Ni kitu gani ukikisahau lazima ukirudie?

Ni kitu gani ukikisahau lazima ukirudie?

Ile kuifanya direct yenyewe naona itakua ngumu ila nataka niwe wakala mkinunua na kuuza nipate commission, pia mkifanya deposit na withdrawal na mm Nile....Kuna jamaa alinielekeza ila alinishaur at least nijaribu kufanya kidogo
ukitaka kufaidi kuwa hodler hasa bitcoin ni very bullish
 
nakupita moja yakichwa paaa.halafu nawatuma vijana wangu wakakuzike kwakukupandia mgomba juu😕😕😕😕
Nashangaa wewe ndiye lameki yupi.
Unatishia watu amani😂😂😂
Mbna lameki Mwenzako ni padri iringa kule
😂😂😂
 
Back
Top Bottom