MR LINKO
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,034
- 3,526
Nili nunua covex all star kipindi hichoo nilikuwa mgonjwa sana na hivi viatuu.
Sasa nilisafiri na kwendaa mbalii kidogo na TZ nimekaa siku moja nikapata pesa nikaona sio mbayaa nitembee.
Katika pita pita,nikaona covex ya green iko poa sana yanii ilikuwa nzuri balaa.
Wale jamaa nahisi wana dawa maana hata sikuuliza mara mbili. Akaniambia hii ni mtumba basi nikatoa pesa pale nikaweka kwenye begi nikaondoka.
Nikiwa na furaha nikafika ghetto siku na haraka nazoo.
Nikakaa siku 4 nikapata mzunguko tena wa town kama kawaida nika vaa zangu fresh tinga all star huyuu, na kwa kuwa stend iko karibu basi nikapanda garii huyoo.
Sasa majanga ni hapa nashuka kwenye garii tuu naona kisigino njee kuangalia vizurii kiatu kime chanika.
Na kila navyo zidi ndo vinaongezeka. Nikajikaza kisabuni hata safari sijafikaa nikajikutaa naburuza kama ndala.
Kuna mda nikatembea mguu ukatoka njee raba ikaka pembeni nikaona sasa hii ishuu ni kweli.
Ukiangalia kiatu utasema cha 1983 yani kina chanika hata ukigisa tu na kidole.
Nikajichanga mikanunua ndala maana nilikuwa siko poa kiivyoo nikarudi home safari ikaishia hapo. viatu nikaviachaa huko huko town.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa nilisafiri na kwendaa mbalii kidogo na TZ nimekaa siku moja nikapata pesa nikaona sio mbayaa nitembee.
Katika pita pita,nikaona covex ya green iko poa sana yanii ilikuwa nzuri balaa.
Wale jamaa nahisi wana dawa maana hata sikuuliza mara mbili. Akaniambia hii ni mtumba basi nikatoa pesa pale nikaweka kwenye begi nikaondoka.
Nikiwa na furaha nikafika ghetto siku na haraka nazoo.
Nikakaa siku 4 nikapata mzunguko tena wa town kama kawaida nika vaa zangu fresh tinga all star huyuu, na kwa kuwa stend iko karibu basi nikapanda garii huyoo.
Sasa majanga ni hapa nashuka kwenye garii tuu naona kisigino njee kuangalia vizurii kiatu kime chanika.
Na kila navyo zidi ndo vinaongezeka. Nikajikaza kisabuni hata safari sijafikaa nikajikutaa naburuza kama ndala.
Kuna mda nikatembea mguu ukatoka njee raba ikaka pembeni nikaona sasa hii ishuu ni kweli.
Ukiangalia kiatu utasema cha 1983 yani kina chanika hata ukigisa tu na kidole.
Nikajichanga mikanunua ndala maana nilikuwa siko poa kiivyoo nikarudi home safari ikaishia hapo. viatu nikaviachaa huko huko town.
Sent using Jamii Forums mobile app