Powell Gonzalez
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 843
- 1,630
- Thread starter
- #61
Mkuu ushawahi kujikuta huna nauli mbele ya konda wa tabata nini?Nauli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ushawahi kujikuta huna nauli mbele ya konda wa tabata nini?Nauli
Unajua maana ya kukojoa moto....Shukuru hata umepata pakukojolea huo moto mkuu, wenzio hata pakukojolea hawajapata walahi...😜
Oooh that's my bby Sis!Hata mimi siwezi kutoka bila saa au lipstick lazima nitarudi tu
😂😂😂😂Ni nyimbo mpya naskia ametoa daimondi huko daslam..🤗
Saa siwezi kutoka bila saa hadi mkono umetengeneza alama...Soma Uzi utupie maoni hapa
Ndio maana kumbe ''mkaka wa chuo''Hapana hapana yaan hayo mambo sitaki kuyasikia mkuu...🙌🙌🙌🙌🙌
Ni mwanafunzi tuu wa mwaka wa pili
Kwa wale wanaotegemea miwani kuona vizuri au kusoma ni vigumu sana kwenda mbali bila kuibeba hasa ikitiliwa maanani siku hizi simu zinatumika kwa mambo mengi.Moja kwa moja kwenye mada salamu kesho!
Hivi ukiwa unatoka kwenda harakati kitu gani ukiwa umekisahau lazima tu ukirudie hata kama umeshadandia boda, umeshawasha gari au kuingia kwenye daladala.
Mimi ; miwani, aaah glasses lazime nirudi tu aisee.
eeeeh kaka we wa nchi gani?kondom wadau
Na lipstick yaani hata mafuta naweza nisipake ila lipstick lazimaOooh that's my bby Sis!
🤣🤣Umetisha...ukusahau si unachekecha tu kondaNauli
😂😂😂😂kondom wadau
unafanyia kazi chini yamuembe au?🤣🤣Sasa utani unatoka wapi mkuu. Feni ni muhimu sana siwezi kujipepea vigazeti😂
🤣🤣🤣🤣Watu wanajali afya ngoja watakuja Hadi wa kubeba vipimo hapaeeeeh kaka we wa nchi gani?
Kuna ile umeamka paaap late ushaoga ushavaa upo nje ndio unashaa mbona vitu vinaonekana vidogooo mara brurry aaaah ndio unakumbuka glassesKwa wale wanaotegemea miwani kuona vizuri au kusoma ni vigumu sana kwenda mbali bila kuibeba hasa ikitiliwa maanani siku hizi simu zinatumika kwa mambo mengi.
🤔🤔🤔 Sema nipo interested Sana na mambo ya cryptoJifunze kuhusu disclipline, motivation na consistency kabla ya kuanza, utanishukuru!
Ewaaah mkaka wa chuo...Ndio maana kumbe ''mkaka wa chuo''
eeeeeh umenishinda tabia🤣🤣🤣🤣Watu wanajali afya ngoja watakuja Hadi wa kubeba vipimo hapa
Safi sana!kumbe tutaenda sawa japo dada yako siku hizi muda mwingi Nina lipbalm....mdomo ushineshineNa lipstick yaani hata mafuta naweza nisipake ila lipstick lazima