Ni kitu gani kinafanya makabila mengi Tanzania kutokuwa na utamaduni wa kurudi kwao?

Ni kitu gani kinafanya makabila mengi Tanzania kutokuwa na utamaduni wa kurudi kwao?

Kiuchumi haijakaa poa. Hata kujenga nyumba mbili mbili, mjini na kijijini haijakaa poa kiuchumi.
Kuna watu mijini wana majumba mpaka matano, wengine Magorofa, ni ajabu kushindwa kujenga a simple nice house kijijini kwenu ambako hata ukiwa haupo wazazi wako waishi conformable... Wengine huko town wamewajengea mpaka mchepuko na kununulia gari [emoji12][emoji12] ni suala la kipaumbele tuu.
 
Unachoongea tofauti na ulichoandika. Wamepiga hatua gani ama ndio Hali ukiwa na milioni kumi unaenda kwa mama mwenye beseni kichwani na kujinadi kuwa una hela. Ni kwa Nini usiende kwa wenye hela wenzako ujinadi,ujitape kuwa unazo.
Yaani una bachelor unaenda kuuza sura kwa fomu Foo kuwa umesoma.jitafakari kwanza.
Kuna mtu amekataa kwao. Si yupo Tanzania ama unadhani kuwa yupo Burundi. Usikariri maisha.
Umoja huo unaongelea unaleta uhasmaa baina ya makabila ndani ya nchi. Saivi Rwanda hakuna mtutsi Wala mhutu Bali Kuna mnyarwanda.
Angalia Ethiopia wenye umoja wa kikabila unachoongelea.
Ukabila unaleta chuki na kutengana.unamtenga mwenzako kisa sio kabila lako.
Na ndo Mana huko Kenya Kama wewe ni mwalimu mkikuyu huwezi fundisha kwa wakalenjini unaona hiyo ni sawa.

Ivi unajua Kuna watu wakiwa mkoani kwao wanabaguana Sana.
Yaani ukiwa na ukabila Sana unaoita umoja huwezi enda nunua duka la mtu asiye kabila lako.
Yaani ni mambo ya tribalism kwenda mbele. Ukipewa ofisi Fulani unajaza kabila lako afu unajiita umoja na huku uliacha wenye qualifications za kutosha.
Naona umejawa na ukabila unataka kuleta chama Cha kikabila.
Kuna watu ni watanzania Ila Wana asili ya nchi zinazoabudu sana ukabila.
Ukabila na udini ni mbaya Sana Mana unamuona asiye kabila lako sio binadamu.

Ukianza kunibagua mie ni mbara wewe ni mzenji mpaka huko zenji mtabaguana tu ,yaani mtabaguana mpaka family level kataa kubali.
Kwani wewe kwenu wapi jombaa mbona umepaniki sana? Take it easy, kwenu ni kwenu tuu na mkataa kwao mtumwaaa tuuu hata ubishe vipi. Muasisi wa taifa hili Nyerere, ambaye ndiye wa kwanza kuhimiza umoja kwa watanzania bado, pamoja na yoooteee aliyokuwa anafanya na kuyahimiza, alikuwa anaenda kwao Butiama mara kwa mara, na alizikwa huko. Pia JPM kila mara alikuwa anaenda kwao na amepaendeleza sana nyumbani kwake, na si yeye tuu hata Mzee wetu wa Msoga...
 
Kwani wewe kwenu wapi jombaa mbona umepaniki sana? Take it easy, kwenu ni kwenu tuu na mkataa kwao mtumwaaa tuuu hata ubishe vipi. Muasisi wa taifa hili Nyerere, ambaye ndiye wa kwanza kuhimiza umoja kwa watanzania bado, pamoja na yoooteee aliyokuwa anafanya na kuyahimiza, alikuwa anaenda kwao Butiama mara kwa mara, na alizikwa huko. Pia JPM kila mara alikuwa anaenda kwao na amepaendeleza sana nyumbani kwake, na si yeye tuu hata Mzee wetu wa Msoga...
Huyo keisongora kinachomsumbua ni wivu tu,huyu probably kijijin kwao kenyamanyori tarime atakuwa hajajenga so he feels jelous to us leave him.
 
