princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
sasa niliyoyachange ndio makali.
hio siku nmenunua nilikua na deal fulani likafail nikajikuta niko around kkoo sioni cha kununua nikanunua nikayaona mazuri nmefika nayo home ukichanganya na stress niliona hapakuchi nikayabadilishe.. uzuri nilichukua number ya muuzaji nikamuuliza kwanza akakubali niyarudishe.
ila nachukia jinz/suruali vile ukishanunua utafute na top.. naona bora jumpsuit
Sent using Jamii Forums mobile app
hio siku nmenunua nilikua na deal fulani likafail nikajikuta niko around kkoo sioni cha kununua nikanunua nikayaona mazuri nmefika nayo home ukichanganya na stress niliona hapakuchi nikayabadilishe.. uzuri nilichukua number ya muuzaji nikamuuliza kwanza akakubali niyarudishe.
ila nachukia jinz/suruali vile ukishanunua utafute na top.. naona bora jumpsuit
[emoji16] Ungechukua mawili maximum..
Matatu lazima uchemke..yatakuwa yalikuwa mazuri ukadata
Sent using Jamii Forums mobile app