Powell Gonzalez
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 843
- 1,630
- Thread starter
-
- #181
kwanza karibu nimepata taarifa kuwa umejiunga jana jamvinikMaokoto tuu yangu tuu kama nimeyasahau
futa huu upuuzi kweny thread yangu
KwakweliBasi ujue haina umuhimu kwako ungekuwa unashau vitu kama miwani, funguo za ofisi, nk hapo hata uwe umetembea na umbaligani utarudi tu
Ubongo. Huu nikiusahau sehemu lazima niurudie. Ila nashangaa kuna viongozi wakubwa kabisa hawana na wanadunda tu.Moja kwa moja kwenye mada salamu kesho!
Hivi ukiwa unatoka kwenda harakati kitu gani ukiwa umekisahau lazima tu ukirudie hata kama umeshadandia boda, umeshawasha gari au kuingia kwenye daladala.
Mimi; miwani, aaah glasses lazime nirudi tu aisee.
ππKifeni.
Yaani kuliko sasa hivi nikatoka bila kifeni changu bora nisiende sio kwa joto hiliView attachment 2913853
Dah kweli dunia ni uwanja wa fujoπ€£πMwa J mbwa yule aliniambukiza uti grade one.....π€¨
Kila nikiwa naenda kuonana nae siwezi sahau azuma...π
My favorite enemy, je huwa una ipuliza na yenyewe π€£πHili joto hapana kwakweli. Hakikosekani kwenye mkoba.
View attachment 2913832
πππMy favorite enemy, je huwa una ipuliza na yenyewe π€£π
Mbupu....Moja kwa moja kwenye mada salamu kesho!
Hivi ukiwa unatoka kwenda harakati kitu gani ukiwa umekisahau lazima tu ukirudie hata kama umeshadandia boda, umeshawasha gari au kuingia kwenye daladala.
Mimi; miwani, aaah glasses lazime nirudi tu aisee.
Simu yanguMoja kwa moja kwenye mada salamu kesho!
Hivi ukiwa unatoka kwenda harakati kitu gani ukiwa umekisahau lazima tu ukirudie hata kama umeshadandia boda, umeshawasha gari au kuingia kwenye daladala.
Mimi; miwani, aaah glasses lazime nirudi tu aisee.