Comex
JF-Expert Member
- Dec 28, 2019
- 481
- 621
Sasa huko si ndo kwenye mauno yote ya vpnUnatafuta ugomvi na Wachaga ww
Sema kuna ile unakuta demu mkali ila anakuambia anatoka Tandahimba uko sijui Mtwara. Dah! Inauma sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa huko si ndo kwenye mauno yote ya vpnUnatafuta ugomvi na Wachaga ww
Sema kuna ile unakuta demu mkali ila anakuambia anatoka Tandahimba uko sijui Mtwara. Dah! Inauma sana
Kungekuwa na chance ya kutuma risas humu jf ningeanza na ww [emoji1787] mwanaume ukishaamua kwenda nenda mambo ya ohhh sijui nn bmw we tongoza tu kwan kukataliwa shi ngap tena kwa taarifa yako ungekuwa unagongea humo humo kwny bmHapa kwetu Njombe Mwez wa kumi na mbil mwaka 2021 nlikutana na binti flani ambaye kwa macho yangu namuona mzuri Sana, nlimuelewa sana yule dada. Alikuwa anapita sana kwenye kachochoro ambako ndipo ofisi yangu ilipo.
Basi ikawa kila akipita namuangalia sana naishia kusema kesho ntamsimamisha ila akipita tena napata uoga. Sasa wiki iliyopita nikawa nimejipanga kabisa kwamba leo lazima nimsimamishe hata niongee nae kidogo, Ile nimekaa sina hili wala lile mtoto huyo namuona anakuja, basi mwanaume nikajitosa nkamuita.
Dada wa watu akasimama nikasogea taratibu, sasa hapa ndo tatizo lilipoanzia,Nilipokuwa namkaribia nilishtuka sana, alikuwa ameshika cm mkono mmoja af mwingn kashika pochi, sasa nilipokuwa nampa mkono tusalimiane.. alinipa ule mkono wenye cm kumbe kwenye kidole kimoja alikuwa kaingiza ile ring ya funguo ambazo zilikuwa zimekaa kwa nyuma ya kiganja, mm nikawa naona cm tuu kumbe mtoto mkono huohuo kaning'iniza funguo za ndinga na remote ya BMW.
Kiukwel nlipoziona nilishtuka sana, mistari yote niloipanga kichwani ikayeyuka. Mwanaume nikakosa point kwa sababu nlianza kupata hofu kwamba mtu huyu sikumdhania kama anaweza kuwa na pesa ivoo. Nliona nimeparamia sehem sio level yangu
Nliishia kumwambia samahan sister nmekufananisha na dada mmoja huwa anapita sana hapa. Saivi huwa anapita ananipa hai mana nipo kwenye kabanda flan kana geti tuu so kila anapopita lazma tuonane.
Zile hisia za kumpenda zilishakata asee
Ila ukwel kasema madem wa huko cjui mmakonde siwakubal kbsa hata wa kitanga tu siwez kuwaoakwaiyo wa Mtwara sio watu
marekan ww2 ilimuhus sana alikua patner wa britain na britain alikua mpiganaj mkubwa na germany na germany italy na japan walikua patner pia ndioman mjapan akashambulia tafta documentary inaitwa pearl harbour utaelewaMnamo mwaka 1941 kueleke 42 Japan iliishambulia Marekani. Ilkuwa ni kipindi cha vita ya pili ya dunia WWII na Marekani katika vita iyo hakutaka kushiriki yaani hakuwa na upande.
Shambulio la Japan kwake lilimshangaza ila akasema lazima nilipe. Marekani kama ujuavyo alijibu mapigo akazamisha meli za kivita za Japan had Japan kakubali kuretreat. Kamanda wa Japan aliyekuw anaongoz vikosi alikubali kuretreat akisema "This war Is Lost.
I can't fight for pride. I'll be sending my men to hell" Yaani hawez endelea kupigana kwa ajili ya majivuni ya mda wakati uo akiwapeleka vijana wake kuzimu. Akaretreat.
