Ni kitu gani mtu mzima (Mwanaume) anaweza ingia katika chumba Cha Makahaba na jinsi kilivyo kichafu na kidogo?

Ni kitu gani mtu mzima (Mwanaume) anaweza ingia katika chumba Cha Makahaba na jinsi kilivyo kichafu na kidogo?

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Nipo Tandika hapa , nawaona wadada wale wa kutoka mkoa x wakiwa wamekaa kwa vigoda huku wakiwasubiria wateja .

Je wanaume wanaingiaje katika mazingira machafu na harufu kali .



Nilichogundua sisi watawa tupo sahihi kukaa mbali na Uzinzi (ngono) maana ni zaidi Uchafu wenyewe
 
Jishikirie hapo hapo usianguke, ikiwezekana kumbatia kwa mikono yote miwili
 
Bichwa la chini likianza kufikiri linaweza kukuaminisha kinyesi kinanukia perfume.

Hapo mwamba wa chini akitaka lake hicho chumba unakiona kama 5 Star hotel suite. Akili hurejea pale tu unapomaliza.
Chunguza speed ya kuingia na kutoka siku zote huwa tofauti. Mtu akitoka humo anakimbia kama katoka kuua, hapo nafsi yake inamsuta.
 
Nipo Tandika hapa , nawaona wadada wale wa kutoka mkoa x wakiwa wamekaa kwa vigoda huku wakiwasubiria wateja .

Je wanaume wanaingiaje katika mazingira machafu na harufu kali .



Nilichogundua sisi watawa tupo sahihi kukaa mbali na Uzinzi (ngono) maana ni zaidi Uchafu wenyewe
Tandika Sokoni au? Kitambo sana hilo chimbo limelea wana wengi humu JF ikifika wakati nitataja
 
Yes mkuu but cheap is expensive
Sasa wafanyeje. Kitaa Bila laki 1 hujapata demu wa maana
1. Lodge,
2. Vinywaji (Savanna, REDDS)
3. Chakula (chips zege)
4. Nauli (bolt)
5. Incidentals (bundle/vocha, kusuka, vipodozi).
 
Nipo Tandika hapa , nawaona wadada wale wa kutoka mkoa x wakiwa wamekaa kwa vigoda huku wakiwasubiria wateja .

Je wanaume wanaingiaje katika mazingira machafu na harufu kali .



Nilichogundua sisi watawa tupo sahihi kukaa mbali na Uzinzi (ngono) maana ni zaidi Uchafu wenyewe
Kuwa tu muwazi wadada wa ID yako unaficha nini sasa
 
Nipo Tandika hapa , nawaona wadada wale wa kutoka mkoa x wakiwa wamekaa kwa vigoda huku wakiwasubiria wateja .

Je wanaume wanaingiaje katika mazingira machafu na harufu kali .



Nilichogundua sisi watawa tupo sahihi kukaa mbali na Uzinzi (ngono) maana ni zaidi Uchafu wenyewe
ukishaona tako kama linata kudondoka unadhani utawaza hayo??Muulize mtu wa mungu yusuph aliukimbia mzigo wa potifa ili asiuone ukiuona tu kwisha.
 
Nipo Tandika hapa , nawaona wadada wale wa kutoka mkoa x wakiwa wamekaa kwa vigoda huku wakiwasubiria wateja .

Je wanaume wanaingiaje katika mazingira machafu na harufu kali .



Nilichogundua sisi watawa tupo sahihi kukaa mbali na Uzinzi (ngono) maana ni zaidi Uchafu wenyewe
Kuna nguvu ya msukumo nyuma ya pazia.
 
Back
Top Bottom