Ni kitu gani kinakukata Sitimu unapotaka kumtongoza mwanamke

Ni kitu gani kinakukata Sitimu unapotaka kumtongoza mwanamke

Nyingine ni unapopata namba zake za simu mkaanza kuchati. Mwanamke anachati kama waschana wa Secondary. Vifupi kibao hata uelewi anamaanisha nini. X x nyingi badala ya S[emoji23]

Au unakuta mwanamke unachat naye anakuita "nigga"!!! Anajikuta kutumoa slang ya wamarekani weusi kina 2pac. Hapa uwa nakatisha mada na kumpotezea maana najua hiki n kidume chenzangu[emoji23]
Sio wanawake tu, ata wanaume wanaoandika ivyo 'xaxa' badala ya 'sasa'...
"P" badala ya "poa".... "Niaje" badala ya " habari yako". Wanaboa sana
Huwa wananikata stimu kabisa, ata nikawa na Nia kweli ya kumtunukia nakatisha maongezi.
 
Hapa kwetu Njombe
Mwez wa kumi na mbil mwaka 2021 nlikutana na binti flani
ambaye kwa macho yangu namuona mzuri Sana, nlimuelewa sana yule dada.
alikuwa anapita sana kwenye kachochoro ambako ndipo ofisi yangu ilipo.

Zile hisia za kumpenda zilishakata asee
Chai ya saa tano hii
 
Sio wanawake tu, ata wanaume wanaoandika ivyo 'xaxa' badala ya 'sasa'...
"P" badala ya "poa".... "Niaje" badala ya " habari yako". Wanaboa sana
Huwa wananikata stimu kabisa, ata nikawa na Nia kweli ya kumtunukia nakatisha maongezi.
Ni kweli aisee. Mimi kuna manzi nlianza chat naye ila tumeanza akadai anaishiwa message. Nkasema message kitu gan nkamuungia sms za buku za week. Kajibu "Enx" [emoji24][emoji24][emoji24]

Hakuwah nsikia tena. Aliona kjana nmepotea tu
 
Sio wanawake tu, ta wanaume wanaoandika ivyo 'xaxa' badala ya 'sasa'...
"P" badala ya "poa".... "Niaje" badala ya " habari yako". Wanaboa sana
Huwa wananikata stimu kabisa, ata nikawa na Nia kweli ya kumtunukia nakatisha maongez
 
Hapa kwetu Njombe
Mwez wa kumi na mbil mwaka 2021 nlikutana na binti flani
ambaye kwa macho yangu namuona mzuri Sana, nlimuelewa sana yule dada.
alikuwa anapita sana kwenye kachochoro ambako ndipo ofisi yangu ilipo.
Basi ikawa kila akipita namuangalia sana naishia kusema kesho ntamsimamisha ila akipita tena napata uoga,
Sasa wiki iliyopita nikawa nimejipanga kabisa kwamba leo lazima nimsimamishe hata niongee nae kidogo,
Ile nimekaa sina hili wala lile mtoto huyo namuona anakuja, basi mwanaume nikajitosa nkamuita.
Dada wa watu akasimama nikasogea taratibu,,
sasa hapa ndo tatizo lilipoanzia,
Nilipokuwa namkaribia nilishtuka sana, alikuwa ameshika cm mkono mmoja af mwingn kashika pochi, sasa nilipokuwa nampa mkono tusalimiane.. alinipa ule mkono wenye cm kumbe kwenye kidole kimoja alikuwa kaingiza ile ring ya funguo ambazo zilikuwa zimekaa kwa nyuma ya kiganja, mm nikawa naona cm tuu kumbe mtoto mkono huohuo kaning'iniza funguo za ndinga na remote ya BMW.
Kiukwel nlipoziona nilishtuka sana, mistari yote niloipanga kichwani ikayeyuka. Mwanaume nikakosa point kwa sababu nlianza kupata hofu kwamba mtu huyu sikumdhania kama anaweza kuwa na pesa ivoo.
Nliona nimeparamia sehem sio level yangu
Nliishia kumwambia samahan sister nmekufananisha na dada mmoja huwa anapita sana hapa.
Saivi huwa anapita ananipa hai mana nipo kwenye kabanda flan kana geti tuu so kila anapopita lazma tuonane.
Zile hisia za kumpenda zilishakata asee
Inaonekana unatumia pesa sana kuwashawishi?
Ebu rudi kwa huyo dem umwambie ukweli wako mali zake zisikutishe
 
Mnamo mwaka 1941 kueleke 42 Japan iliishambulia Marekani. Ilkuwa ni kipindi cha vita ya pili ya dunia WWII na Marekani katika vita iyo hakutaka kushiriki yaani hakuwa na upande. Shambulio la Japan kwake lilimshangaza ila akasema lazima nilipe. Marekani kama ujuavyo alijibu mapigo akazamisha meli za kivita za Japan had Japan kakubali kuretreat. Kamanda wa Japan aliyekuw anaongoz vikosi alikubali kuretreat akisema "This war Is Lost. I can't fight for pride. I'll be sending my men to hell"

Yaani hawez endelea kupigana kwa ajili ya majivuni ya mda wakati uo akiwapeleka vijana wake kuzimu. Akaretreat.

Sometimes mwanaume kuretreat ukajipange upya ni sifa ya kivita. Sio kila vita unayopigana lazima ushide. Zipo utazoona hapa sina mbinu, retreat ukajipange upya. Nakupongeza kwa kupima na kujua maamuzi sahh... nyama bado n nying endelea kula kwa ukalj wa kisu chako[emoji123][emoji123][emoji123]
[emoji106]
 
Yaani hata awe pisi kali kivipi nikiisha ona ya makucha marefu kama ya ibilisi nasi stimu zote zinakata.

Ukiachana na hao, wale wanao weka mipini kwenye pua
Umenikumbusha kitu kuna 'malaya' mmoja alikuwa ana kapini puani, nikamdharau na kumuona malaya tu huyu akanitongoza mwenyewe, nilivoenda kumlaza kwanza akawa ananipapasa mboo ajue ni saizi gani , nilipata shida kumkaza akilalamika nina mboo kubwa, nikamwona huyu mwongo tu, siku nyingine nikamkaza jumla ni kama mara tano hivi.

Sijawahi kupata mwanamke mwenye muonekano ule lakini akawa na uchi amazing, uchi hauna aharufu hata kidogo, then ni mdogo dogo compartible na mashine yangu, sifikirii kumwacha katu, naye anavyolazimisha nimkaze kila mda, na anataka aje awe house girl wangu ili tukazane vizuri
 
Sio wanawake tu, ata wanaume wanaoandika ivyo 'xaxa' badala ya 'sasa'...
"P" badala ya "poa".... "Niaje" badala ya " habari yako". Wanaboa sana
Huwa wananikata stimu kabisa, ata nikawa na Nia kweli ya kumtunukia nakatisha maongezi.
Niaje
 
Back
Top Bottom