Kwani wewe kwenu wapi jombaa mbona umepaniki sana? Take it easy, kwenu ni kwenu tuu na mkataa kwao mtumwaaa tuuu hata ubishe vipi. Muasisi wa taifa hili Nyerere, ambaye ndiye wa kwanza kuhimiza umoja kwa watanzania bado, pamoja na yoooteee aliyokuwa anafanya na kuyahimiza, alikuwa anaenda kwao Butiama mara kwa mara, na alizikwa huko. Pia JPM kila mara alikuwa anaenda kwao na amepaendeleza sana nyumbani kwake, na si yeye tuu hata Mzee wetu wa Msoga...
Tanzania mkuu
 
Kunywa maji baridi kwanza upunguze hasira jombaa halafu uje with open mind utamuelewa mleta uzi. Hakuna kitu kizuri kwenye maisha kama ku connect na kwenu ulikotoka, yaani mkoani au kijijini kwenu kwenye asili ya ukoo wenu. Kila mtanzania hapa ana chimbuko lake au asili yao (kama hili pia hulijui please fungua TBC kuna ile channel yao ya SAFARI, au ITV wanayo pia ikionyesha makabila na asili zao). Huku mijini tumekimbilia tuu kwa ajili ya kutafuta kazi na maisha na mara nyingi mijini unakutana na watu mchanginyiko kutoka maeneo mbalimbali, ndiyo maana wengine wakiwa mijini wale wanaotoka mikoa au sehemu moja wanaanzisha umoja wao ili kusaidiana. Mimi hapa unavyoniona najiandaa kwenda Kijijini mwezi ujao na familia yote kwa sababu huko tunaenda kukutana wanaukoo wengi (kila mtu na familia yake) ambao tuliachana mwaka jana. Pia tunatumia muda huo kufanya dua/ibada kuwaombea/kuwarehemu waliotangulia mbele za haki na Kutembelea na kusafisha makaburi yao. Pia kuna kusaidiana kupeana michongo ya kazi, shule nzuri kwa watoto wetu, kukopeshana na kupeana taarifa za fedha (tuna kikoba chetu cha ukoo pia). Lakini pia kuna kutembeleana (kwenda kwa mjomba, shangazi, baba mdogo, mkubwa, class mates nk) kula na kunywa... Kiukweli ni kama vacation flani hivi maana hata pale Kijijini kunachangamka kinomaa [emoji12][emoji12]
Kisa ukenya ama Nini,najua mkalenjini haendi kufundisha kwa wajaluo lakini.anafundisha kwao.
 
Nazungumzia kurudi kama kabila ka ilivyo kwa lile kabila ambalo sina hata haja ya kuliweka hapa, Nadhani mnalijua nyomi lao hao wanaorudi ikifika December.

Huko wanakofikia ndio kwao, ndio chimbuko lao, ndiko vizazi hadi vizazi vimezaliana mpaka kuja kwa hapa duniani, Kwenu ni sehemu ambayo inabidi utembelee kujuana na ndugu zako, kujua chimbuko lako, kufanya mila mfano matambiko, n.k. ilimradi kutunza na kuendeleza asili.

Kuna watu kama wa Mwanza, Kagera, Njombe, Mbeya n.k yani unakuta wamefanikiwa vizuri huku mjini lakini kuhusu kurudi makwao hio sahau kabisa aisee, labda utokee msiba.

Kwa tathmini nliyofanya nmeona hizi ndio sababu.

1. Vipapai (kurogana) - Kuna makabila kwa ushirikina tu hawajambo aisee !! Ukirudi huko kwenu hata na gari basi ni wivu na chuki, mtu umepeleka watoto vijijini huko matokeo yake wanazibwa macho, masikio, midomo, kuwa vichaa, n.k.

