana Mana unamuona asiye kabila lako sio binadamu.

Ukianza kunibagua mie ni mbara wewe ni mzenji mpaka huko zenji mtabaguana tu ,yaani mtabaguana mpaka family level kataa kubali.
Acha kujitetea sana hamasisha watu wako wapende kwao wasiishie kuweka heshima bar huku kijijin hawana nyumba,najua ugomvi huu chanzo ni makazi yenu mabovu,huwezi kuweka hekalu Kijiji alafu ukose kwenda
 
Elimu ya Geography ilikupita kushoto,
Pia elimu ya History ya Kidato cha tatu Kama sio cha nne ilikupita kushoto.

Watu kuhama kunakuwa sababu, sio kila anayehama kwao mi Kwa sababu hakuna Ardhi ya kutosha yenye rutuba, au hakuna hayo unachofikiria wewe.

Wengine wanahamia Maeneo yenye wajinga wengi ili watumie ujinga wao kujitajirisha.
Asante kwa jibu mujarabu,nimempa mfano je wachina walivyo huku kwetu,je kwao ni kubaya kuliko kwetu? Au mwanza aliyoitolea mfano mbona ni MKOA maskini Licha ya kuwa na kila kitu?
 
MAKABILA MENGI WAMEWEKEZA KWAO KASORO WACHAGA TU
Kwahyo ukienda Moshi kule zile investment ni za wageni? Hujui usemalo labda unastaajabu unapowaona kila mahali nchi nzima,wale wanaenda maeneo yenye ujinga na kuyageuza kuwa fursa.
 
Wale masikini hawarudigi Mana wanaenda kutukanwa na kudharauliwa utu wao kisa Cha kutokuwa na Mali. Wanatumwa Kama watoto.kuna watt wanafukuzwa na wazazi toka nyumbani Mana kwa manyanyaso ya kutokua na Mali mpaka wanakuwa radhi kutoa kafara wazazi wao na wao wapate pesa kuheshimika
Hata wazungu kwao Hakuna lelemama,sisi kwetu Hakuna kkk(kula kulala kunywa bure) lazma utoe mchango Wako kiuchumi na sio uwe mzigo hiyo ndiyo perception yetu nyie kama mnalea uvivu uvivu shauri yenu
 
Wale masikini hawarudigi Mana wanaenda kutukanwa na kudharauliwa utu wao kisa Cha kutokuwa na Mali. Wanatumwa Kama watoto.kuna watt wanafukuzwa na wazazi toka nyumbani Mana kwa manyanyaso ya kutokua na Mali mpaka wanakuwa radhi kutoa kafara wazazi wao na wao wapate pesa kuheshimika
Hata wazungu kwao Hakuna lelemama ndio maana wana maendeleo,sisi kwetu Hakuna kkk(kula kulala kunywa bure) lazma utoe mchango Wako kiuchumi na sio uwe mzigo hiyo ndiyo perception yetu nyie kama mnalea uvivu uvivu shauri yenu
 
Sema hakuna fursa kwenu na unakuta Kuna ukabila Sana. Ukifungua duka utauzia watu wa Koo yako tu na usikute familia yako. Mana wanaanza kutaka kujua asili yako ni wapi ili wakupe ushirikiano.mpaka basi kupanda anataka apande mjaluo mwenzake Mana akipanda la mkisii anaona atakuwa amemtajirisha kwani hawajulikani wapenda ukabila.
Si unataka umoja wa kikabila na huko hakuna ubaguzi wanakuja wananunua biashara zako.
Subiria watanzania wawe na sumu ya ukabila unadhani utafanya kazi maeneo ama mikoa ya watu. Watu watataka kujua huyu mmiliki wa sheli ni kabila gani kabla ya kumnyanyua.
Watanzania sie hatuna ukabila popote isipokuwa kabila moja hapa Tanzania huwezi kuishi kwao na ukawa na biashara ikakua ,Mana kitu Cha Kwanza aisee wewe ni kabila gani
Hizo ni fikra zako mfu,kwahyo wachina walivyo huku kwetu,kule kwao ni kubaya?
 
Nimesoma pcm additional maths from olevo history ni primary. Unayoyaongelea unadhani ndiye pekee unaijua. Mji mzuri hata mtu kuja anapata Mali Sasa kwenu akija anabaguliwa hata akama anayo hiace wanaulizana ama wanaamabiana ni ukabila umewajaa kichwani wa kujiona kuwa ni Bora kuliko wengine ndio wanaostahili kushika nyadhifa Fulani.wengine wakishika wwao wanaumia. Egoism inawaua na hii ni sumu Kali Sana ikishakaa kichwani mwako mpaka bro wako tumbo moja utataka awe chini si unakumbuka lakini
Too emotional
 
Twende Taratibu

Mfano makabila mengi ya mipakani yakitokea nchi zingine mfano wahaya walitokea Uganda , Wachaga walitokea Ethiopia kwa hiyo kwao wahaya Ni Uganda au Kagera? Na wachaga kwao ni Ethiopia au Kilimanjaro?

