lamekiAgustino
JF-Expert Member
- Feb 4, 2024
- 481
- 1,318
polisi?bola nilale tuu nisifanye kazi.jambazi polisi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
polisi?bola nilale tuu nisifanye kazi.jambazi polisi?
🤣🤣🤣unataka ufanyaje?Nimesha pata code....😋
Kumuomba nyonyo ninyonye.Moja kwa moja kwenye mada salamu kesho!
Hivi ukiwa unatoka kwenda harakati kitu gani ukiwa umekisahau lazima tu ukirudie hata kama umeshadandia boda, umeshawasha gari au kuingia kwenye daladala.
Mimi ; miwani, aaah glasses lazime nirudi tu aisee.
Upo sahihi nikitoka tuu umbali flani naona kabisa sioni vizuri. Lazima nirudi kufata miwani.Kwa wale wanaotegemea miwani kuona vizuri au kusoma ni vigumu sana kwenda mbali bila kuibeba hasa ikitiliwa maanani siku hizi simu zinatumika kwa mambo mengi.
Kwanza hicho kichwa kitauma mpaka basiKusemaje bila miwani hutoboi kabisa
na ninautumia kwavichwa maji kama wewe*"Mguu wa mtoto, anaupaka asali ""
😳Wadada wakisahau matako yao lazima wayarudie hata kama hayajakauka vizuri
Futa hii komenti yako kwanza, maana mwa J akitimba hapa atakuchamba zaidi ya teft hand..🤗kipimo chaumasikini ni kama akili zako hizo
kumanisha jambazipolisi?bola nilale tuu nisifanye kazi.
Ile kuifanya direct yenyewe naona itakua ngumu ila nataka niwe wakala mkinunua na kuuza nipate commission, pia mkifanya deposit na withdrawal na mm Nile....Kuna jamaa alinielekeza ila alinishaur at least nijaribu kufanya kidogocrypto na forex ni mtu na pacha wake crypto dealers wengi ni FX trader
Oky .,Kwanza hicho kichwa kitauma mpaka basi
Mbaga 😂😂😂😂🙌🙌🙌Wadada wakisahau matako yao lazima wayarudie hata kama hayajakauka vizuri
Tulia basi kwanza 🤣🤣🤣Labda naletewa zawadi🤣🤣🤣unataka ufanyaje?
Unaona mnavofanyiwa pressingHutoamini 😂😂😂😂😂😂
Kichwa majina ninautumia kwavichwa maji kama wewe
Si ndiooooo 😂Mbaga 😂😂😂😂🙌🙌🙌
wee zuchu tuuFuta hii komenti yako kwanza, maana mwa J akitimba hapa atakuchamba zaidi ya teft hand..🤗
Sio nataka, ila nishamuacha yule mbwa ili unipe amani ya moyo...😋🤣🤣🤣unataka ufanyaje?