2. kutokujenga vijijini- mtu anaweka heshima bar lakni kijijin hajajengea hata wazazi ama ndugu zake, nyumba ni ya makuti ipo vile vile tangu aondoke, ukijenga kijijini kwenu lazima upa miss, ila kama hujajenga kwenu ni vigumu kirudi kulala kwenye nyumba za nyasi.

3.Ushirikiano hafifu na chuki, mtu yupo radhi asaidie mtu wa kabila lengine ila chonde chonde hataki hata kusikia habari ya ndugu yake kufanikiwa.
Nyerere kukataza lugha za makabila
 
Unachoongea tofauti na ulichoandika. Wamepiga hatua gani ama ndio Hali ukiwa na milioni kumi unaenda kwa mama mwenye beseni kichwani na kujinadi kuwa una hela. Ni kwa Nini usiende kwa wenye hela wenzako ujinadi,ujitape kuwa unazo.
Yaani una bachelor unaenda kuuza sura kwa fomu Foo kuwa umesoma.jitafakari kwanza.
Kuna mtu amekataa kwao. Si yupo Tanzania ama unadhani kuwa yupo Burundi. Usikariri maisha.
Umoja huo unaongelea unaleta uhasmaa baina ya makabila ndani ya nchi. Saivi Rwanda hakuna mtutsi Wala mhutu Bali Kuna mnyarwanda.
Angalia Ethiopia wenye umoja wa kikabila unachoongelea.
Ukabila unaleta chuki na kutengana.unamtenga mwenzako kisa sio kabila lako.
Na ndo Mana huko Kenya Kama wewe ni mwalimu mkikuyu huwezi fundisha kwa wakalenjini unaona hiyo ni sawa.

Ivi unajua Kuna watu wakiwa mkoani kwao wanabaguana Sana.
Yaani ukiwa na ukabila Sana unaoita umoja huwezi enda nunua duka la mtu asiye kabila lako.
Yaani ni mambo ya tribalism kwenda mbele. Ukipewa ofisi Fulani unajaza kabila lako afu unajiita umoja na huku uliacha wenye qualifications za kutosha.
Naona umejawa na ukabila unataka kuleta chama Cha kikabila.
Kuna watu ni watanzania Ila Wana asili ya nchi zinazoabudu sana ukabila.
Ukabila na udini ni mbaya Sana Mana unamuona asiye kabila lako sio binadamu.

Ukianza kunibagua mie ni mbara wewe ni mzenji mpaka huko zenji mtabaguana tu ,yaani mtabaguana mpaka family level kataa kubali.
We Rwanda ushafika au unaandika tu
 
Ni kweli, nyinyi wachaga ndiyo mnajitangaza kuwa mnarudi kwenu hadi kwenye magazeti,makabila kibao yanafanya hivyo hila hawana hizo mbwembwe,wewe unataka kila Kabila lijitangaze kuwa linarudi kwao kama nyinyi ambavyo mnavyofanya?
Hawana hiyo popularity ya kujitangaza,watajitangaza watu watano? Sisi ni dhahiri shairi,dar décembre foleni inapunguaga kabisa ndo uje effect yetu
 
Mkataa kwao ni mtumwa

Hii ndio sababu hilo kabila limepiga hatua kubwa sana kwenye maendeleo, kurudi kwenu ni jambo zuri linalohamasisha umoja, upendo na mshikamano.

Kuna watu humu hawajui kabisa hata mila zao wala kujua asili zao
Duniani wazungu wamefanikwa sana kwa sababu ya uthubutu wa kuiacha kabisa Ulaya na kwenda kuishi kwingine duniani kwenye fursa kubwa, wameishia kuichukua Marekani Kusini na Kaskazini pamoja na sehemu kubwa ya Africa na rasilimali zake. Wewe endelea kupuyunga na kwenu tu.
 
Kurudi wanarudi lakn, huwezi waona kwasababu hawarudi kwa makundi Wala mwezi Fulani kila mwaka Kama nyumbu wanahama la hasha!
 