Wangoni walitokea Afrika ya kusini kwa hiyo kwao wapi Ruvuma au Afrika ya kusini?
Acha siasa jenga kwenu utatamani kurudi tu,chanzo chá haya yote ni kutokujenga kwenu.
 
Ubaguzi ndio unaosemea kuwa ni Nini. Ivi unajua Kuna mtu hawezi nunua duka la mtu asiye wa kabila lake. Yaani watu wanabaguana mpaka clan level.
Mana sina mna umoja wa kikabila na ukoo wenu ivyo lazima umnyanyue wa kwenu.
Mfano mwanza watu wanaishi kwa raha Sana yaani mtu kuja kununua dukani hakuna haja ya kukujua.
Kuna mikoa ukiwepo hapa Tanzania Cha kwanza utasikia aisee wewe ni mtu wa wapi,na mie ni mtanzania kisa wameshindwa kujua lafudhi yako.
Mini kizuri Ina watu wa kabila zote ,watu wa mataifa yote na watu wa dini zote mkuu.
Utumie akili na huku wenyewe hata hawaishipo kikazi wanapakimbia Mana hawawezi fanyapo biashara ikiwa lazima mteja ajue kuwa huyu ni msukuma wa wapi ni wa NASA, shinyanga ama mwanza ndipo ampelekee ridhiki.mana anaumia kuona anamchangia mwingine mpaka mtu wa kabila ama Koo yake. Kama umekomaa huko ondoka njoo mikoa ya binadamu utatafuta na utapata ridhiki yako bila shida. Huku hakuna ubaguzi. Sifa nzuri ya mji iwe na watu mchanganyiko. Unadhani Kuna mkikuyu anamiliki duka lolote ama biashara yoyote Ile hapa county ya migori. Wajaluo ni full kilugha mpaka public transport wanajiona kwao wao ndio binadamu. Tembelea Kenya,Ethiopia,Nigeria uone ukabila.
Huko Nigeria Kuna hausa,Igbo,mpaka Biafra walitaka kujitenga.
Unajua kuwa afrika tulitawaliwa kisa Cha ukabila. Yaani unakuta mtemi wa kabila moja anajipendekeza kwa wajerumani ili ampige mwenzake. Mfano mzuri hapa Tanzania Kuna meli na Sina mmoja alijipendekeza kwa mkoloni akampiga ndugu yake.
Cheki nchi Kama China ,India,brazil na USA ni kubwa mno Ila hapa afrika mnataka kujigawanya kisa kiitikadi za kikabila na umoja wa kidini. Nenda zenj Kama wewe sio mwislamu ama sio wa huko utalijua jiji
Too emotional,Hakuna sehemu yoyote nchi hii utaenda kupata huduma uulizwe hivyo wewe ndio mbaguzi namba moja na una inferior complex aganist watu hao.
 
Hayo ni mawazo yako tuu na kutokujiamini Kwa waliowengi.

Hivyo vitu vipo Maeneo yote Duniani lakini havipo Mijini.

Vitu hivyo vipo kijijini.

Mjini kuna mchanganyiko wa makabila Nani anakufa wa kuuliza kabila la mtu wakati anahitaji Huduma?

Mimi nimekaa Maeneo yote hayo hata Mwanza nimekaa, Mijini hakunaga hayo mambo Ila nenda nje ya mji au kijijini lazima uyakute mambo hayo.

Ndio maana nikasema Elimu ya Geography na Historia ilikupita kushoto.

Ni vizuri uombe kupewa elimu ili usiongee mambo Kama mtu ambaye hajasoma.
Huyu yeye ndio mbaguzi mkubwa wa hao watu anaowasema anajificha kwenye kichaka Cha umoja
 
Acha siasa jenga kwenu utatamani kurudi tu,chanzo chá haya yote ni kutokujenga kwenu.
Kwa taarifa yako kwenu Ni sehemu unayopatia riziki ndio maana waarabu na wahindi matajiri wakubwa hawajengi kwao na hatuwakuti kwa utajiri

Wewe una kwenu ? Huna kwenu kule unaenda tu kusafirisha maiti kuzika na kwenda kuzikwa tu


Wachaga mfano kwao Kuna investments gani wameweka kule za maana zaidi ya kujenga nyumba za kufikia wakati wa misiba na krismasi Kuna nini Cha ziada kule? Pesa zotecwanazipatia nje ya Kilimanjaro , investments zote ziko nje ya Kilimanjaro ,maisha yao yote asilimia kubwa Ni nje ya Kilimanjaro ndiko Wana majumba ya uhakika ya kuishi full time .Hizo za Moshi Ni exclusive kwa misiba na sherehe tu Kama krismasi siku zilizobaki baada ya shughuli hizo wanalala panya na mende
 
