butron
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 5,640
- 7,943
Dah,poleni sana Mkuu!Kweli wewe mwenyeji, pale sumbi's ni karibu na mahali nilipo. Sasa leo hii watu wanategemea maji ya mvua kuishi.
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah,poleni sana Mkuu!Kweli wewe mwenyeji, pale sumbi's ni karibu na mahali nilipo. Sasa leo hii watu wanategemea maji ya mvua kuishi.
Block Q Mbeya maji yapo toka miaka mingi,mimi nimezaliwa hapo maji nimeyakuta na leo nina miaka 40!Nauliza Hadi wakose maji kwani Chuma hakuwapa?
Hilo eneo la Block Q maji ya Bomba yanatoka, Sugu anasoma Primary school!Wakati huo kiongozi wa mbeya alikuwa sugu kwa taarifa yako
Kwani ni Mkoa gani nchi hii ambapo Wananchi hawalalamiki au ndiyo kulewa asali ya uchawa!Nyie watu wa Mbeya mmezoea kulalamika tu. Huwaga hakuna anaye waelewa mkiwa mnaongea.
Kwa hiyo kama yapo unalalamika nini?Block Q Mbeya maji yapo toka miaka mingi,mimi nimezaliwa hapo maji nimeyakuta na leo nina miaka 40!
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Dah hapa maeneo ya Mbezi juu, Goba, n.k Maji ni Mgao bao hautabiriki.Nimefika huu mkoa naambiwa maji hamna kwa zaidi ya wiki mbili sasa. Nipo maeneo ya soweto, block Q.
Niliwahi kuishi hapa karibu miaka 10 kipindi cha nyuma na hapajawahi kuwa na tatizo la ukosefu wa maji hata siku moja.
Ni kipi Rais anakiweza?
Endeleeykusubiria Rais aje awaunganishie Bomba 😂😂Dah hapa maeneo ya Mbezi juu, Goba, n.k Maji ni Mgao bao hautabiriki.
Mama anamfundisha Chuma jinsi ya kujali Wapiga kura wake.Unajiuliza miaka 20 Mwendazake alikuwa anafanya kazi gani yeye na Kalemani?Hamna kitu amefanya kwa kipindi chote alichokalia hicho kiti. Zaidi amezidi kufanya mambo kuwa magumu.
Wewe ushakata mshipa wa fahamu. Unachojua ni kusifia tu hata akikunyea.Endeleeykusubiria Rais aje awaunganishie Bomba 😂😂
Narudia,Kwa vile huna akili endelea kusubiria Rais aje awaletee maji sawa.Wewe ushakata mshipa wa fahamu. Unahojia ni kusifia tu hata akikunyea.
Hii unayotumia kubishana wakati wenzio maji hayatoki ni ujinga mtupu.Narudia,Kwa vile huna akili endelea kusubiria Rais aje awaletee maji sawa.
Kwangu maji yanatoka.Wajinga na wapumbavu ni nyie msioelewa nani mhusika na wapi mpeleke malalmikao yenu.Hii unayotumia kubishana wakati wenzio maji hayatoki ni ujinga mtupu.
Haitarajiwi Rais afanye kila kitu lakini kukizorota huduma yoyote, yeye ndiye wa kubeba lawama kwa sababu kwa mfumo huu wa Rais kuwa Mungumtu, ndiye anateua kila mtendaji mkuu wa Serikali kuanzia mkurugenzi wa Halmashauri mpaka Waziri.Sio kazi ya Rais kuwapatia maji.
Kwani Chuma hakuwapa maji?
Tunamchagua Rais ili aje afanye Nini?Kwangu maji yanatoka.Wajinga na wapumbavu ni nyie msioelewa nani mhusika na wapi mpeleke malalmikao yenu.
Ndio maana nawaambia Kwa kuwa hamna akili make hivyo hivyo bila maji Hadi Rais aje.
Aje awaletee maji ,Sasa endeleeni kumsubiriaTunamchagua Rais ili aje afanye Nini?
Jichunguze sana akili yako kaka sio matope. Unamaji kaa kimya na wenzio tuletewe maji. Zamani yalikuwa hayatoki kwa magumashi hivi.
Umefanya vizuri kuwataja wanaotakiwa kuhakikisha hakuna tatizo la maji kwenye eneo husika. Katika hao uliowataja, ni yupi ambaye siye mteule wa Rais? Kama wote ni wateule wa Rais, basi aliyewaweka hao failures na kuwaona wanafaa kwa vigezo vyake, ndiye anayestahili kubeba lawama.Hivi hata na hilo tatizo mpaka rais? RC,mkuu wa wilaya, wakurugenzi, waziri husika? Wote hawa wanafanya nn?
Hawaja pelekewa taarifa
Kama hawana akili na hawajui pa kwenda kulalamika kisa mtaa hauna maji Wacha wakae hivyo hivyo bila maji wamezidi upumbavu.Haitarajiwi Rais afanye kila kitu lakini kukizorota huduma yoyote, yeye ndiye wa kubeba lawama kwa sababu kwa mfumo huu wa Rais kuwa Mungumtu, ndiye anateua kila mtendaji mkuu wa Serikali kuanzia mkurugenzi wa Halmashauri mpaka Waziri.
Hivyo watendaji wake wakiboronga, lawama zote ni kwake kwa sababu ndiye aliyewaamini. Kama anataka asibebe hizo lawama, aache kuwa kizingiti cha kupatikana katiba mpya. Chini ya katiba mpya pendekezwa ya Warioba ilikuwa wateule wa Rais wapunguzwe sana. Watendaji wengi wa Serikali waajiriwe kwa taratibu za ajira kwa mkataba, akifeli anafukuzwa.
Wewe jaribu kutumia akili japo kidogo. Umekuwa mshabiki na mtu mpuuzi mpuuzi.Kwa hiyo kama yapo unalalamika nini?