Kurudi kufanyeje. Ama wakirudi lazima iwe matangazo.utaratibu wako sio lazima namie niu cope mkuu. Love your life.

Halafu kumbuka ajali ni nyingi Sana road so why ujazane na familia kisa kwenda kuuza sura.

Huwezi muelimisha mtu Cha kufanya yeye mwenyewe anayo priority yake ya maisha.
Waambie na watumwa waliopelekwa jamaika warudi kwao afrika.

Tangiapo wengi wapo kwenye mikoa Yao na Ina fursa na raslimali tele. Mfano mtu wa mwanza aende wapi yupo kwao kila kitu kipo,ardhi Ipo, mazingira mazuri ya biashara hakuna ubaguzi wa kikabila kuwa huwezi fanyapo biashara Kama wewe sio mzawa wa mwanza.

Wengine kwao Wana shida hawana ardhi ,hakuna biashara ya maana wanabaka kuhangaika kwa wengine.

Imagine kila mtu akae kwao afanyae biashara kwao utaweza ama utakufa.
Watumwa waliopelekwa Jamaica warudi kwao!? Huwezi kuwa seriuos. Wanafahamu walikotoka vizazi vyao vilivyotekwa mamia ya miaka nyuma!? Au unadhani waliondoka kwa hiari yao kama unavyoamua wewe kwenda kokote utakako!?
 
Unachoongea tofauti na ulichoandika. Wamepiga hatua gani ama ndio Hali ukiwa na milioni kumi unaenda kwa mama mwenye beseni kichwani na kujinadi kuwa una hela. Ni kwa Nini usiende kwa wenye hela wenzako ujinadi,ujitape kuwa unazo.

Yaani una bachelor unaenda kuuza sura kwa fomu Foo kuwa umesoma.jitafakari kwanza.

Kuna mtu amekataa kwao. Si yupo Tanzania ama unadhani kuwa yupo Burundi. Usikariri maisha.

Umoja huo unaongelea unaleta uhasmaa baina ya makabila ndani ya nchi. Saivi Rwanda hakuna mtutsi Wala mhutu Bali Kuna mnyarwanda.

Angalia Ethiopia wenye umoja wa kikabila unachoongelea.

Ukabila unaleta chuki na kutengana.unamtenga mwenzako kisa sio kabila lako.

Na ndo Mana huko Kenya Kama wewe ni mwalimu mkikuyu huwezi fundisha kwa wakalenjini unaona hiyo ni sawa.

Hivi unajua Kuna watu wakiwa mkoani kwao wanabaguana Sana.

Yaani ukiwa na ukabila Sana unaoita umoja huwezi enda nunua duka la mtu asiye kabila lako.

Yaani ni mambo ya tribalism kwenda mbele. Ukipewa ofisi Fulani unajaza kabila lako afu unajiita umoja na huku uliacha wenye qualifications za kutosha.

Naona umejawa na ukabila unataka kuleta chama Cha kikabila.

Kuna watu ni watanzania Ila Wana asili ya nchi zinazoabudu sana ukabila.

Ukabila na udini ni mbaya Sana Mana unamuona asiye kabila lako sio binadamu.

Ukianza kunibagua mie ni mbara wewe ni mzenji mpaka huko zenji mtabaguana tu ,yaani mtabaguana mpaka family level kataa kubali.
Aisee, watu kwenda kwao ni ukabila!? Hii ni mpya. Porojo nyingi tu hapa ambazo zipo nje ya mada.
 
Wewe unawasema wabondei.

Hawa watu wanaogopa sana kurogwa ndio maana wakipata kazi mjini hawarudi bonde.

Na akirudi labda kwenye msiba halali Ni ku kwea Rahaleo Mara baada ya mazishi.

Hata kula hawataki.

Utamsikia akisema "papa kida mie" wakati papa ndio mboga yao kubwa.
Hata huko umakondeni kuna mambo hayo. Nina machinga wenzangu huwa wananipa stori za huko. Sio poa.
 
Back
Top Bottom