Ni kitu gani mtu mzima (Mwanaume) anaweza ingia katika chumba Cha Makahaba na jinsi kilivyo kichafu na kidogo?

Ni kitu gani mtu mzima (Mwanaume) anaweza ingia katika chumba Cha Makahaba na jinsi kilivyo kichafu na kidogo?

Nipo Tandika hapa , nawaona wadada wale wa kutoka mkoa x wakiwa wamekaa kwa vigoda huku wakiwasubiria wateja .

Je wanaume wanaingiaje katika mazingira machafu na harufu kali .



Nilichogundua sisi watawa tupo sahihi kukaa mbali na Uzinzi (ngono) maana ni zaidi Uchafu wenyewe
Ngoja kambi popote waje
 
Sasa wafanyeje. Kitaa Bila laki 1 hujapata demu wa maana
1. Lodge,
2. Vinywaji (Savanna, REDDS)
3. Chakula (chips zege)
4. Nauli (bolt)
5. Incidentals (bundle/vocha, kusuka, vipodozi).
Haya maoni usisahau zitapoanza siasa za majukwaan tena
 
Nishawaonaga wa karibu na temeke hospitali tu kwenye vile vichochoro near mskikti pale
Sudan? Kuna pale Kata 14, sokota, buguruni, msasani macho, manzese mferejini, uwanja wa fisi, mwananyamala
 
Kwa mwanamume alietimia kitu nyege (hamu ya tendo) ni kurukwa na akili,siku zote inahitaji kiwango cha juu sana cha kudhibiti hisia ili kuvuka kiunzi hiki.Tuongee na kujadili lakini katu tusimalize maneno!!!.
 
Dhambi ya zinaa huwezi ishinda kwa reasoning. Njia ni moja tu, mbio. Hata maandiko yanasema "IKIMBIENI ZINAA".
 
Nimeitumia stendi ya tandika for almost 10 years sijawahi kuona hilo chimbo la sokoni ila story tunazisikia sana daah
Mimi napita pande zote, nanunua mchele pale, kuna wakati nilikua napanda daladala za mbezi pale, yaani kwa shuhuri za ununuzi najiona nimelizinguka soko lote, ila watu wanaliona chimbo,.
Wengine ni wacha Mungu ila huenda huko kama utalii wa ndani.
 
Back
Top Bottom