Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Huyo huyo ndo namtakaJichanganye kuna mmoja ana ku zoom tu hapa oooh ππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo huyo ndo namtakaJichanganye kuna mmoja ana ku zoom tu hapa oooh ππππ
Samahani mkuu..ngoja nitakutafuta dogo ndio utajua Mimi padri au vipiππππ
I love you too....ππππππAchana nae π₯΄
tutaombana live mkuu msamaha sawa?Samahani mkuu..
Sirudii tena ππππ
πππππSimu
Haya.tutaombana live mkuu msamaha sawa?
π€£π€£π€£π€£ππΏaiseeI love you too....ππππππ
hilo siojambo lawewe kutaka utajikuta tupo live na nitakuonesha vielelezo vyako mkuuHaya.
..mi mambo ya live hayo siyataki sasa
Vipi hivo...ππππhilo siojambo lawewe kutaka utajikuta tupo live na nitakuonesha vielelezo vyako mkuu
subiri usiwe namapepe mkuuVipi hivo...ππππ
Sina nenosubiri usiwe namapepe mkuu
Sio mbaya mazee, mtu mzima nishaelewa...ππ€£π€£π€£π€£ππΏaisee
wee utakua unakanyagwaSio mbaya mazee, mtu mzima nishaelewa...π
Lipshine napaka nikienda date na shem wako..Safi sana!kumbe tutaenda sawa japo dada yako siku hizi muda mwingi Nina lipbalm....mdomo ushineshine
Hutaki kumlisha mirangirangiπLipshine napaka nikienda date na shem wako..
Vipimo na Condom, huwezi juaMoja kwa moja kwenye mada salamu kesho!
Hivi ukiwa unatoka kwenda harakati kitu gani ukiwa umekisahau lazima tu ukirudie hata kama umeshadandia boda, umeshawasha gari au kuingia kwenye daladala.
Mimi; miwani, aaah glasses lazime nirudi tu aisee.
Chaja ya simu aisee nikikuazima afu ukakausha kunirudishia afu niisahau nikija kukumbuka lazima niifate tu, au nikiisahau maskani ntairudia japokua simu yangu inakaa na chaji more than 10hrs ila najihisi amani kua na chaja karibu... Another thing though might be something stupid kwa baadhi ya watu but for me naona nikisahau ni jau ni earphones π§ πMoja kwa moja kwenye mada salamu kesho!
Hivi ukiwa unatoka kwenda harakati kitu gani ukiwa umekisahau lazima tu ukirudie hata kama umeshadandia boda, umeshawasha gari au kuingia kwenye daladala.
Mimi; miwani, aaah glasses lazime nirudi tu aisee.