Ni kitu gani raisi Samia amekiweza? Mbeya hakuna maji wiki ya pili hii

Ni kitu gani raisi Samia amekiweza? Mbeya hakuna maji wiki ya pili hii

Championship

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2019
Posts
5,500
Reaction score
10,616
Nimefika huu mkoa naambiwa maji hamna kwa zaidi ya wiki mbili sasa. Nipo maeneo ya soweto, block Q.

Niliwahi kuishi hapa karibu miaka 10 kipindi cha nyuma na hapajawahi kuwa na tatizo la ukosefu wa maji hata siku moja.

Ni kipi Rais anakiweza?
 
Nimefika huu mkoa naambiwa maji hamna kwa zaidi ya wiki mbili sasa. Nipo maeneo ya soweto, block Q.

Niliwahi kuishi hapa karibu miaka 10 kipindi cha nyuma na hapajawahi kuwa na tatizo la ukosefu wa maji hata siku moja.

Ni kipi Rais anakiweza?
Nimekulia mitaa hiyo jirani na Bar maarufu ya Sumbis,maji hayajawai kukatika na yakikatika ujue kuna dharura kubwa!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Nimefika huu mkoa naambiwa maji hamna kwa zaidi ya wiki mbili sasa. Nipo maeneo ya soweto, block Q.

Niliwahi kuishi hapa karibu miaka 10 kipindi cha nyuma na hapajawahi kuwa na tatizo la ukosefu wa maji hata siku moja.

Ni kipi Rais anakiweza?
Sio kazi ya Rais kuwapatia maji.

Kwani Chuma hakuwapa maji?
 
Nimefika huu mkoa naambiwa maji hamna kwa zaidi ya wiki mbili sasa. Nipo maeneo ya soweto, block Q.

Niliwahi kuishi hapa karibu miaka 10 kipindi cha nyuma na hapajawahi kuwa na tatizo la ukosefu wa maji hata siku moja.

Ni kipi Rais anakiweza?
Wakati huo kiongozi wa mbeya alikuwa sugu kwa taarifa yako
 
Nimefika huu mkoa naambiwa maji hamna kwa zaidi ya wiki mbili sasa. Nipo maeneo ya soweto, block Q.

Niliwahi kuishi hapa karibu miaka 10 kipindi cha nyuma na hapajawahi kuwa na tatizo la ukosefu wa maji hata siku moja.

Ni kipi Rais anakiweza?

Nyie watu wa Mbeya mmezoea kulalamika tu. Huwaga hakuna anaye waelewa mkiwa mnaongea.
 
Nimefika huu mkoa naambiwa maji hamna kwa zaidi ya wiki mbili sasa. Nipo maeneo ya soweto, block Q.

Niliwahi kuishi hapa karibu miaka 10 kipindi cha nyuma na hapajawahi kuwa na tatizo la ukosefu wa maji hata siku moja.

Ni kipi Rais anakiweza?

Hivi hata na hilo tatizo mpaka rais? RC,mkuu wa wilaya, wakurugenzi, waziri husika? Wote hawa wanafanya nn?
Hawaja pelekewa taarifa
 
Hivi hata na hilo tatizo mpaka rais? RC,mkuu wa wilaya, wakurugenzi, waziri husika? Wote hawa wanafanya nn?
Hawaja pelekewa taarifa
Hamna kitu nchi hii ambacho kikifanyika hasifiwi rais. Yeye ndio abebe lawama za upuuzi unaoendelea. Akawawajibishe aliowateua.
 
Nimefika huu mkoa naambiwa maji hamna kwa zaidi ya wiki mbili sasa. Nipo maeneo ya soweto, block Q.

Niliwahi kuishi hapa karibu miaka 10 kipindi cha nyuma na hapajawahi kuwa na tatizo la ukosefu wa maji hata siku moja.

Ni kipi Rais anakiweza?
Hakuna kitu anaweza zaidi ni safari za nje tu
 
Back
Top Bottom