Unaongea mjini Nini na huku watu wakikaa muda mrefu wanazoeleka wanajulikana wenyeji wanaanza kuwakwepa kwenda kununua kwao bidhaa. Utampelekeaje hela kyasaka na huku ndugu yako Niko hapa bana.
Yaani ukipeleka hela kwa wakuja utakaliwa kikao. Iyo miji unayoongelea tafuta ratio ya wenyeji vs wakuja aka vyasaka utajionea.kuna mwaka 2007 nilipanda hiace moja ivi hapa mjini Moshi wazee wakawa wanalalamika kuwa huu mji wetu hauna wageni ni wenyeji tu.
Mfano watu wenye ukabila hawawezi kukupa eneo la biashara ama fremu mpaka uongee kikwao ndo mtaelewana.huu ni ukweli hata uipinge.
Nenda Arusha soko kuu pale wakina mama wauza samaki na dagaa ambao sio wazawa wa huo ukanda wanauzia wakuja wale wenyeji wanaenda kununua kwa wenyeji wao. Yaani wewe mfano Kama ni mkikuyu lazima utanunua kwa mkikuyu mWenzako Ila kwa mkalenjini utampita Kama vile mavi.
Nenda soko kuu pale Kama unabisha ,uzuri ninakaa huku huku ukitaka twende ufanye usahili ama ukae Kama mwezi uone.

Afu unabakia kujificha kuwa wanakosa mbinu ,mbinu gani ama ni kichaka Cha kujifichia.
Binafsi nafanya kazi huku Ila kuishi naishi mwanza ndo nimeamua kukaa kwa watanzania wenye utu.
Check iyo Kanda hata mpaka wanaogopana kuoana Mana wanajuana kuwa hawana utu ni ubaguzi kwenda mbele.

Yaani mnabaguana mpaka mkiwa pale Moshi mjini mfano utasikia mrombo analalamika kuwa huyu mmarangu akajaza wamarangu wenzake wote kwenye hii ofisi.

Kuna mama mkuu wa masista wa rc anaitwa Bureta anaomba hela za msaada kujenga shule anajenga kwao na huku anatumia mgongo wa dini. Na hajui misingi ya dini.

Kimbia huko utabaguliwa kinouma. Na Nina Imani hata biashara zako haufanyii huko imebakia kwenu jina tu.kwa mwaka Mara moja tu kulingishiana ulicho nacho.majumba yapo Moshi hakuna watu wakupanga.
Nyumba nzuri unamlipa mtu wa kuishimo,unampatia na shamba dogo la ndizi,la mifugo kidogo,na huku bado unamlipa. Jenga mwanza nyumba yako haitokutesa kishoia wewe huku wageni kibao wanakaa kwa amani Kama kwao.

Unajenga nyumba pambo tu Ila siku unazoishimo zinahesabika.
Umejenga ikusaidie Nini ama maonyesho kuwa na wewe unao uwezo.
Ila bana vyasaka mtaolewa sana
Nishakwambia wewe ndio unachuki na hao watu,Kama ni kubaya kwanini unafanya huko kazi? Siku zote mwenye akili lazma apigwe majungu tu, kuhusu kuoa au kuolewa hayo ni Mambo privacy ya watu,kwani huko mwanza unakosema wao wameoana wenyewe kwa wenyewe? Hawajaoa wageni? Mbona unakuwa na narrow Brian namna hii?
 
Unaongea mjini Nini na huku watu wakikaa muda mrefu wanazoeleka wanajulikana wenyeji wanaanza kuwakwepa kwenda kununua kwao bidhaa. Utampelekeaje hela kyasaka na huku ndugu yako Niko hapa bana.
Yaani ukipeleka hela kwa wakuja utakaliwa kikao. Iyo miji unayoongelea tafuta ratio ya wenyeji vs wakuja aka vyasaka utajionea.kuna mwaka 2007 nilipanda hiace moja ivi hapa mjini Moshi wazee wakawa wanalalamika kuwa huu mji wetu hauna wageni ni wenyeji tu.
Mfano watu wenye ukabila hawawezi kukupa eneo la biashara ama fremu mpaka uongee kikwao ndo mtaelewana.huu ni ukweli hata uipinge.
Nenda Arusha soko kuu pale wakina mama wauza samaki na dagaa ambao sio wazawa wa huo ukanda wanauzia wakuja wale wenyeji wanaenda kununua kwa wenyeji wao. Yaani wewe mfano Kama ni mkikuyu lazima utanunua kwa mkikuyu mWenzako Ila kwa mkalenjini utampita Kama vile mavi.
Nenda soko kuu pale Kama unabisha ,uzuri ninakaa huku huku ukitaka twende ufanye usahili ama ukae Kama mwezi uone.

