Ni kitu gani kinakukata Sitimu unapotaka kumtongoza mwanamke

Ni kitu gani kinakukata Sitimu unapotaka kumtongoza mwanamke

Chai Maziwa

Member
Joined
Jan 24, 2022
Posts
82
Reaction score
456
Habari Wanaume Wa JF

Kama unavyojua hulka ya mwanaume ni kutamani na kutongoza popote anapopata nafasi. Lakini kwa wanaume wanaojua sifa za mademu wanaowataka hatongozi tu hasa akiona kuna kitu hakijamvutia kwa mwanamke.

Achana na maumbile tunaongelea yale mambo wanayojiongezea au kuyapunguza

Mfano: Mm katika harakati za kutongoza huwa nakatishwa motisha na wanawake weny kucha bandia( yale makucha marefu). Yaani namuona huyu sio msafi... hatandiki kitanda akiamka (obvious atakuw na kijeba kinatandika kila morning) hafui ata nguo za ndan,kaz ndgo ndgo home hafanyi, hajisafishi kule, nk

Wewe kitu gan hukuondolea stimu za kufukuzia demu?
 
Habari Wanaume Wa JF

Kama unavyojua hulka ya mwanaume ni kutamani na kutongoza popote anapopata nafasi. Lakini kwa wanaume wanaojua sifa za mademu wanaowataka hatongozi tu hasa akiona kuna kitu hakijamvutia kwa mwanamke. Achana na maumbile tunaongelea yale mambo wanayojiongezea au kuyapunguza

Mfano: Mm katika harakati za kutongoza huwa nakatishwa motisha na wanawake weny kucha bandia( yale makucha marefu). Yaani namuona huyu sio msafi... hatandiki kitanda akiamka (obvious atakuw na kijeba kinatandika kila morning) hafui ata nguo za ndan,kaz ndgo ndgo home hafny, hajisafishi kule[emoji852] nk

Ww kitu gan hukuondolea stimu za kufukuzia demu?
Nyingine ni unapopata namba zake za simu mkaanza kuchati. Mwanamke anachati kama waschana wa Secondary. Vifupi kibao hata uelewi anamaanisha nini. X x nyingi badala ya S[emoji23]

Au unakuta mwanamke unachat naye anakuita "nigga"!!! Anajikuta kutumoa slang ya wamarekani weusi kina 2pac. Hapa uwa nakatisha mada na kumpotezea maana najua hiki n kidume chenzangu[emoji23]
 
Hapa kwetu Njombe Mwez wa kumi na mbil mwaka 2021 nilikutana na binti flani ambaye kwa macho yangu namuona mzuri Sana, nlimuelewa sana yule dada. Alikuwa anapita sana kwenye kachochoro ambako ndipo ofisi yangu ilipo.

Basi ikawa kila akipita namuangalia sana naishia kusema kesho ntamsimamisha ila akipita tena napata uoga. Sasa wiki iliyopita nikawa nimejipanga kabisa kwamba leo lazima nimsimamishe hata niongee nae kidogo, Ile nimekaa sina hili wala lile mtoto huyo namuona anakuja, basi mwanaume nikajitosa nkamuita.

Dada wa watu akasimama nikasogea taratibu, sasa hapa ndo tatizo lilipoanzia,Nilipokuwa namkaribia nilishtuka sana, alikuwa ameshika cm mkono mmoja af mwingn kashika pochi, sasa nilipokuwa nampa mkono tusalimiane.. alinipa ule mkono wenye cm kumbe kwenye kidole kimoja alikuwa kaingiza ile ring ya funguo ambazo zilikuwa zimekaa kwa nyuma ya kiganja, mm nikawa naona cm tuu kumbe mtoto mkono huohuo kaning'iniza funguo za ndinga na remote ya BMW.

Kiukwel nlipoziona nilishtuka sana, mistari yote niloipanga kichwani ikayeyuka. Mwanaume nikakosa point kwa sababu nlianza kupata hofu kwamba mtu huyu sikumdhania kama anaweza kuwa na pesa ivoo. Nliona nimeparamia sehem sio level yangu

Nliishia kumwambia samahan sister nmekufananisha na dada mmoja huwa anapita sana hapa. Saivi huwa anapita ananipa hai mana nipo kwenye kabanda flan kana geti tuu so kila anapopita lazma tuonane.

Zile hisia za kumpenda zilishakata asee
 
Nyingine ni unapopata namba zake za simu mkaanza kuchati. Mwanamke anachati kama waschana wa Secondary. Vifupi kibao hata uelewi anamaanisha nini. X x nyingi badala ya S[emoji23]

Au unakuta mwanamke unachat naye anakuita "nigga"!!! Anajikuta kutumoa slang ya wamarekani weusi kina 2pac. Hapa uwa nakatisha mada na kumpotezea maana najua hiki n kidume chenzangu[emoji23]
Huaga wanatumia viswaswadu
 
Hapa kwetu Njombe
Mwez wa kumi na mbil mwaka 2021 nlikutana na binti flani
ambaye kwa macho yangu namuona mzuri Sana, nlimuelewa sana yule dada...
Mnamo mwaka 1941 kueleke 42 Japan iliishambulia Marekani. Ilkuwa ni kipindi cha vita ya pili ya dunia WWII na Marekani katika vita iyo hakutaka kushiriki yaani hakuwa na upande.

Shambulio la Japan kwake lilimshangaza ila akasema lazima nilipe. Marekani kama ujuavyo alijibu mapigo akazamisha meli za kivita za Japan had Japan kakubali kuretreat. Kamanda wa Japan aliyekuw anaongoz vikosi alikubali kuretreat akisema "This war Is Lost.

I can't fight for pride. I'll be sending my men to hell" Yaani hawez endelea kupigana kwa ajili ya majivuni ya mda wakati uo akiwapeleka vijana wake kuzimu. Akaretreat.

Sometimes mwanaume kuretreat ukajipange upya ni sifa ya kivita. Sio kila vita unayopigana lazima ushide. Zipo utazoona hapa sina mbinu, retreat ukajipange upya. Nakupongeza kwa kupima na kujua maamuzi sahh... nyama bado n nying endelea kula kwa ukalj wa kisu chako[emoji123][emoji123][emoji123]
 
Back
Top Bottom