Sometimes mwanaume kuretreat ukajipange upya ni sifa ya kivita. Sio kila vita unayopigana lazima ushide. Zipo utazoona hapa sina mbinu, retreat ukajipange upya. Nakupongeza kwa kupima na kujua maamuzi sahh... nyama bado n nying endelea kula kwa ukalj wa kisu chako[emoji123][emoji123][emoji123]
Product za kaskazin jaman ni bomba sana na wasafi na wanajitambua. Ila hako katabia ka kudedishana dah! Na vya kufa vimo!Unatafuta ugomvi na Wachaga ww
Sema kuna ile unakuta demu mkali ila anakuambia anatoka Tandahimba uko sijui Mtwara. Dah! Inauma sana
vipi mkuu, nini mbaya na wachagaNilipo muuliza kwao wapi ......akaniambia yeye anatokea Kilimanjaro. Ikabidi nifanye hivi [emoji125][emoji125][emoji125]
Hapo baada ya ku connect visa vinavyotokea huko
Ila ukwel kasema madem wa huko cjui mmakonde siwakubal kbsa hata wa kitanga tu siwez kuwaoa
yaani wewe unatiswa na ka bmw? na akiwa na private jet?si utapata heart attack mkuuHapa kwetu Njombe Mwez wa kumi na mbil mwaka 2021 nlikutana na binti flani ambaye kwa macho yangu namuona mzuri Sana, nlimuelewa sana yule dada. Alikuwa anapita sana kwenye kachochoro ambako ndipo ofisi yangu ilipo.
Basi ikawa kila akipita namuangalia sana naishia kusema kesho ntamsimamisha ila akipita tena napata uoga. Sasa wiki iliyopita nikawa nimejipanga kabisa kwamba leo lazima nimsimamishe hata niongee nae kidogo, Ile nimekaa sina hili wala lile mtoto huyo namuona anakuja, basi mwanaume nikajitosa nkamuita.
Dada wa watu akasimama nikasogea taratibu, sasa hapa ndo tatizo lilipoanzia,Nilipokuwa namkaribia nilishtuka sana, alikuwa ameshika cm mkono mmoja af mwingn kashika pochi, sasa nilipokuwa nampa mkono tusalimiane.. alinipa ule mkono wenye cm kumbe kwenye kidole kimoja alikuwa kaingiza ile ring ya funguo ambazo zilikuwa zimekaa kwa nyuma ya kiganja, mm nikawa naona cm tuu kumbe mtoto mkono huohuo kaning'iniza funguo za ndinga na remote ya BMW.
Kiukwel nlipoziona nilishtuka sana, mistari yote niloipanga kichwani ikayeyuka. Mwanaume nikakosa point kwa sababu nlianza kupata hofu kwamba mtu huyu sikumdhania kama anaweza kuwa na pesa ivoo. Nliona nimeparamia sehem sio level yangu
Nliishia kumwambia samahan sister nmekufananisha na dada mmoja huwa anapita sana hapa. Saivi huwa anapita ananipa hai mana nipo kwenye kabanda flan kana geti tuu so kila anapopita lazma tuonane.
Zile hisia za kumpenda zilishakata asee
Habari Wanaume Wa JF
Kama unavyojua hulka ya mwanaume ni kutamani na kutongoza popote anapopata nafasi. Lakini kwa wanaume wanaojua sifa za mademu wanaowataka hatongozi tu hasa akiona kuna kitu hakijamvutia kwa mwanamke.
Achana na maumbile tunaongelea yale mambo wanayojiongezea au kuyapunguza
Mfano: Mm katika harakati za kutongoza huwa nakatishwa motisha na wanawake weny kucha bandia( yale makucha marefu). Yaani namuona huyu sio msafi... hatandiki kitanda akiamka (obvious atakuw na kijeba kinatandika kila morning) hafui ata nguo za ndan,kaz ndgo ndgo home hafanyi, hajisafishi kule, nk
Wewe kitu gan hukuondolea stimu za kufukuzia demu?
[emoji23][emoji23][emoji23]demu anayechat ivyo n turn off aisee. Halaf unakuta anakujibu kwa neno moja wakat umeuliz swali la kidadisi linalohtaji maelezo kdgo
Sio wanawake tu, ata wanaume wanaoandika ivyo 'xaxa' badala ya 'sasa'...
"P" badala ya "poa".... "Niaje" badala ya " habari yako". Wanaboa sana
Huwa wananikata stimu kabisa, ata nikawa na Nia kweli ya kumtunukia nakatisha maongezi.
Kungekuwa na chance ya kutuma risas humu jf ningeanza na ww [emoji1787] mwanaume ukishaamua kwenda nenda mambo ya ohhh sijui nn bmw we tongoza tu kwan kukataliwa shi ngap tena kwa taarifa yako ungekuwa unagongea humo humo kwny bm