Afu unabakia kujificha kuwa wanakosa mbinu ,mbinu gani ama ni kichaka Cha kujifichia.
Binafsi nafanya kazi huku Ila kuishi naishi mwanza ndo nimeamua kukaa kwa watanzania wenye utu.
Check iyo Kanda hata mpaka wanaogopana kuoana Mana wanajuana kuwa hawana utu ni ubaguzi kwenda mbele.

Yaani mnabaguana mpaka mkiwa pale Moshi mjini mfano utasikia mrombo analalamika kuwa huyu mmarangu akajaza wamarangu wenzake wote kwenye hii ofisi.

Kuna mama mkuu wa masista wa rc anaitwa Bureta anaomba hela za msaada kujenga shule anajenga kwao na huku anatumia mgongo wa dini. Na hajui misingi ya dini.

Kimbia huko utabaguliwa kinouma. Na Nina Imani hata biashara zako haufanyii huko imebakia kwenu jina tu.kwa mwaka Mara moja tu kulingishiana ulicho nacho.majumba yapo Moshi hakuna watu wakupanga.
Nyumba nzuri unamlipa mtu wa kuishimo,unampatia na shamba dogo la ndizi,la mifugo kidogo,na huku bado unamlipa. Jenga mwanza nyumba yako haitokutesa kishoia wewe huku wageni kibao wanakaa kwa amani Kama kwao.

Unajenga nyumba pambo tu Ila siku unazoishimo zinahesabika.
Umejenga ikusaidie Nini ama maonyesho kuwa na wewe unao uwezo.
Ila bana vyasaka mtaolewa sana
Hata tukijenga maghorofa vijijini yakakaa bure wewe inakuuma Nini ? Si tuna mihela bhana?
 
Kurudi kufanyeje. Ama wakirudi lazima iwe matangazo.utaratibu wako sio lazima namie niu cope mkuu.
Love your life.
Halafu kumbuka ajali ni nyingi Sana road so why ujazane na familia kisa kwenda kuuza sura.
Huwezi muelimisha mtu Cha kufanya yeye mwenyewe anayo priority yake ya maisha.
Waambie na watumwa waliopelekwa jamaika warudi kwao afrika.
Tangiapo wengi wapo kwenye mikoa Yao na Ina fursa na raslimali tele.
Mfano mtu wa mwanza aende wapi yupo kwao kila kitu kipo,ardhi Ipo, mazingira mazuri ya biashara hakuna ubaguzi wa kikabila kuwa huwezi fanyapo biashara Kama wewe sio mzawa wa mwanza.
Wengine kwao Wana shida hawana ardhi ,hakuna biashara ya maana wanabaka kuhangaika kwa wengine.
Imagine kila mtu akae kwao afanyae biashara kwao utaweza ama utakufa.
Kunywa maji baridi kwanza upunguze hasira jombaa halafu uje with open mind utamuelewa mleta uzi. Hakuna kitu kizuri kwenye maisha kama ku connect na kwenu ulikotoka, yaani mkoani au kijijini kwenu kwenye asili ya ukoo wenu. Kila mtanzania hapa ana chimbuko lake au asili yao (kama hili pia hulijui please fungua TBC kuna ile channel yao ya SAFARI, au ITV wanayo pia ikionyesha makabila na asili zao). Huku mijini tumekimbilia tuu kwa ajili ya kutafuta kazi na maisha na mara nyingi mijini unakutana na watu mchanginyiko kutoka maeneo mbalimbali, ndiyo maana wengine wakiwa mijini wale wanaotoka mikoa au sehemu moja wanaanzisha umoja wao ili kusaidiana. Mimi hapa unavyoniona najiandaa kwenda Kijijini mwezi ujao na familia yote kwa sababu huko tunaenda kukutana wanaukoo wengi (kila mtu na familia yake) ambao tuliachana mwaka jana. Pia tunatumia muda huo kufanya dua/ibada kuwaombea/kuwarehemu waliotangulia mbele za haki na Kutembelea na kusafisha makaburi yao. Pia kuna kusaidiana kupeana michongo ya kazi, shule nzuri kwa watoto wetu, kukopeshana na kupeana taarifa za fedha (tuna kikoba chetu cha ukoo pia). Lakini pia kuna kutembeleana (kwenda kwa mjomba, shangazi, baba mdogo, mkubwa, class mates nk) kula na kunywa... Kiukweli ni kama vacation flani hivi maana hata pale Kijijini kunachangamka kinomaa [emoji12][emoji12]
 
Back
Top Bottom